Mchezaji maarufu wa Tenis, Serena Williams, ambaye anatazamiwa kustaafu baada ya michuano hiyo, alipata ushinda 6-3 6-3 dhidi ya Danka Kovinic wa Montenegro kupitia US Open.
Serena Williams...
Wakuu Tutaendelea kuwa kichwa cha mwemda wazimu tu
Ujinga alioufanya Tshabalala Leo tumeuona ni muemdelezo tu
Tuache kuabudu majina Msindo alistahili kucheza LB
Washabiki wa Tanzania foolish,hasa wa makolo.
Hivi karibuni kuna shabiki wa simba alipost bandiko akiisifia timu ya simba kwamba ni timu bora kuliko zingine kwakuwa inawachezaji Tisa ndani ya...
Ndugu zangu ukweli usemwe huyu Ouatarra mzito na hana speed bora babu Onyango..
Mohamed Hussein ana makosa mengi sana na huwa anachelewa kurudi tunaposhambuliwa..
Sasa yule wa kurekebisha makosa...
Ujuaji na tabia ya mashabiki wa soka nchini inaudhi mno. Nitawachukua baadhi ya mashabiki wa Simba Sc kama sample.
Tuanze,
Jana kulikua na mchezo wa kirafiki kati ya timu ya Simba Sc na Asante...
Kwanza kabisa hongereni Dar Young African kwa ushindi wa mabao 2 - 1 dhidi ya Simba.
Pia niwape pole Simba Sports club kwa kupoteza mchezo.
Huwa napenda sana kuvinjari mtandaoni hasa mitandao ya...
Shirikisho la Soka Tanzania (TFF) limemtangaza Kim Poulsen raia wa Denmark kuwa Kocha Mkuu wa Timu ya Taifa (Taifa Stars)
- Poulsen anachukua nafasi ya Kocha Ettiene Ndayiragije ambaye mkataba...
TTF wamefikia makubaliano ya kuachana na kocha mkuu na benchi lake zima japo anaendelea kubaki katika timu ya vijana kumalizia mkataba wake.
Taarifa isiyo rasmi Nsajigwa anaenda Yanga kuongeza...
Mshambuliaji Cesar Manzoki amejiunga na Dalian Pro FC inayoshiriki Ligi Kuu nchini China akitokea Vipers ya Uganda
#mwanaspoti
#mwanaspotiupdates
#tunawezeshataifa
Chelsea imefikia makubaliano na Leicester City juu ya ada ya Paundi Milioni 70 kufanikisha dili la kumsajili Wesley Fofana (21) baada ya awali dili hilo kukwama mara tatu.
Kocha wa Leicester...
Mimi ni Shabiki wa Simba SC ila nadhani kama kuna Mchezaji Mzawa ambaye Watanzania tuna Roho Mbaya, Wivu na Unafiki wa Kutomuimba na Kumtukuza inavyotakiwa ni Kiungo Mshambuliaji na Winga Farid...
Mshambuliaji wa Barcelona, Pierre-Emerick Aubameyang amevamiwa na wahalifu wenye silaha nyumbani kwake asubuhi ya leo Agosti 29, 2022 ikidaiwa pia wahalifu hao walimpiga mchezaji huyo.
Taarifa za...
Simba queens imekuwa timu ya kwanza ya wanawake kutoka Tanzania kwenda kushiriki ligi ya mabingwa Africa.
Hapo unaona uwekezaji mkubwa unaofanywa na mo dewji ukisimamiwa na mwanamama babra...
Ukweli ni kwamba hakuna club yoyote inayoipenda TFF namna inavyoongoza mpira wetu hapa nchini Tanzania.TFF wamekuwa wakitoa adhabu kali kwa viongozi wa clubs mbalimbali mara nyingi wanafanya...
Duh hii habari nimekutanayo some where
Yule mchezaji wa ivory coast aliyekipiga ajax msimu uliopita hadi akakaribia kuchukua kiatu Cha mfungaji Bora wa champions league Sebastian haller yupo...
Niko nacheki kipute hapa live.
Ukweli ni kuwa , back pass zinaicost sana TZ. yan Kina zimbwe wameshaharibika kichwan, wanawaza kurudisha mpira nyuma muda wote.
Namlaumu sana muasisi wa back pass...
Kipaji ni zawadi iliyopo ndani yako ambayo mungu mwenyewe kakupa kujua una kipaji gani hilo ni jukumu lako wewe mwenyewe tena.
Lakini kiafrika afrika ni ngumu sana kipaji cha mtoto kuendelezwa na...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.