Salaaam wakuu, tafadhali naomba kujua uhalisia wa hii taarifa iliyowekwa kwenye gazeti hili la Mwananchi khusu Mzee warioba kuwa ametoa pongezi, haki na uhuru umefanikisha uchaguzi.
Katika pitapita zangu huko mtandaoni nimekutana na hii video kuwa Mbowe amekiri kuwa CHADEMA ni chama chake binafsi, kuna uhalisia gani kwenye video hii wakuu?
Hili suala linachanganya sana, wengi wanasema Lissu anazuiliwa kugombea uwenyekiti na ndio inapelekea yeye kuanika uovu wanaofanyiana. Kwanini watanchi tuchague watu wa namna hii?
Video ya Juu ni ile inayopotosha, video ya Chini ni ile inayozungumza Ukweli kutoka BBC.
Tundu Lissu
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.