Jamii Sports

Football, Cricket, Golf, Rugby, WWE, Boxing, Tennis and much more...

JF Prefixes:

Ni mechi ya 3 tu lakini tayari Man City ni bingwa na Halaand kashachukua kiatu Hii ligi Pep kashaigeuza farmer league kama bundesliga na league 1, Hii ligi itakuwa na ushindani endapo Pep...
15 Reactions
69 Replies
3K Views
Timu ya Taifa ya Ivory Coast ambao ni mabingwa watetezi wa AFCON , wametajwa kuwa timu bora ya Taifa kwa upande wa wanaume
2 Reactions
3 Replies
300 Views
Hii ndiyo maana ya shangilia ya uyu dogo
2 Reactions
4 Replies
486 Views
King Mseke (9), mtoto wa msanii wa hip-hop Tanzania Joh Makini, amewasili katika Academy ya Klabu ya Manchester City nchini Uingereza kwa ajili ya mafunzo ya soka ya wiki mbili. Joh Makini amesema...
16 Reactions
35 Replies
2K Views
Maoni haya ni alert kwa vyombo vyetu vya usalama na diplomasia. Hakuna cha maana kinachoweza kuelezea vurugu hizi bali ni hujuma ya kimkakati ili kuonesha kuwa Tanzania na mashabiki wake wa soka...
2 Reactions
9 Replies
587 Views
Habari wadau, niende kwenye mada moja kwa moja... Tunajua Simba wana matarajio makubwa msimu huu baada ya kuongoza ligi ya NBC Premier league huku wakijiandaa na michuano ya African Football...
10 Reactions
27 Replies
2K Views
Kama kichwa cha habari kinavyojieleza hapo juu, Timu ya soka ya Yanga mnabidi kujifunza toka kwa waarabu, mmezidi kua wanyonge Sana, katika soka la Africa fitina za nje ya uwanja ni kubwa mno...
5 Reactions
8 Replies
593 Views
Hizi ni baadhi ya picha za waarabu waking'oa viti uwanja wa taifa so sad Kwa kweli Picha ya kwanza ni mwarabu mweusi
26 Reactions
103 Replies
5K Views
Mshambuliaji wa #ManchesterUnited, Marcus Rashford amesema yupo tayari kupata changamoto mpya nje ya klabu yake na kusisitiza kuwa hata ikitokea ameondoka hatajisikia vibaya. Amesema hayo wakati...
4 Reactions
4 Replies
592 Views
Ijumaa ya 16/08/2024 pazia la EPL litafunguliwa kwa mchezo baina ya Man Utd Vs Fulham kule Old Trafford. Kuelekea msimu huu mpya wa 2024/25 tabiri Top Four yako itaishaje mwisho wa msimu. Twende...
7 Reactions
51 Replies
1K Views
Rais wa Tanzania, Samia Suluhu Hassan ameipongeza klabu ya Simba kwa ushindi wake dhidi ya CS Sfaxien ya Tunisia katika Kombe la Shirikisho barani Afrika. Mechi hiyo imechezwa leo Jumapili...
4 Reactions
9 Replies
607 Views
Kwa watu wenye weledi wa mpira ni kuwa simba ana kibarua kigumu sana cha kufuzu mbele ya hili grupo lake kutokana na namna wanavyocheza na wapinzani wao sio wanyonge. Ili simba apite inabidi...
4 Reactions
24 Replies
1K Views
Vilabu vya kiarabu hasa North Africa vimekuwa vya hovyo sana,naweza kusema wenye mpira mzuri ni Al Ahly tu, kupaki basi sio tatizo ni mbinu ya kujilinda hasa unapozidiwa,lakini kupoteza mda...
4 Reactions
10 Replies
582 Views
Wote mnaosema wizara imeyumba Kwa iyo taarifa, niwaambie tu kwamba. Wizara haiwezi kuwaandikia Sfaxien walipe viti. Kwaiy sas kwasababu Simba ndo walikabidhiwa uwanja so ni jukumu lao kuhakikisha...
5 Reactions
41 Replies
2K Views
Match Day , shirikisho Vikosi vya leo Simba Constantine MPIRA USHAANZA 1900hrs kwa mida ya Tanzania kipindi cha kwanza kimeanza 2' Constantine 0-0 Simba 24' GOOOAL M Hussein anafunga goli...
18 Reactions
807 Replies
28K Views
Uchambuzi Katika Hali isiyo ya kawaida Jana makolo wakiwa kwenye michuano ya loser cup wamezua taharuki na kuchafua image ya nchi ambayo Yanga anahangaika kuijenga ....wameshinda....lakini pia...
6 Reactions
77 Replies
2K Views
Kuna watu waliokatia tamaa maisha, wikendi hii wakavalisha wenzao Sanda ili kuichafua image ya Simba iliyojengwa kwa muda mrefu kwa machozi, jasho na damu. Sasa hivi hao watu wanapiga kelele...
6 Reactions
19 Replies
711 Views
Hii nchi kuna makosa huwa mnafunga watu miaka mingi lakini ni ya kawaida sana. Kosa la kung'oa viti ni kosa la uhujumu uchumi. Hao ndio watu wasiojali kuharibu hata miundo mbinu mingine ya...
4 Reactions
10 Replies
385 Views
Chama cha soka Zanzibar kimemteua Rahma Abdalla Munir kuwa mchuwa Mapaja wa timu ya wanaume yaani Zanzibar heros Taarifa iliotolewa imesisitiza na Chama hicho kwamba Rahma Abdalla Munir atakuwa...
13 Reactions
62 Replies
3K Views
Back
Top Bottom