Habarini Wanajangwani wenzangu.
Tunajenga kikosi cha aina gani!?
Kwanini kimataifa kila siku iwe kilio kwetu!?
Hapana. Tunahitaji mabadiliko ndani ya klabu yetu, kuanzia uongozi, wachezaji mpaka...
Full time
Anakosaaaaaa, kipa wa Azam FC anapangua penati.
90' Al Akhdar wanapata penati.
87' Shambulizi la Al Akhdar mpira unagonga nguzo.
63' Wenyeji wanamiliki mpira na kufanya mashambulizi...
Kama unaangalia mpira vizuri hawa wawili uchezaji wao hauna tofauti sana, ila Haaland anamzidi Mayele finishing tu.
Mayele tayari anajua kujiweka kama Haaland, ila ana matatizo ya umaliziaji tu...
Mimi kwa upande wangu naweza nikachambua kama ifutavyo:
- Kipindi cha kwanza Al-Hilal waiingia na mpango wa mchezo wa kuilazimisha Yanga icheze mpira wa taratibu, na Yanga waliwezwa sana! Maana...
Ninawaza kwa sauti kubwa saana hapa, nimeona clip nyingi watu wakipiga kelele kisa ku droo na al hilal 😂😂,
Hivi wana feli wapi? Wana yanga wana imani kubwa sana na kikosi chao lakini wanashangaa...
Poleni Wanayanga, hakika huko Sudan kuchomoa ni sawa na ngamia kupita kwenye tundu la sindano. Hii ni michezo ya kimataifa, hatuchezi mpira kama tunacheza na Singida Big Stars. Kuna nidhamu zake...
Amani iwe nanyi:
Natoa pole kwa vilabu vya Tanzania vilivyoumaliza mwendo katika mechi za awali za Mashindano ya Afrika ,nazungumzia Yanga,Azam na Kipanga.
Mara baada ya mechi za jana nilitulia...
Mwezi wa 6 mwaka huu nilisema ni lazima Yanga atafika mbali kimataifa. Na siogopi kusema hivyo. Nilisema Yanga mechi za nyumbani atakuwa anafanya vibaya ila akifika ugenini ndiyo moto unatawaka...
Kapten wa Simba John Bocco anakaimu majukumu ya Kocha wa Viungo tangu aondoke mwalim wa viungo. Hilo limekuja baada ya John Bocco kuhitu mafunzo ya ukocha wa awali ya viungo. Wachezaji wenzake...
Juma Kaseja ameanza kuchambua mechi za mpira kupitia kituo cha radio cha Clouds FM. Ikumbukwe pia Kaseja aliestaafu mpira msimu uliyopita, ana leseni ya ukocha wa makipa inayotambuliwa na CAF...
Msimu wa 2019/2020 Yanga na Simba zilipata kuwakilisha nchi katika michuano ya Klabu Bingwa. Yanga walianzia nyumbani dhidi ya Township Rollers na huku Simba ilianzia ugenini dhidi ya UD Songo...
Umofia kwenu.
Ndugu zangu ni vigumu mno kuwatoa Wasudan kwao, ninasema hivI kutokana uzoefu nilikuwanao. Nilishwahi kuishi miaka miwili pale Sudan, kiufupi jamaa ni makatili ile mbaya.
Simba...
Habari za saivi wakubwa.
Naomba nimuongelee kipa wa Yanga Diara. Namuona ni kipa wa kawaida tu, hana ubora anaodhani kuwa anao. Hamfikii hata robo ya Manura, naona dogo Msheri ni mzuri kumzidi au...
Nani ameturoga? Kumfungia mwamuzi bila kudhibitisha pasipo kuacha mashaka kuwa mwanafuzi amekosea kwa makusudi na siyo kwa bahati mbaya ni kuonyesha namna tunavyodharaulika duniani.
Ni nani ana...
Nianze kwa salamu ndugu zangu wanajukwaa. Baada ya salamu, naomba nijikite moja kwa moja kwenye mada.
Timu yangu ya Yanga inabidi tukubali kujifunza kwa Simba jinsi ya kujiandaa na kucheza mechi...
Azam jana wamefurukuta kwa waarabu ila yule kipa bonge la mtu kaingia wavuni mars tano
Shukrani kws linesman kukataa mabao mawili
Azam kunani pale
Aliyegundua icecream za ukwaju apewe timu...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.