JF Chit-Chats and Jokes

General Chat, Talk about anything that falls under no category on the board, but remember FOLLOW THE RULES!
Habari wanaJF na wanaChitchat kwa ujumla wake. Kama familia moja inapofika usiku ni kawaida kutakiana njozi njema na usingizi mwema huku tukimuomba mola atuepushe na hila zote za mwovu shetani...
3 Reactions
50 Replies
4K Views
1.wavivu wakufikifiri na kuchanganua mambo kila kitu wanataka watafuniwe hata kama wanakiona wazi basi hukosa kujiamini mpaka mtu awasamee,mtu anaweza akaja na quote kutoka kitabu flan ila sababu...
2 Reactions
5 Replies
2K Views
Kwa wale waliowai kuishi mbeya au wanaishi now ningeoenda kujua hali halisi ya jijini humo .Jamii yake ipoje ,upatikanaji wa chakula upoje,watu wanaishije kijamaa zaidi au kila mtu na mambo...
0 Reactions
26 Replies
2K Views
Nimeona baadhi ya watu wameweka hii profile picture... Sio mtu mmoja ni watu kadhaa. Je hii ni movement mpya kama ile ya Makapuku forums au? Kwa nini wote waweke picha inayofanana? Je nikitaka...
2 Reactions
44 Replies
6K Views
[emoji117]inachukua sekunde 7 baada ya kumeza chakula kufika tumboni [emoji117]Mtu akifa,ubongo hutumia dakika 15 kumalizia shughul za mwilini [emoji117]mwanamke ndio kiumbe chenye huruma zaidi na...
2 Reactions
3 Replies
1K Views
Asalaam Aleykyum, Nina tamani tena nina shauku kubwa kuona thread ya Mrembo huyu (nina uhakika na urembo wake) ikisema:- "Niulizeni swali lolote nitajibu" Hii ni kufuatia kujitolea kwa baadhi...
6 Reactions
56 Replies
6K Views
Habari wapendwa! Kuna muda kadiri mambo na matukio mbalimbali yanavyoendelea mtu unatamani kama ungekua kama mtu fulani/cheo fulani/fani fulani. Mimi naanza kwa kusema I WISH I COULD BE A "LAWYER"
2 Reactions
19 Replies
2K Views
Alaf wale Madem wanaowavua maboy wao KOFIA alaf wanakimbia nayo thinking its FUNNY and ROMANTIC.. Hiv nyie mkivuliwa MAWIGI wakakimbia nayo mtajiskiaje?
1 Reactions
6 Replies
2K Views
Examining a female patient brutally beaten by her husband, Doctor tells her: “Your heart, lungs, pulse, BP are fine. Now let me see that cute little thing which gets you ladies into all kinds of...
2 Reactions
4 Replies
2K Views
Hatimaye yule kamanda fake a.k.a Dj yupo mikononi mwa makamanda wa ukweli a.k.a jeshi la polisi la Tanzania. Pamoja na kujificha koote, ila kadakwa kwenye kichocholo alikokuwa kajificha. Alipenda...
4 Reactions
21 Replies
3K Views
Njooni hapa kwa malipo
0 Reactions
21 Replies
2K Views
Wow...Kiukweli I don't have full words of explaining how the world chear up, ulivyokuja ulimwenguni. Congratulations the Most Beautiful Woman!! Yaaah we are happy for u! Hongera sana kwa kutimiza...
6 Reactions
232 Replies
16K Views
my wife 'Valentina' I miss you when something really good happens, because you're the one I want to share it with. I miss you when something is troubling me, because you're the only one who...
7 Reactions
230 Replies
21K Views
Hello guys mko poa.. Habar za mihangaiko ya siku nzima Ok, kama kichwa cha mada kilivyo jieleza. Nadhan wengi humu kunawatu mnawapenda haijarishi ni kimapenzi au kiurafiki so deal lipo hivi...
1 Reactions
158 Replies
6K Views
Hongereni sana na mzidi kuwa wema na makini hivyo hivyo kwani ningeshangaa sana kama kuna Member humu anatumia dawa za kulevya au Bangi na hata kunywa Gongo ila bahati nzuri wote tuko safe. Kila...
2 Reactions
39 Replies
2K Views
Jamani Leo nimeenda dukani kununua UNGA wa Ugali chakushangaza bei nikaikuta kilo Tsh 2000/=, nikauliza mchele je nikajibiwa Tsh 1800/= Duu unga bei juu zaidi ya mchele ??? Tola lini mambo haya...
1 Reactions
5 Replies
2K Views
Kama umekaa kwa miaka mingi town utaona kabisa wahuni wamepungus sana, Kwenye kundi la wahuni kuna wababe wa mtaani, vibaka, matapeli, n.k Zamani kesi za vibaka zilikuwa nyingi sana kuzidi sasa...
1 Reactions
10 Replies
1K Views
Back
Top Bottom