Jamii Sports

Football, Cricket, Golf, Rugby, WWE, Boxing, Tennis and much more...

JF Prefixes:

Kushoto nyuma; Makumbi Juma, Lunyamila, Abdallah Burhan, Abdallah Kaburu, Muhidin Sisso, Bakari Malima na Sure Boy. . Chini kushioto; Ally Malilo, Hassa Gordian Mapango & Mohamed Mkweche. ...
2 Reactions
19 Replies
3K Views
Kuna cheap propaganda zinaendelea kutoka kwa wana Simba ila sio kwa Yanga hii,Yanga hakuna gumu hatulijui hakuna gumu hatujalipitia sijui waje ni mishe gani ndio tuwaelewe. Nakumbuka kipindi cha...
1 Reactions
2 Replies
516 Views
Cristiano Ronaldo hatakuwa sehemu ya wachezaji wa kikosi cha Manchester United kinachotarajiwa kusafiri leo Julai 8, 2022 kuelekea Bangkok kwa ajili ya mechi za maandalizi ya msimu mpya, kutokana...
0 Reactions
3 Replies
878 Views
Demigod: Mbona suala la Utambulishaji wachezaji wapya lina sua sua. Kipi kinagojwa? Eng Hersi : Acha kuzingua Demigod kwani una haraka gani wewe? Demigod : Amna bhana. Wananchi wanataka kujua...
3 Reactions
5 Replies
990 Views
Yanga msimu huu mpaka mwisho wa msimu Form WWWDWWWDWWWWWWWWWWWWWWWWWWWWWWWW Goal Difference 103 Points 112 [emoji471] Top Scorers Mayele 61[emoji460] Feisal 46 Saido 43 Moloko 21 Chico 20...
5 Reactions
9 Replies
1K Views
UNATAKA nikupe maajabu mengine ya Fabrizio Romano? Hakuna maajabu sana. Simu yake inaweza kuwa na namba 2,000 za watu mbalimbali duniani. Lakini kuna namba ‘ameisevu’ kwa jina la Jorge Mendes...
13 Reactions
27 Replies
3K Views
Habari ndugu zangu wa humu hjamiiforums, nina ndugu yangu wa kiume kamaliza degree ana ameingia miaka 23 mwezi huu, Kwa sasa yeye anachotaka ni kuwa refa ila hana a,b,c,d za kazi zikoje...
0 Reactions
5 Replies
893 Views
Yaani Klabu kama Berkane FC wamtake na Wewe na Vipesa vyako vya Dhuluma na Ukwepaji Kodi wa Ofisi yako ya Salamander Posta ndiyo umpate? Jiandae Kuumbuka tu Kudadadeki!!!!
6 Reactions
26 Replies
3K Views
Yes twende na Caamil/Hersi Said huyu jamaa typical ni MwanaYanga kindakindaki uzuri wa jamaa hana longolongo akisema amesema inaonekana mwamba hana tamaa ya fedha kama wale wengine jamaa ana...
3 Reactions
17 Replies
1K Views
Umeona wapi Mgombea wa Urais wa Vilabu vya Michezo ( siyo Siasa ) anaenda kuomba Kura halafu anaambatana na Mgombea Nafasi ya Umakamu na bila haya ( aibu ) akijua ni Kinyume na Katiba ya Yanga SC...
5 Reactions
62 Replies
3K Views
Ukilifanikisha hili ( likiwa kweli ) naenda Kukusaidia Haja Kubwa Getini Lugalo Barracks Mchana Kweupe mbele ya MP's akina Lydia, Mwita na Clement.
3 Reactions
7 Replies
866 Views
Tukisema tunaonekana wabaya au tuna chuki, mgombea ameenda kuomba kura akiwa na kombe la ubingwa. Kwahiyo Klabu imetoa authorization kwamba huyu ndiyo Rais na sio mgombea. Kama hivyo ndivyo...
12 Reactions
45 Replies
2K Views
Simba haionyeshi ukomavu kwenye soka hata baada ya kufikisha miaka zaidi ya 80 tangu kuanzishwa kwake. Kila mtu waliwasikia viongozi wa Simba wakimuaga na kumtakia kheri Morrison huko aendako...
6 Reactions
113 Replies
6K Views
Barbra Banda ameondolewa kwenye michuano ya Kombe la Mataifa ya Afrika kwa Wanawake (WAFCON) baada ya kufeli vipimo vya “kustahiki jinsia” kutokana na kiwango chake cha homoni za testosteroni kuwa...
1 Reactions
8 Replies
2K Views
Nisiwachoshe wa jamvi humu, kama kichwa kinavojieleza Simba tunapigwa na kanjbhai. Leo nimemsikiliza huyu mgombea wa yanga jinsi kampun itakavokuwa baad ya yanga kuingia mfumo wa kisasa,, kwa...
5 Reactions
17 Replies
1K Views
Tunaendelea tulipoishia! Hapa hafungiwi mtu, Manara ataendelea kuwapelekea simba moto kama kawaida, hizo ndoto za abunuwasi kwamba Manara atafungiwa msahau, Sana sana Manara ataambiwa alipie...
2 Reactions
31 Replies
2K Views
Watu wa Soka, Taarifa iwafikie kuwa Mshambuliaji wetu Habib Haji Kyombo yuko huru kujiunga na timu yoyote baada ya kuamua kuvunja mkataba na timu yetu. Kila kitu kimeenda sawa na kupitia yeye...
9 Reactions
32 Replies
2K Views
Sio maneno yangu bali ni CAAMIL8 mwenyewe. “Wananchi, tumefanya usajli wa maana, tunaenda kuweka historia kuwa club ya kwanza Tanzania kuleta mchezaji kutoka ligi kuu ya Uingereza kuja kucheza...
4 Reactions
29 Replies
2K Views
Babu yang aliwah nambia mjukuu wangu ikitokea ghafla umekutana na Simba polini usikimbie wew mtazame machoni tu .ukimtazama mda mrefu machoni simba anatabia ya kuona aibu. hivyo ni rahisi kukuacha...
0 Reactions
2 Replies
717 Views
Kizuri chajiuza, kibaya chajitembeza. U-live kuna watangazaji wastaarabu. Wachambuzi bora kabisa. Na habari zao ni za uhakika. Wana programs zimetulia, wameweka standards zao za sponsors wa...
3 Reactions
15 Replies
2K Views
Back
Top Bottom