Jamii Sports

Football, Cricket, Golf, Rugby, WWE, Boxing, Tennis and much more...

JF Prefixes:

Heko kwa Msemaji Ahmed Ally amejitahidi, ila kwa Siku zijazo awe na back up ya Mtu mwingine Maarufu, Mchangamshaji na mwenye Sauti ya Juu ya Kimatukio. Golikipa Beno David Kakolanya ameimarika na...
43 Reactions
66 Replies
6K Views
Million 400 kitu gani kwa wanamsimbazi kindakindaki? SSC tunahitaji striker anayejua soka la kiafrica kiundani, Manzoki ni mshambuliaji anayestahil kucheza SSC bila kupepesa macho Tunajua yakuwa...
1 Reactions
8 Replies
511 Views
Nimeangalia mchezo kati ya Simba na St George, kiwango kilichoonyeshwa na mchezaji Dejan toka Serbia ni cha kawaida sana, ni bora mara mia ya Kagere au Mugalu. Kwa kweli hapa tumeuziwa rangi sio...
16 Reactions
63 Replies
5K Views
Mechi imekwisha, Simba imekufa 1-2 dhidi ya Yanga, Kiukweli inàuma mechi tano mfululizo za derby Simba hajashinda hata moja, huku akipokea vipigo vitatu na droo mbili(tena zilizokua na faida kwa...
1 Reactions
3 Replies
1K Views
Kufungwa kwa Simba katika Derby ya jana ni makosa ya wazi yaliyofanywa na Kocha Maki Zoran. Aelewe tu kwamba wana Simba ni heri tufungwe na Namungo kuliko kufungwa na Yanga. Namungo wakitufunga...
10 Reactions
20 Replies
2K Views
Huu mpira anaoupiga Mayele sio wa Afrika hii. Kuna namna Yanga wamefanya. Haiwezekani mchezaji hatari kama Mayele achezee timu hizi za Kitanzania. CAF na TFF waimulike Yanga na ikiwezekana...
8 Reactions
9 Replies
1K Views
Hivi wakuu huyu mtu pale Simba ana faida gani, maana muda wote aliokaa pale Simba makosa ya wachezaji wetu ni yale yale au makocha hawamuelewi na kama hawamuelewi kwanini yupo kwenye hiyo nafasi...
2 Reactions
27 Replies
3K Views
Huu ndo ubingwa wa katimu Fulani la kariakooo.Uzi tayari ,Amri. Sent from my TECNO B1f using JamiiForums mobile app
0 Reactions
7 Replies
634 Views
Huu ni mpira inabidi uwe fair na haki za binadamu zizingatiwe na hata FIFA wanahimiza sana. Cha ajabu Klabu ya Yanga inajiona ipo juu ya sheria na kufanya kinyume, Inonga baada ya mechi alikuwa...
10 Reactions
45 Replies
5K Views
Simba niliwaambia kuleta kocha mzungu ni upumbavu usiomithilika Wapi Moses Phiri unamweka Kiyombo na Boko kweli? Ninyi viongozi bado mnafanya maskhara kama ya mwaka jana?
0 Reactions
1 Replies
429 Views
It goes with words,it comes with karma Maneno huumba, manchester united kujiita shetani waliingia choo cha kike ni kitu kibaya sana hawatainuka tena mpaka waende kanisani wakatubu na kubadilisha...
0 Reactions
0 Replies
291 Views
Karibuni sana wachimba madini, team letu ni la kisasa na la kizungu halina mambo ya kizamani yale ya kiswahili eti kufanya mazoezi kwa kjifichaficha Karibuni sana Mo arena kuanzia kesho jumatatu...
0 Reactions
0 Replies
492 Views
Mhamasishaji Mkuu Mstaafu wa Taifa Stars Mh Makonda hajasikika akihamasisha lolote kwenye mechi ya Tunisia na Stars, kulikoni? Ni nani alimvua uhamasishaji huu na ni lini na Kwanini? Mwanamichezo...
5 Reactions
19 Replies
2K Views
Hii sasa sifa, mkataba wa bilion nne na ushee kwa mwaka!! Nyie Sport Pesa mnawafanya Yanga waende kuchukua vikombe vyote msimu ujao. Ina maana ni mara tatu ya mkataba walio ingia Simba. Halafu...
4 Reactions
19 Replies
1K Views
Kama mnavyofahamu nafasi ya usemaji na nafasi nyingine zipo wazi . Mchambuzi wa michezo ndugu Jemedari Said bin Kazumari ameomba nafasi hiyo huku akiwa ametimiza vigezo kadhaa vya awali Kama elimu...
2 Reactions
9 Replies
2K Views
Kwanza nianze na kuwapongeza Yanga kwa kutwaa ngao ya jamii ikiwa ni sehemu rasmi kabisa ya kufungua pazia la ligi kuu. Wakati usajili unaendelea Kila timu ilikuwa na tambo za namna yake hususani...
6 Reactions
5 Replies
575 Views
Alipoingia mzungu, Simba ikaanza kupya na ndipo Yanga walipotake advantage ya kuisumbua Simba! Uchezaji wa mzungu ni ulele kwanza haoni margin uwanjani pia hakabi, chenga hajui!... Kweli viongozi...
2 Reactions
16 Replies
1K Views
Mashabiki makini wa Simba SC Mnyama tutakuwa hapa Live Jamiiforums. Mashabiki wa Simba dunia nzima wameendelea na vibe la Simba Day kona zote duniani,huku mashabiki wa Dar Es Salaam wakiendelea...
40 Reactions
589 Replies
40K Views
Wadau wa kabumbu tumeshuhudia timu zetu pendwa Simba na Yanga zikicheza Mechi za kirafiki. Kwa viwango vilichooneshwa na timu hizo unadhani nani anaenda kuteseka hiyo tarehe 13/08/2022?
2 Reactions
71 Replies
7K Views
Kwa rafu mbaya aliyomchezea Sure boyninapendekeza kamati bodi ya ligi kuiangalia vizuri video ya mchezo huu wa ngao na kuangalia rafu mbaya aliyocheza Inonga dhidi ya Sure boy. Na mbaya zaidi...
1 Reactions
1 Replies
752 Views
Back
Top Bottom