Jamii Sports

Football, Cricket, Golf, Rugby, WWE, Boxing, Tennis and much more...

JF Prefixes:

ASK 1 smba 0 dk ya 8
0 Reactions
1 Replies
451 Views
Mashabiki wa simba wana promote jina la mzungu mpaka mimi mwenyewe sasa naona aibu leo nilikuwa zangu FB na soma zangu comment za Wakenya kuhusu uchaguzi wao cha ajabu si nikakutana na comment ya...
6 Reactions
59 Replies
5K Views
Muhimu: Mchina kamwaga milioni 930 kuinasa saini na mshahara mnono, wanaoaminishwa na tetesi kwamba Manzoki atacheza China miezi minne na kisha kurudi simba wajaitafakari upya, Ni sawa na rubani...
9 Reactions
30 Replies
4K Views
Habari za weekend wadau mapambano yanaendele tulipe tozo kwa ujenzi wa taifa letu na maendeleo ya SINGIDA BIG STARS, ikiwa umepita mda mchache toka kumalizaka kwa mechi kati ya Tanzania dhidi ya...
0 Reactions
1 Replies
784 Views
Kule EGYPT team zilizofuzu Club bingwa ni ZAMALEK na PYRAMID japo ligi haijaisha huku umebaki mchezo mmoja ZAMALEK ana point 77 huku PYRAMID ana point 71 , AHLY point 67. Kwenye RATIBA ya club...
6 Reactions
21 Replies
3K Views
Tozo tunazochapwa ndizo zinafanya hii kazi ? klabu ya Singida Big stars inayomilikiwa na Waziri wa Fedha, Mwigulu Nchemba imeweka rekodi Tanzania kwa kuwa klabu ya (1) kusajili mchezaji kutoka...
11 Reactions
54 Replies
5K Views
Beki wa kati wa Simba, Joash Onyango amegomea kwenda nchini Sudan kwa ajili ya kucheza mechi mbili za kimataifa za kirafiki dhidi ya Asante Kotoko ya Ghana na Al Hilal ya Sudan. Kikosi cha Simba...
4 Reactions
22 Replies
2K Views
Mashabiki wa simba kuna mda na shangaa nanyi saana sijui tabia zenu ziko vipi au ndo tuseme mnapenda sifa Simba Queen ndo wamebeba ubingwa cha ajabu kuna mabwege fulani wanatukana yanga ya...
6 Reactions
18 Replies
1K Views
naaam niko hapa napitia mahojiano ya ya mpole na makanjanja ya mwanaspoti mambo ni bull bull
9 Reactions
39 Replies
6K Views
Manchester United inafanya mikakati ya kuipindua Chelsea katika mchakato wa kumuwani mshambuliaji wa Barcelona, Pierre-Emerick Aubameyang ambaye imekuwa ikidaiwa anaelekea Chelsea. Aubameyang...
1 Reactions
2 Replies
763 Views
Manchester United imefanikiwa kupata ushindi wa goli 1-0 dhidi ya Southampton katika mchezo wa Premier League, leo Agosti 27, 2022 ukiwa ni ushindi wa pili mfululizo. Bruno Fernandez ndiye...
3 Reactions
5 Replies
865 Views
Huyu mwamba bado anaendeleza ubabe wake, huyo mchezaji nimemuonea huruma 😀😀 Kweli mpira una mtii huyu fundi Kwangu mimi MESSI ni Best player ever ever ever.. ibanezafrica
1 Reactions
7 Replies
887 Views
Kocha wa Yanga Nabi hajawahi kushinda mchezo wowote wenye taswira ya Kimataifa akiwa na kikosi hicho. ●Yanga 1 - 2 Zanaco ●Yanga 0 - 1 Rivers ●Rivers 1 - 0 Yanga ●Yanga 1 - 1 Somalia ●Yanga 0 -...
2 Reactions
10 Replies
2K Views
Hakika wanastahili sijui zawadi gani lakin uongozi was Simba angalieni lakini iwe fundisho kwa club ya simbamen
5 Reactions
25 Replies
2K Views
Rais wa Shirikisho la Mpira wa Miguu Tanzania TFF Wallace Karia amewataka Wadau wafuate sheria zilizowekwa katika mpira na kuacha kushindana na mamlaka kwani wataumia. "Taasisi ya TFF ina...
5 Reactions
33 Replies
2K Views
Nimepitia mitandaoni. Pamoja na talent yake mchezaji kinda wa Man utd ana Hali mby Sana. Makampuni yanajitoa na kuapia kutojihusisha na mwingereza huyo mshambuliaji wa united. Kwa hali hiyo...
0 Reactions
4 Replies
735 Views
Kila mechi za yanga huyu kipa pendwa lazima aumwe shida ni nini? Ama anaogopa aibu?
2 Reactions
50 Replies
3K Views
Singida fc imemsajili Miguel escobar ili kuimarisha sehem ya kiungo, nimemuangalia escobar kwenye clip, dah, jamaa ana ufundi wa hatari, anajua kumiliki mpira, anajua kuhangaisha bwege wenzake...
0 Reactions
0 Replies
623 Views
Kwa wale Wapenzi wa klabu ya Simba jezi za Simba Kwa AWAMU ya pili zimetoka zipo sokoni kazi kwenu. Kwa wale mliopo kariakoo nadhani mnajua washushaji wa jezi hizi kazi kwenu mfano davirnhoo...
2 Reactions
19 Replies
2K Views
Msimu wa 2022/23 ni msimu wa 52 wa michuano hii, ikiwa ni wa 14 tangu michuano hii ibadilishwe jina kutoka UEFA Cup ni msimu wa pili tangu kuanza kwa mfumo mpya. Hatua ya makundi inaanza lini...
2 Reactions
1 Replies
1K Views
Back
Top Bottom