JF Chit-Chats and Jokes

General Chat, Talk about anything that falls under no category on the board, but remember FOLLOW THE RULES!
Habarini jf members, nakuja mbele zenu kuomba msaada wa dawa ya kupunguza au kutibu kabisa ulevi wa jamii forum, nimekua mtumwa wa kukesha jf haipiti nusu SAA sijaingia jf, hata nisipo toa post...
2 Reactions
8 Replies
1K Views
Aman ya bwana iwe nanyi wapendwa Iv ni kwanini ukiingiza demu gheto kabula ya kuangalia yote hupenda sana kutupa jicho kitandan kabula ya kuangalia sehemu nyingine, Kwanini waanzie kuangalia...
0 Reactions
10 Replies
2K Views
Nimeona watu wakitoa maoni tofauti pale Rais anapo kua na urafiki na Rais mwingine wakiamini urafiki wa hawa wakubwa ni urafiki wa nchi hizo mbili. Sasa nataka kuuliza wewe mwanajamii forum...
0 Reactions
9 Replies
922 Views
Kila nikilog in jf nakuta huyu mtu kalimwa ban anaitwa 1.Kenzy 2.snipes 3.rais20 Yaan lazimaa sijui huwa wanaandika nini hawa watu mpaka wanafungiwa hasa Kenzy ,,,kama nawe unawajua wengine watajee
6 Reactions
72 Replies
4K Views
SWALI: Nini maana ya matatizo..? JIBU: matatizo ni pale unapopewa adhabu na mwanajeshi then akakuruhusu uondoke, lakini ukarukia pikipiki yako halafu ukapayuka..!!!!! Mwanajeshi, wee boya Tu Mara...
3 Reactions
14 Replies
6K Views
0 Reactions
8 Replies
2K Views
MASHARTI ……...!! 1. Hakuna matusi! 2. Unaandika sentens kwa kuanza na neno la mwisho la mchangiaji aliyepita...mfano "Mama anapika" kama ww ndiye unafuata unaanza na neno "anapika".....Anapika...
0 Reactions
4 Replies
1K Views
1 Reactions
12 Replies
2K Views
*WASANII WAFUATAO WANATAKIWA NA MAKONDA JUMATATU* Christian bella Dimond Ally kiba Dogo janja Chege Jack wolper Iren uoya Madee Baraka tino wasanii hawa wanatakiwa na makonda wa daladala za...
2 Reactions
4 Replies
2K Views
Mzee kaingia pharmacy, MZEE: Mambo mwanangu, kuna kitu naomba uonje nitakulipa MFAMASIA: Kitu gani?….Mzee akatoa kichupa na kijiko akaweka …majimaji yaliyomo kwenye kichupa kwenye kijiko na...
8 Reactions
20 Replies
3K Views
Najua jinsi gani ilivyo ngumu kuvumilia ila naomba tukumbushane maana sheria haziangalii sura Kutembea na mwanafunzi ni miaka 30 jela
2 Reactions
35 Replies
5K Views
How to spell a phone number in tanzania in words: Bashite seven six seven four nintyfive tripple bashite. 0767495000
1 Reactions
8 Replies
2K Views
Nawashukuru wakuu.nimejitahid kuwahi ili niweze kupata seat [emoji575] karibu na ya mbele lkni zoote zimejaa.hakuna hakuna kilichoharibika.nitakuwa namuona mtumishi wa Mungu kwa mbaaal.ninaaman...
2 Reactions
1 Replies
869 Views
Habari ya muda huu GF.natumai mko salama nyote.straight to the point.. Mungu akinijaalia uzima kesho nitakwenda kwa mwl mwakasege kupata neno la Mungu.lakin shida iliyopo kwangu ni kwamba sijui...
2 Reactions
12 Replies
3K Views
Mi nimezaliwa Mwanza na sikuwai kufika Misungwi. Leo nimeamua kwenda kutembea uko Misungwi. Ninania ya kukutana na wananzengwe ili nijue historia ya Daudi Bashite. Nimechoka kusikia habari za...
4 Reactions
18 Replies
3K Views
Naendeleza Ubashite kwa aliyetayari, maana nimesoma kwa zaidi ya miaka 16 lakini serikali haijathamini kazi niliyoifanya kuhangaika kwa miaka yote. Kwa aliyetayari karibuni sana.
0 Reactions
3 Replies
1K Views
Mwalimu: Kama kaka yako akisomea Uhandisi utamwita brother Engineer, je dada yako akisomea Sheria utamuitaje? Bashite: Sister in-Law.! Mwalimu: Usipobadilika utarudi Kolomije na ndala...
2 Reactions
3 Replies
4K Views
Habarini wakuu!! Ni mara yangu ya kwanza kuweka uzi humu ndani hvyo tusameheane kwa mapungufu yatakayo jitokeza!! Napendelea sana kuingia youtube kufatilia mambo mbalimbali,ktk pitapita zngu...
1 Reactions
4 Replies
696 Views
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…