Jamii Sports

Football, Cricket, Golf, Rugby, WWE, Boxing, Tennis and much more...

JF Prefixes:

Ya Kwanza...... Inawahusu CEO wa Simba SC Barbara Gonzalez na Rais ajaye wa Yanga SC Injinia Hersi Said. Ya Pili....... Inawahusu Mwekezaji Mo Dewji na CEO wa Simba SC Barbara Gonzalez. Ya...
10 Reactions
39 Replies
3K Views
Hakika hii ni pumzi ya moto wanayohemewa Simba. Mwenye Nguvu mpishe tu. Walianza na Azizi Ki kwa ofa ya kibahili wakapigwa kanzu na Yanga kwenye kitita. Walitaka kumkomoa Morrison kwa...
3 Reactions
31 Replies
3K Views
Inaelezwa kuwa Bernard Morrison anaomba release letter kwa Simba, lakini Simba hawana presha wanataka mpaka mkataba wake utamatike kisha wamkabidhi barua. Inasemekana kuna muda aliwaambia kuna...
15 Reactions
260 Replies
15K Views
BUGGATI AKIGUSWA NI YANGA IMEGUSWA. Na Thadei Ole Mushi. Hima hima wanayanga wote Duniani, Ukiachana na Magoli anayofunga Mayele uwanjani, ukiachana na ubora wa kina Feisal, Ukiachana na Mpunga...
4 Reactions
18 Replies
1K Views
Niwape pongezi wanajangwani. Ila kwa jicho langu binafsi la tatu hii timu sio bora kivile. Kwa mfano ikienda kushiriki LigiKUU nchini Uingereza almaarufu kama English Premier League, basi kwa...
2 Reactions
23 Replies
1K Views
Picha linaanza jana habari zilitoka kwamba fainali ya super cup kati ya berkane na wydad itafanyika dar es salaam lakini baada ya CAF kupata habari kwamba kipenzi cha wapenda soka afrika kinataka...
1 Reactions
16 Replies
1K Views
Salaam Wana JF Hatimye bado wakimataifa (YANGA) wameendelea ku make headlines duniani kwenye vyombo vya habari na mitandao duniani baada ya kuwapongeza mabingwa wa kombe la ligue kuu ngumu kuwahi...
7 Reactions
11 Replies
919 Views
Kwenye page imyao ya nstagram, Asec mimosas wamemshukuru Ki Aziz kwa kupindi alichohudumu na mafanikio waliyopata na pia wamemuaga. Next....
5 Reactions
10 Replies
1K Views
Msemaji wa Simba amempongeza Benard Morisson kwa kupata kandarasi mpya na kusema hakuna shida. Ahmed Ally amemshukuru Morisson kwa kutumikia Simba kwa miaka miwili na kudai hamna haja ya janja...
0 Reactions
10 Replies
945 Views
Aisee kweli Yanga walimiss kushinda makombe, huwezi amini kwa lile shangwe lao kombe la Shirikisho la Azam tayari limeshakatika. Wacha niselete maneno mengi tazama hapa chini.
1 Reactions
17 Replies
1K Views
Mwezi wa nane mwakani mgeni anakuja mgeni ambaye wenzetu Ulaya wamemkataa lakini kama kawaida ya wazungu wakaamua kumleta Afrika na kama kawaida yetu tunamkumbatia bila kujali madhara yake kwa...
2 Reactions
44 Replies
4K Views
Rejea heading hapo juu. Huyu mnayemuita WAKILI MSOMI aliwatungua Makolo. Lkn hakuwahi kufanya hivyo kwa Yanga. Kama ni kweli amerejea Jangwani, there's high likelihood ataondoka Tanzania bila...
2 Reactions
12 Replies
1K Views
Kiungo mshambuliaji Christian Eriksen amekubali kujiunga na Manchester United na anatarajiwa kusaini mkataba wa miaka mitatu. Kocha wa United, Erik ten Hag alimuona kwa ukaribu mchezaji huyo...
1 Reactions
0 Replies
662 Views
Cristiano Ronaldo ameshindwa kuripoti katika mazoezi ya kujiandaa na msimu mpya katika timu yake ya Manchester United ikitajwa kuwa ana matatizo ya kifamilia Ratiba ilimtaka Ronaldo kurejea leo...
0 Reactions
0 Replies
739 Views
Habari wakuu. Mdhamini wa yanga Mr. Ghalib Said Mohamed amefiwa na kaka yake aitwaye Jamal huko india usiku huu Inna lillahi waina ilayhi raajiuun.
7 Reactions
41 Replies
5K Views
Bondia Mfaume Mfaume ameibuka na mkanda wa ubingwa wa WBF baada ya kumtandika Said Abdumonem kutoka nchini Misri kwa TKO raundi ya pili. Nacooz zimepigwa raundi ya kwanza na kuhitimishwa na...
4 Reactions
28 Replies
2K Views
Fainali hii itakuwa na faida kwa Wanasoka na Watanzania kwa ujumla.
9 Reactions
30 Replies
3K Views
Naomba kuwauliza makolo, hivi lile jina pendwa la 'wakili msomi' mlilompatia BM bado mnaendelea kulienzi?
4 Reactions
41 Replies
3K Views
Nadhani wengi wenu mlisikia kuwa kutakuwa naningezeko la wachezaji wasio zidi 5 wala kupungua 4 kwa ajili ya maandalizi ya msimu ujao. 1. Lazarous Kambole. [emoji736] Huyu ni mshambuliaji wa...
6 Reactions
12 Replies
3K Views
Nimekuwa nikipita katika jukwaa hili la michezo na mara nyingi nimekutana na habari za Simba na Yanga, ama mara nyingi limeegemea kwenye upande wa ligi ya nyumbani hasa mpira wa miguu. Nimeona leo...
7 Reactions
28 Replies
11K Views
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…