Jamii Sports

Football, Cricket, Golf, Rugby, WWE, Boxing, Tennis and much more...

JF Prefixes:

Achilia mbali kwamba picha na maelezo yamechanganywa maana aliyesajiliwa na simba ana miaka 23 siyo 29 jamaa wamefanya censoring ya logo ya M BET Mbona logo za sportpesa huwa wana post, kuna...
0 Reactions
35 Replies
4K Views
Hata Yanga wanamuhitaji Haji Manara.. Kalamu ya Ally Kamwe Ni 2016. Kwa haraka haraka sikumbuki siku wala saa, ila ni ndani ya mwaka huo ndio ilikuwa mara yangu ya kwanza kukutana na kuzungumza...
5 Reactions
24 Replies
5K Views
Hii team miaka na miaka mafanikio kwao imekuwa ngumu tofauti na zamani .. Nimesikia kuwa kipa wao Mussa Mbissa ameachwa na wameletea kipa mcomoro.! Unajiuliza Mbissa ameachwa kwa kosa gani? Eti...
5 Reactions
81 Replies
5K Views
Taarifa nilizozipata muda huu zinasema mabingwa wa Afrika, Wydad Casablanca, wametuma ofa ya dola laki nane za kimarekani [bilioni 1.8 za kitanzania] ili wamnase Pape O. Sakho raia wa Senegal...
11 Reactions
93 Replies
7K Views
Taarifa kutoka kwa afisa habari wa Al Akhdood Club. Kuna Taarifa kutoka kwa afisa habari wa klabu ya Al -Akhdood club akilalamika kwanini Simba sc wametumia Jina na nembo yao na kusema wamecheza...
2 Reactions
29 Replies
3K Views
salaam wakuu, Kauli mbiu yetu ya "DAIMA MBELE NYUMA MWIKO" ina maana nzuri bt inawapa mwanya watani wetu kututania utani mbaya unaotufedhehesha, hivo inapaswa kufanyiwa mabadiliko. MAPENDEKEZO...
1 Reactions
20 Replies
2K Views
Salaam wakuu, Sakata la manara limezua mjadala mkubwa sababu watu wengi wanaona hukumu ilotolewa haiendani na kosa, haiingii akilini kupishana kauli likawa kosa la kutolewa adhabu ile. manara...
2 Reactions
31 Replies
3K Views
Katika muendeelezo wa series ya Haji VS HAJI mtifuano ni mkali unaendelea, sijui ni episode ya ngapi hii
0 Reactions
3 Replies
935 Views
Mchambuzi anayetafuta umaarufu wa kijinga Oscar Oscar anamtetea Manara kuwa ameonewa, hivyo hastahili adhabu. Kwake yeye kumuita kiongozi wa soka mpuuzi ni jambo la kawaida, namuuliza Oscar kama...
11 Reactions
87 Replies
6K Views
Hoja yako ingekuwa na nguvu sana kama ungekuwa unamzungumzia mtu anayefanana naye kihadhi katika Mpira wa Tanzania. Najua unalazimisha sana ionekane Hajji ni wa hadhi sawa na wewe au na hao...
6 Reactions
53 Replies
3K Views
ANGALIZO kwa TFF Endapo TFF inakubali Kula Matapishi yake kwa Kuwasikiliza Wanaoshabiki UHUNI na MATUSI ya HAJI MANARA tunaitaka TFF iwajibike kwa kuwaondolea Adhabu na kurudisha Fedha za Faini...
8 Reactions
15 Replies
2K Views
Watu wa Soka, Nimechelewa kuwafahamisha lakini naamini baadhi ya wapenzi na mashabiki wetu wanafahamu kuwa tumemsajili Kiungo Mshambuliaji kutoka klabu ya Yanga SC, Deus Kaseke "Mwaisa", kuja...
0 Reactions
5 Replies
877 Views
Salaam wakuu, wengi hudhani ni mazoea tu, au pengine humaanisha simba ni kubwa kuliko yanga, jambo ambalo si sahih. ukweli ni kwamba, jambo hili limetokana na simba kuzaliwa na yanga, hivo...
5 Reactions
21 Replies
2K Views
Mkiambiwa manara ni duuude kuuubwa mnabisha, huyo karia akae kwa kutulia yaani kagusa waya wa moto na kama ikifika jumatatu hajamuomba radhi manara ajue hadi week ijayo atatolewa kwenye hiko cheo...
5 Reactions
38 Replies
2K Views
Endapo mtu angepata nafasi ya kurudi mwaka 2010 na kuwahadithia wapenzi na mashabiki wa soka la Tanzania kuwa utafika muda ligi kuu Tanzania bara itakuwa kubwa na kuwa na mvuto katika ukanda huu...
1 Reactions
25 Replies
2K Views
Kazi alipewa sope na aliifanya kwa ufasaha mkubwa, kumtukana Mo dewji na biashara zake, waliomlipa pesa na marupurupu mengine kama gari na kumpangia nyumba masaki wako kwenye msongo wa mawazo Je...
3 Reactions
18 Replies
2K Views
Watu wa Soka, Tumechagua Jiji la Arusha liwe kambi yetu maalum kwa ajili ya maandalizi ya msimu ujao wa Ligi Kuu 2022/23 (Pre-Season). Arusha patatufaa sana kwa sababu ni Jiji Tulivu, Hali ya...
2 Reactions
11 Replies
863 Views
Iwapo mama Samia au hata Waziri wa Michezo atatoa maamuzi juu ya kesi hiyo basi kitachotokea kitaitwa ”SERIKALI KUINGILIA MPIRA WA MIGUU”. Kosa hilo likiwafikia wakuu wa soka FIFA, basi TFF...
5 Reactions
96 Replies
5K Views
Habarini za jioni wanamichezo napend kuuliza kuulizia ofisi za marefaa
0 Reactions
7 Replies
2K Views
[emoji599]MANULA [emoji599]zimbwe jr [emoji599]kapombe [emoji599]nyoni [emoji599]kennedy juma [emoji599]mkude [emoji599]kapama [emoji599]habib kyombo [emoji599]dilunga [emoji599]kibu denis...
0 Reactions
5 Replies
553 Views
Back
Top Bottom