Jamii Sports

Football, Cricket, Golf, Rugby, WWE, Boxing, Tennis and much more...

JF Prefixes:

Kipindi cha Sir Alex Ferguson yeye ndie alikuwa mfalme hakuna mchezaji aliyekuwa ana nguvu au kuonesha makucha mbele yake. Ndio maana kuna nyakati aliwaondoa wachezaji kama Jaap Stam, David Beckam...
4 Reactions
13 Replies
2K Views
Abdi Banda amenukuliwa na mtandao wa Kick Off Magazite wa South Africa Banda is a former Simba player who has also been on the books of Baroka and Highlands Park but now features for Mtibwa Sugar...
3 Reactions
84 Replies
9K Views
Hakuna ubishi kuwa Simba ndio nembo ya Taifa hili kwenye medani za kimataifa ngazi ya klabu barani Afrika. Simba imekuwa tunu ya Taifa hili hakika tunapaswa kujivunia, huko nyuma tulikuwa...
10 Reactions
42 Replies
2K Views
Ni misimu kadhaa imepita washambuliaji wengi waliosajiliwa na Yanga wamekuwa wakiikwepa jezi namba tisa kukiwa na imani potofu kuwa jezi hiyo ina mkosi Kuna nyakati jezi namba 9 ilipachikwa jina...
3 Reactions
3 Replies
2K Views
VERIFIED COMMENT Ni wazi Clatous Chota Chama hamuwezi Saido Ntibazonkiza. Kwa màana Ukilinganisha kuanzia Goal contributions huu msimu wa ligi. Quality yao mpaka CV kubwa na Exposure ya soka la...
2 Reactions
27 Replies
2K Views
Nisha zoea kupasuka, na leo naweka 256,000tsh kwa ajili ya jackpot [emoji41] Nilisha umiaga sana mpaka nimezoea.
0 Reactions
6 Replies
1K Views
Ni katika muendelezo wa kukirimu wageni, ile kamati nguli ya mapokezi inajipanga kupokea VAR na wasimamizi wa VAR watakapowasili nchini kwa mechi kati ya mabingwa watarajiwa wa confederation cup...
5 Reactions
15 Replies
2K Views
Habari wana jukwaa. Naomba niende moja kwa moja kwenye mada yangu, Mnamo tarehe 22/02/2022 shirikisho la mpira wa miguu Duniani (FIFA) lilizipiga marufuku nchi za Kenya na Zimbabwe kujihusisha na...
0 Reactions
1 Replies
1K Views
Siku chache tu zijazo Yanga SC inatimiza mwaka Mmoja tu (ila siyo Msimu) wa Kucheza Ligi Kuu bila ya Kufungwa. Tayari kuna baadhi ya Watangazaji wa Michezo wa Redio na Television bila kuwasahau...
3 Reactions
13 Replies
2K Views
Ni mtazamo wake. Matusi yaelekezwe kwake. Mjumbe hauawi
1 Reactions
24 Replies
2K Views
Taarifa kutoka ndani ya Manchester United ni kuwa klabu hiyo ipo kwenye hatua za mwisho kukamilisha mchakato wa kumtangaza Erik Ten Hag kuwa kocha wao mkuu alitokea Ajax ya Uholanzi. Man United...
1 Reactions
2 Replies
2K Views
Wakuu Fifa imechagua Waamuzi 8 Kutoka Barani Afrika. . Orodha Yao ni Hii Hapa Chini Papa Bakary Gassama • Mustapha Ghorbal (Algeria) • Redouane Jiyed (Morocco) • Tesssema Balmak (Ethiopia) •...
4 Reactions
27 Replies
2K Views
Droo ya Robo fainali ya Michuano ya Ligi ya Mabingwa Afrika na Kombe la Shirikisho kufanyika leo saa 10 jioni. Simba Sports Club wakiwa Wawakilishi pekee wa Tanzania Wanataraji kukutana na timu...
5 Reactions
144 Replies
14K Views
kwa kweli nchii hii ina safari ndefu embu jionee maarifa na uwezo "mkubwa" wa wachambuzi wa kibongo a.k.a ma genius, huyu bwashee kajiandikia ka tweet chake halafu kafuta.
1 Reactions
14 Replies
1K Views
Leo naomba nitoe Elimu Kiduchu ya Unujumu ( Uchawi ) ni kwamba mara nyingi Jini la Simba SC huwa linakuwa 'Active' sana kati ya Saa 10 hadi Saa 12 na Saa 1 hadi Saa 3 na hiyo ya Saa 10 hadi Saa 12...
3 Reactions
52 Replies
4K Views
Fifa yaipiga marufuku Kenya kutoshiriki katika vitendo vyote vya soka Shirikisho la kandanda duniani, Fifa, Alhamisi limeipiga marufuku Kenya kushiriki shughuli zote za kimataifa kutokana na...
5 Reactions
29 Replies
4K Views
Onyango na Kanute watakosekana kutokana na kadi 3 za njano katika mchezo wa mkondo wa kwanza hapa Nyumbani dhidi ya Orlando pirate Lakini sioni Pengo kwa kuwa mchezo huo utahitaji kushambulia...
1 Reactions
21 Replies
2K Views
Bondia mstaafu Floyd Mayweather anatarajiwa kurejeaulingoni kwa kupigana na Don Moore katika pambano la raundi nane la maonyesho ambalo litafanyika Mei 14, 2022, Dubai. Mayweather atapigana na...
2 Reactions
5 Replies
1K Views
Wasalaam wanabodi Sina neno, niseme tu kwamba Mimi ni shabiki na mwanachama halisi wa Dar es salaam Young African Kuna uzi upo humu ambao umeanzishwa na member mwenzetu humu, akionekana kujua...
23 Reactions
57 Replies
6K Views
"Nimekuwa nikiulizwa sana hili Swali kama Chama kuanzia sasa atacheza Michuano hii ya Kimataifa naomba niseme Chama hatocheza Michuano hii ya Kimataifa" ameandika Ahmed Ally ( Mkuu wa Mawasiliano...
7 Reactions
24 Replies
3K Views
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…