Giza limekuwa jeusi tiiii...
Huenda msimu ujao ukawa mgumu zaidi kwa simba kiasi cha kutokuwepo hata top 10 😂😂
Msimu ujao ninachoona historia huenda ikajirudia kwa Simba kurudia lile tukio la...
Bila kupoteza muda nijikite kwenye mada tajwa.
Mpaka sasa simba imeshatangaza kukamilisha usajili wa wachezaji 2 Moses Phiri (Zanaco) na Habibu kyombo (Mbeya kwanza)
Yanga mpaka sasa...
Jana uongozi wa Yanga wamemtambulisha mchezaji aliwahi kuichezea newcastle united Gael Birigimana.
Tangu atambulishwe kijana huyu kuna maneno mengi yamekuwa yakizungumzwa ikiwemo Takwimu zake...
Eti amekataa ofa ulaya kwa vile ameridhika na plans za Rais wa Yanga, jamani.
Hivi unaweza kukataa ofa ulaya kweli, kwahiyo unatuona wote wajinga au utakuwa ulifundishwa kuyasema hayo maneno...
Hivi najiuliza kwanini ballon d'or au mpira wa dhahabu kutoka africa wanachukuwa wachezaji kutoka Ulaya.
Mimi nafikiri hizi tunzo zao wawape wachezaji wa ndani tu wanao cheza mpira ndani ya...
Ndiyo George Mpole kamaliza ligi na magoli 17 kwenye ligi yetu madafu wakati Sadio Mane kaishia goli 16 na lukaku hata magoli kumi hakufikisha EPL
Imeibuka tabia isiyo ya kiungwana ya...
Bondia Tyson Fury amesema kuwa yupo tayari kutoka kwenye kustaafu na kurejea ulingoni kupigana na Anthony Joshua bila malipo kwenye Uwanja wa Wembley, England.
Fury, 33, alishinda pambano lake...
Nasri Khalfan: Mwamnyeto alistahili tuzo:
"Binafsi Bakari Mwamnyeto alistahili tuzo ya beki bora wa msimu, vitu vingi kitakwimu kamzidi Inonga. Wote Mwamnyeto na Inonga wamecheza michezo (27)"...
Gael Bigirimana ni alikuwa Midfielder wa Glentoran na Midfielder wa Timu ya Taifa ya Burundi. Pia amewahi kuchezea EPL na Newcastle. Hii ni Surprise tu usajili mkubwa unakuja kwa Wananchi
Mmiliki mpya wa Klabu ya Chelsea, Todd Boehly amekutana na Jorge Mendes ambaye ni wakala wa Cristiano Ronaldo ikidaiwa wamezungumza kuhusu usajili wa mshambuliaji huyo raia wa Ureno.
Inaelezwa...
Mchezaji wa Simba SC Mohammed Hussein Tshabalala hakika anajua sana 'Kuwakoga' Wachezaji wa Yanga SC akina Mayele na Morisson.
Yaani Mwenzao yuko Mapumzikoni nchini Dubai ( UAE ) na Mkewe na...
[emoji626] Records
[emoji736]— Most UCL titles(club)- Real Madrid (14)
[emoji736]— Most UCL titles(player)- Paco Gento (6)
[emoji736]— Most trophies[emoji471](club)- Al Ahly (121)
[emoji736]— Most...
Bado sijaelewa sababu hasa za Habibu Kyombo kusajiliwa na Simba , timu mbili alizochezea zimeshuka daraja , sasa labda Timu yetu ya Simba itufichulie kama inamlipa fadhila baada ya kushiriki...
Sureboy amesajiliwa Yanga katika dirisha dogo kutoka azam ambako hakuanza msimu vizuri sana mbele ya viungo wa Azam Keneth Muguna, Mudathir na wengine. Akaenda Yanga ambako tayari tayari Aucho...
Soka la Bongo bwana, eti mchezaji katambulishwa kwenye mkutano wa uchaguzi, tena tunaambiwa alicheza Newcastle, mbona Saido Ntibazonkiza alicheza Ulaya, kipi cha maana alichofanya, tuache sanaa...
Mimi ni shabiki wa damu wa Dar Es Salaam Young Africans lakini hiki kilicho tokea kwa kijana mwenzetu Habib Kiombo kimenigusa sana.
Habib ame twezwa.
Anacho fanyiwa Habib ni public humiliation...
Wachezaji waliosajiliwa na club ya Simba takwimu za musimu 2021/ 22.
Mosse Phiri 13 goal
Habibu Kyombo 6 goal
Young Africa.
Kambole 0 goal.
Bernard Morson 3 goal
Gael Birigmana 0 goal...
Mfumo wetu wa ligi utakuwa kama ifuatavyo
1. Ligi itakuwa ya makundi kwa maana yatakuwepo makundi ma nne kila kundi litakuwa na wachezaji wasio punguwa watano
2. Kila kundi litatoa wachezaji wa...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.