2022/23 CONFEDERATION OF AFRICA FOOTBALL (CAF) UPDATE.
EVENT:-2022/23 CAF CONFEDERATION CUP (CAFCC).
SECOND PRELIMINARY ROUND_ FIRST LEG.
FULL-TIME RESULTS.
08 OCTOBER, 2022...
Hatimaye mechi ya yanga na Al hilal 1st leg imekamilika hapoJana kwa kutoa sare ya kufangana yaani goli 1 kwa mwenyeji na goli 1 kwa mgeni ( sio matokeo mazuri Sana kwa mwenyeji lakin sio mabaya...
Beki huyo wa kati amepewa ruhusa hiyo na kocha wake wa Manchester United, Erik ten Hag ikiwa ni sehemu ya kuhakikisha anakaa sawa kiakili na kurejesha kiwango chake.
Masharti ya Ten Hag kwa...
Si jambo baya wala nini? kila mtu na mapenzi yake bhna..sasa pale azam tv unaweza ukawaona wale jamaa na suti zao ukadhani wanazingatiaga ule weledi wa kubalance hisia kwa kuficha ushabiki ila,sio...
Nimekuwa nikisema kuwa matumizi ya pesa kwenye mpira kufanya ushawishi kwa wachezaji wa timu pinzani, kwa waamuzi na wachambuzi wa mchongo, matokeo yake yataonekana mechi za kimataifa.
Katika...
Shirikisho la Riadha Tanzania (AT) linatarajiwa kuziba nafasi za uongozi zilizo wazi Novemba 27 jijini Tanga.
Akizungumza na waandishi wa habari jijini Dar es Salaam jana, Katibu Mkuu wa AT Wakili...
Leo Yanga wamekubali kuingia kwenye mtego wa Al Hilal kirahisi sana. Mechi ijayo itawezesha Yanga kuwafunga Hilal ikiwa watatumia kikosi kifuatacho;
Aishi Manula
Mohamed Husein
Shomari Kapombe...
Paka Saba (7) wamekufa kwa kitabu tu, halafu kuna mahala nimeona refa wa mchezo naye kashika filimbi na anaipa dole la furaha na kicheko Klabu ya Al Hilal.
Ewe Mungu saidia Al Hilal ishinde!
Leo Yanga inakwenda kuonesha kwa vitendo maana ya uwekezaji kwenye soka ni nini?
Baada ya Al hilal kupigwa kama ngoma mashabiki wa Simba watasikika wakisema hii Al hilal ni Zalan iliyochangamka...
Ni maoni yangu tuu Wadau.
Pamoja na usajili mzuri tuliofanya, naona tumesahau kupata beki Bora kabisa wa Kati mbadala wa waliopo. Tutapata taabu saana katika hili.
Nawasilisha.
Misimu kadhaa nyuma zinapokutana Simba na Yanga basi bila shaka Yanga anaenda kuwa underdog wa mchezo. Lakini sasa zama zimebadilika ni rasmi sasa Simba kawa underdog kuanzia msimu ulioisha...
Producer wa Wimbo wa Kombe la Dunia (Official theme song) anaitwa RED ONE ni mzaliwa wa Morocco.
Wimbo huo unaitwa Hayya Hayya (Better Together) umeimbwa na Trinidad Cardona (America)...
Wachezaji wa Uingireza hawajawahi kuwa wa bei nafuu toka kizazi cha zamani hadi kizazi kipya, kutokea kwenye mishahara wanayolipwa hadi kwenye bei ya kuwauza sokoni. Kwanza Waingireza wenyewe...
Jamani hivi ni wehu au ushamba wa haya ma dude ya rangirangi unaweza kuyatumia saa kumi jioni yakaleta impact? Yataakisi vipi sasa? Mwishowe sasa mtasema hadi tochi za simu zitawashwa!
Meneja wa...
Wengi tunatarajia magoli toka kwa akina Mayele n.k, leo mabeki wa Yanga wanaenda kuokoa timu yao.
Yanga itashinda magoli 2, tutarajie penalty kwenye mchezo.
Ft 2-0/2-1/3-1
Kila la kheri Yanga.
Mpaka muda huu nawaona walinzi tu peke yao magetini, huku uwanjani kukiwa na watu wawili tu. Hivyo huenda wanasubiriwa hao 348 waliobakia ili mbungi lianze hiyo saa 10 kamili jioni.
Kuna timu...
Huu msimu tusipoangalia ipo siku tutakuja kupigwa kipigo kibaya mno, kuna mashimo mengi sana kwenye safu yetu ya ulinzi.
Tunakoenda huko ndio kugumu zaidi maana tunakutana na timu bora zaidi...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.