Jamii Sports

Football, Cricket, Golf, Rugby, WWE, Boxing, Tennis and much more...

JF Prefixes:

Yanga na Al Hilal matokeo yatakuwa hivi; Yanga vs al-hilal 3-1 Wafungaji Mayele goli 2 Djuma Shaban 1 penalti Al Hilal Mfungaji Lilopo, 1 penalti Kumbukeni goli la kwanza la Yanga litakuwa...
9 Reactions
19 Replies
2K Views
JINSI maisha yanavyokwenda kasi. Ghafla jina la Suleiman Matola limeondoka katika midomo ya mashabiki wa Simba. Wiki chache zilizopita walikuwa wanaimba aondoke. Sasa hivi wamekaa kimya. Hii ndio...
9 Reactions
13 Replies
2K Views
Mimi ni shabiki kindaki ndaki wa Simba, na nimekuwa mfuatiliaji wa timu yangu pendwa ya Simba, lakini kuna muda inakosesha amani na kunikatisha tamaa ya kuendelea kuipa imani yangu. Najihisi...
13 Reactions
53 Replies
4K Views
DEJAN STANKOVIC NA HISTORIA YA PEKEE YAKE WORLD CUP.. Mchezo wa soka ndiyo mchezo mahususi na unaopendwa zaidi miongoni mwa michezo yote ya kiushindani Ulimwenguni . Kila baada ya miaka minne...
7 Reactions
5 Replies
1K Views
Ile pesa ilikuwa inatosha kununua bonge la kiungo wakutumika kwa muda mrefu na kuipa mafanikio timu. Tumemnunua casemiro umri 31 halafu unampa mkataba wamiaka 6 akiwa miongoni mwa highly paid...
2 Reactions
11 Replies
1K Views
Mpira ni starehe, mpira ni ubishani, mpira ni ushabiki. Wewe na hisia zako za kidingi baki nyumbani au tafuta mchezo mwingine.
0 Reactions
19 Replies
1K Views
Salah aliweza kuivunja ile rekodi ya goli 31 ya Premier League na kuweka ya kwake ya goli 32 huku akiwa kama winga tena kutoka Afrika, nilitamani hii rekodi ikae kidogo kwa heshima ya Afrika...
4 Reactions
20 Replies
1K Views
Kwa wanaojua mpira vizuri watakubaliana na mimi ila wale wabishi watabisha kwasababu Xavi ni kocha wa Barcelona kwa hiyo wao wanamuona ni kocha bora zaidi ya Nabi. Tactics za Xavi ni za kizamani...
0 Reactions
5 Replies
1K Views
Mchezaji wa Simba, Dejan Georgejevic kupitia akaunti yake ya Instagram amesema mkataba wake umevunjwa kuitumikia klabu hiyo. Na kama leo hii ( hasa CEO ) Barbara Gonzalez uliyemleta huyu Mzungu...
15 Reactions
25 Replies
2K Views
Tofauti na mitazamo watu "Nikwambie ukweli kabisa kutoka moyoni mwangu jezi za Yanga kweli zinatembea, hasa jezi za njano na nyeusi. Jezi za Simba hazitembei kabisa kama jezi za kijani za Yanga...
15 Reactions
54 Replies
4K Views
Sasa ni Rasmi Manara ni Ashura cheupe 🤣🤣 Hivi ile kauli ya kuwa pale Yanga sc wenye akili ni wawili ina ukweli wowote?
5 Reactions
25 Replies
2K Views
Tanzania ushabiki wa mpira uko juu sana kuliko nchi nyingine zinazotuzunguuka kutokana na aina yetu ya kutaniana kwa kucharurana bila kupigana kati ya Simba na Yanga. Timu hizi ziko hivyo tangu...
3 Reactions
27 Replies
2K Views
Timu ya Polisi Tanzania imechukua uelekeo tofauti baada ya kuamua kuachana na kuwategemea waganga na wachawi ili kupata matokeo mazuri na badala yake wameamuamu kumfuata nabii Clear Malisa. Hiyo...
2 Reactions
19 Replies
2K Views
Nimemtazama huyu kiberenge toka DRC, lazima nimeona jamaa kachuja. Sijui kule RS Berkane jamaa wana shida gani na vipaji vya Kusini mwa Jangwa la Sahara hasa ukanda wetu huu? Sijui wadau mna...
0 Reactions
28 Replies
2K Views
Jamani hii team yetu ya taifa ya Mpira wa miguu kwa watu wenye ulemavu inafanya vizuri sana huko kombe la dunia nchini Uturuki. Wadau tusiwachukulie poa hawa vijana waliojitoa pamoja na ulemavu...
4 Reactions
10 Replies
869 Views
Katika michuano ya Kombe la Dunia mwaka 2006 nchini Ujerumani, mechi kati ya Ufaransa na Korea kusini iliisha kwa sare ya 1-1. Mechi hii ilichezwa katika uwanja wa timu ya RB Leipzing (Leipzing...
2 Reactions
7 Replies
794 Views
Mwanaume mwenye umri wa miaka 36 alifariki baada ya kuzimia alipokuwa akikimbia mbio za London Marathon, waandalizi wamethibitisha. Mwanamume huyo, kutoka kusini-mashariki mwa Uingereza, aliugua...
1 Reactions
1 Replies
746 Views
Kila siku mkiambiwa kwamba Hersi ana maamuzi ya ki pwagu mnakasirika, hivi unadhani wana yanga ni wajingawajinga? Jenerali Bugatti alikuwa sahihi sana kukataa kumpa mkono huyu kijana mnafiki kule...
4 Reactions
48 Replies
5K Views
Hawa wachambuzi uchwara wa soka wa bongo wanakera sana! Wanaongozwa na unazi/ushabiki badala ya weledi wa soka. Mtu hujawahi kucheza soka kabisa hata ngazi ya daraja la tatu utawezaje kuchambua...
0 Reactions
20 Replies
2K Views
Habari za ndani kabisa nimepenyezewa kutoka kwa mdau wa masumbwi huko Uingereza! Uchunguzi uliofanywa na bodi ya ngumi kutoka Uingereza umebaini kwamba; 1. Mwakinyo Alidanganya "cheat" ...
27 Reactions
86 Replies
8K Views
Back
Top Bottom