Jamii Sports

Football, Cricket, Golf, Rugby, WWE, Boxing, Tennis and much more...

JF Prefixes:

KenGold imemsajili winga wa zamani wa Yanga na Simba, Bernard Morrison kwa mkataba wa miezi sita huku ikikaribia kuwanasa Kelvn Yondani na Obrey Chirwa. Timu hiyo inaonekana kuweka kipaumbele kwa...
4 Reactions
16 Replies
805 Views
Katika hali ya kawaida Yanga wamechanganyikiwa kutokana na vipigo 3 mfululizo, wachezaji, viongozi na mashabiki wamepotenza confidence uwanjani. Ili kuwarejeshea wachezaji morali na kujiamini...
2 Reactions
19 Replies
749 Views
Njooni tumpongeze na kumtakia heri na fanaka Emanuel Arnold Okwi kwa kutimiza miaka 32 juzi. Huyu ni mmoja ya wachezaji bora kabisa wa kigeni kuwahi kucheza ligi yetu
11 Reactions
46 Replies
1K Views
Takribani miezi 10 ama 11 hivi nilikuwa sijagusa mpira, siku hiyo mwili wangu unatamani mpira kuliko chochote, hata ule mchezo wa mguu bara mguu pwani siutamani kama ambavyo nimeamka na tamaa ya...
5 Reactions
40 Replies
2K Views
Mwaka 2024 unaisha leo, kesho majaliwa ni mwaka 2025, nimeona kikosi chote cha wachezaji wangu wa Simba Sports Club, kiukweli hadi kufikia leo binafsi ni wachezaji wawili tu ndani ya timu yangu...
3 Reactions
9 Replies
819 Views
Waziri wa Mambo ya Nje na Ushirikiano wa Afrika Mashariki Mhe. Balozi Mahmoud Thabit Kombo, Mgeni rasmi katika pambano la ngumi la kimataifa kati ya Bondia Mtanzania, Ibrahim Class dhidi ya bondia...
0 Reactions
0 Replies
258 Views
Wachezaji wengi wa kitanzania huwa hawajitambui kama ilivyo kwa beki Makame. Mchezaji huyo alishapata uhakika wa kucheza yanga na kwa akili zake kama zilivyokuwa za wachezaji wengi wa kibongo ama...
9 Reactions
47 Replies
1K Views
Naombeni majibu yenu wakuu, Hizi ligi mbili nilizozitaja ipi ni Bora na yenye ushindani maana kuna ubishani hapa Baa Leo mpaka watu wanataka kupigana Yani mwaka mpya wanataka kuanza na majanga...
1 Reactions
8 Replies
356 Views
Kiukweli Mukwala kuchezea Simba ni hatari sana kwa usalama wa timu yetu, sio striker mkali kivile, Mukwala hamfikii hata robo huyo Baleke anayetemwa Yanga, Mukwala hamfikii hata Freddy Michael...
2 Reactions
12 Replies
654 Views
Katoka AS vita katua Jangwani akiwa na uwezo mkubwa sana ndani ya miaka mitatu hata Namungo hawataki kumuongezea mkataba, wanemtupia virago, wanadai uwezo wake ndogo ,huyo ni Djuma Shaban, hana...
8 Reactions
29 Replies
2K Views
Wote tunajua Yanga Afrika iko hali mbaya sana kifedha. Imefukuzwa Azam Complex kwa malimbikizo ya madeni. Huko FIFA na TFF imefungiwa kufanya usajili kwa sababu ya madeni sugu. Sasa hivi...
14 Reactions
28 Replies
1K Views
Meya wa Manispaa ya Kinondoni Mhe. Songoro Mnyonge amezungumza na kituo cha Redio, E Fm kufuatia taarifa za Simba kutaka kuhama katika Uwanja wa KMC Complex. Soma, Pia: Klabu ya Simba SC ipo...
4 Reactions
21 Replies
1K Views
Wakuu ligi kuu Tanzania bara imesimamishwa hadi mwezi wa 3 na bodi ya ligi, sababu ikiwa ni kupitisha Mapinduzi Cup na CHAN. Naona kwa sisi wadau wanaopenda ligi kuu hawajatutendea haki.
6 Reactions
23 Replies
772 Views
Looh, haya bwana! Nimpongeze kocha wa Yanga. Wachezaji wameanza kujituma kweli. Hata wanachama wa Simba wameanza kuuliza kuhusu zile sindano, mmezirudia? Naona zina nguvu, dooh! Mchakamchaka...
4 Reactions
7 Replies
396 Views
Wanasema kwa mpira wa sasa, magoli mengi yanatokea kwenye mipira ya kutengwa. Wengi wanadai Denis Kibu sio mchezaji mzuri kisa hana magoli au assist nyingi ila wanasahau ni mmoja wa wachezaji...
5 Reactions
20 Replies
1K Views
He won the Premier League 13 of his 21 seasons in charge including two three-peats. He was a two-time champion of Europe. Five FA Cups and four League Cups. It's legendary former Manchester...
3 Reactions
3 Replies
221 Views
Inaonekana kama vile Simba na Yanga wanashiriki mashindano ya CAF ya aina Moja yenye ukubwa na hadhi Moja CAF. Tambo na furaha ya Simba ni kama vile Simba na Yanga wanashiriki mashindano ya aina...
5 Reactions
19 Replies
589 Views
Huyu dogo nimemsema na bado naamini anahitaji aongeze baadhi ya tuvitu katika kabati lake la zana ila kuna jambo moja amefanya ambalo linaenda kuigwa na vijana wengi. Naongelea upigani wake wa...
6 Reactions
14 Replies
623 Views
Kama kawaida wakuu. Sijawahi kumuona Mpanzu akicheza uwanjani kama ambavyo wana Simba wengi hawajawahi kumuona akicheza uwanjani. Jana hotuba ya Mo akiwahutubia wwnachama alisema amesajili...
3 Reactions
24 Replies
2K Views
Mtakie mwanayanga yeyote humu jukwaani kheri ya mwaka mpya.
4 Reactions
6 Replies
228 Views
Back
Top Bottom