Katika tembea tembea hukoo kuna kitu/vitu tunajifunza kuhusu mambo mbalimbali. Binafsi nimefahamu mengi pamoja na baadhi ya madawa ya kiasili ya ukanda huo. Madawa yatokanayo na majani au miti...
Basi nimepita maeneo ya Buguruni kwenye msiba, Punde Kuna mtoto alikuwa anapita na babu yake karibia na Msiba, akaona watu wanalia, akamuuliza babu yake, Eti na hawa wote hawana vyeti mbona...
Wakuu leo ni siku ya wanawake duniani na hivyo basi leo nataka tumpate malkia wa nguvu wa JF .
Msichana/Mwanamke yupi unaona anafaa kuwa malkia wa JF?
Twende kazi.
"Safari ya chizi siku zote huwa ndeeefu lakini mwisho wa siku anarudi na makopo" JERRY MURO
Usiku mwema Mikia wa msimbazi [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
hata cjui kwa nini ,labda kwa sababu tunafanana ID..nampenda tu lakin(SIYO KIMAPENZI BAUNGWANA MSINISHAMBULIE BURE)
NASISITIZA TENA SIY KMAPENZI MANA WATANGANYIKA MKISIKIA KUPENDA MNAWAZA MENGINE TU
Pamoja wakuu!!
Nina safari ya mwanza kesho kutokea kahama, sina mtu ninaefahamiana nae huko niendako na nitakuwepo kwa zaidi ya miezi 2 kikazi.
Naomba kwa wadau walioko humu wa mwanza naja...
Nauliza tu wanajamvi hivi wachawi wa JF kama vile mshana jr,rakims,mzizi mkavu na mtu mzito wanashindwa kuwaloga mods ili wasipewe ban?
Pia ni kweli hawawezi kupiga ramli kugundua id's za member...
Wakuu leo tutaje great thinkers na villazer wa JF ili kwa wale great thinkers waendelee kutema nondo na wale villazer wabadilike
Hapa unatakiwa kutaja great thinker mmoja na killazer mmoja
Kwa...
Nimekuwa naumizwa sana na hali ya mrembo Joketi kukosa mwanaume wa maana. Ambaye wataweza kujenga naye future na sio kuchezewa kama hawa wakina Ali Kiba ambao hawana future...... Kwa ujumbe huu...
habar yenu nyote wakuu...
nawaalika nyote tumulike kwa kujadiliana, ni sababu zipi zinapelekea watu wengi kuvutika na habari zisizo na mashiko ktk kubadili maisha yetu kiuchumi.....
wanaouza...
[emoji175] NAIRUDIA HII KWAAJILI YAKO WEWE! [emoji175]
[emoji673]Wewe ambaye miaka mi5 ya uchumba,
ushamfunuafunua mtoto wa watu kama Sufuria la Pilau msibani,
[emoji673]Unamjua mwili wake kama...