Jamii Sports

Football, Cricket, Golf, Rugby, WWE, Boxing, Tennis and much more...

JF Prefixes:

Timu ya yanga kimataifa siyo kama Simba. Yanga kwenye uongozi wa leo wanaushamba fulani au ulimbukeni na wakiwa na akili hizo tutegemee anguko kwenye klabu. Viongozi wa Yanga kimataifa hawawezi...
0 Reactions
5 Replies
657 Views
Kawaida yetu watanzania ni fitina, chuki, husda na unafiki. Leo najitia katika sifa hizo. Simba mmeonesha kitu ambacho Yanga tunapaswa pia kuiga. Najua Yanga wenzangu hili litawakera. Acha mi...
14 Reactions
17 Replies
1K Views
Hebu ona hii Tumewekeza kuliko Al Hilal. Manara kaja na siri ya ushindi wa Simba. Raha yetu kuwafunga Simba. Nabi: Mechi za kirafiki za kimataifa kwetu hazina kipaumbele. Tathmini: Mwenye akili...
4 Reactions
4 Replies
2K Views
Haki ya Mungu walahi Mungu amlinde tu Barbara Gonzalez, ana maadui wa wazi wazi wa Simba wako ndani ndani kabisa wakishirikiana na makanjanja mazoefu. Lile jitu linalokesha kusambaza habari za...
3 Reactions
54 Replies
5K Views
Kabla ya yote mnaonaje mechi inayofata Simba aende Sudan kucheza na Al Hilal alafu hawa jamaa wabaki hapa kucheza na Agosto? Ngoja nikujuze, kimataifa mbinu zinatawala siyo manguvu na kukamia...
9 Reactions
5 Replies
835 Views
Naanza kwa kurejea mechi ya Yanga na Azam, hii mechi ilionesha wazi kuwa kuna rushwa kwa waamuzi. Mpira kuna kipind ulitoka nje kabisa halafu mchezaji wa Yanga akakimbilia na kuurejesha uwanjani...
11 Reactions
7 Replies
636 Views
Wakuu, Moja ya kitu kinachoturudisha nyuma ni kupuuza historia. Historia ni mwalimu mzuri unapokuwa katika tafakari ya wapi unaelekea. Nafahamu humu wapo wakongwe waliofuatilia soka muda mrefu...
13 Reactions
26 Replies
6K Views
Simba anashinda ugenini kwa goli tatu moja dhidi ya De Agosto. Magoli ya Chama kiungo konokono (kwa mujibu wa Tate mkuu)[emoji2957][emoji2957], kwa pasi ya Okrah, Israh kwa pasi ya Kanoute, na la...
2 Reactions
3 Replies
689 Views
Naona mbwembwe za mashabiki wa simba na wengine wanadai kuwa al hilal Atamtowa yanga Kwa akili yenu kabisa mnafikiri al hilal wana mpira gani wa ajabu wa kuwatowa yanga? Ninyi subiri tu mayele...
7 Reactions
13 Replies
1K Views
Kuna changamoto kubwa kwa wachezaji wa Tanzania. Wanakuwa na spidi ndogo sana uwanjani pia wana spidi ndogo ya maamuzi. Bila kusahau makosa katika kukaba, kutoa pasi/cross na kumalizia magoli...
3 Reactions
16 Replies
1K Views
Michezo inaendeleza Biashara ya watu Kwenye michezo sahivi ni pesa kwanza, maana yake biashara, watu wanauzwa na kununuliwa kama bidhaa mithili ya ilivyokuwa kwenye zama za utumwa miaka ile. Timu...
1 Reactions
3 Replies
432 Views
Vikao vyote tulivyokaa takribani mwezi mzima sote kwa pamoja tulikubaliana kuwa, hawa Wasudani bado wanajitafuta hivyo tutawapiga kama ngoma. Sasa nini kimetokea? "IWE MVUA IWE JUA SUDANI HAWATOKI!"
1 Reactions
18 Replies
1K Views
Mastaa hawa wawili kutoka Hispania wamejitangaza hadharani kuwa wao ni vyakula vya wahuni, lol.[emoji26][emoji26][emoji26] Kwao wanaona ni sawa ila dah, hawa wamezingua sana bora wangepiga kimya tuu.
2 Reactions
14 Replies
1K Views
Kila mtu anajua kwamba kwa afrika nzima hakuna nchi yenye wachambuzi wanaojua kuchambua issues mbalmbali kwa ufasaha kama wanaopatikana Tanzania Ni ma pundits haswa yametulia kwelikweli, yamesoma...
3 Reactions
12 Replies
799 Views
Naam, Njaakalihatari nakuletea habari mpasuko kwamba Young Africa ya Jangwani na Salamander imepigwa faini ya USD 148,000 kwa kumuachisha kazi Kocha Luc Eymael bila kufata taratibu. Faini hiyo...
8 Reactions
68 Replies
5K Views
Mchezaji huyo mwenye umri wa miaka 41 aliichezea Manchester United zaidi ya mara 300 baada ya kujiunga na klabu hiyo akitokea Tottenham Hotspur. Alishinda mataji kadhaa ya Ligi ya Premia na vile...
3 Reactions
5 Replies
788 Views
Jana nilimwambia mke wangu Yanga atashinda 3- 1 dhidi ya Al hilal sasa ni 1-1 na mchezo bado unaendelea. Japo mimi Simba lakini kwnye michezo ya kimataifa navaa uzalendo haijalishi nini!
1 Reactions
8 Replies
596 Views
Ni ujinga unaofanya. Waandishi wa habari hawachezi mpira. Hata kama wataisifia team sana mwisho wa siku wachezaji ndo hucheza. Unawekeza pesa nyingi kwa vyombo vya habari wakuzungumzie wewe na...
20 Reactions
53 Replies
3K Views
Nimeona baadhi ya mashabiki wa Yanga na wengine wa upande wa pili wakiwaponda Yanga kwamba tayari wametolewa kwenye mashindano na Al hilal. Mpira hauko hivyo waungwana, bado Yanga anayo nafasi ya...
13 Reactions
21 Replies
1K Views
Back
Top Bottom