Aisee tembea uone jamani yaaani mpaka nashindwa kusabahi hapa kutokana na hili jukwaa letu pendwa la cc yaani kumeshaingiliwa humu wewe uliona wapi mauzi ya mmu yakaingiliwa huku yaani bagalashala...
Wakuu kunaMwanamke ana mtoto na ananyonyesha na bado mtoto bado hajaanza kutembea ila anatambaa na kunyanyukia vitu
Sasa nikitaka Kufanyanya naye tendo la ndoa anadai kwamba lazima nitumie mpira...
Nakumbuka enzi za nokia ya tochi ikifika night kali karibu watu wote wamelala na hakuna wa kuchat nae wala wa kumpigia hivyo na wewe inabidi ulalae tu labda uwe na jambo la msingi la kufanya...
Habari zenu wakuu..!
Kuna mambo ambayo sisi binadamu (hususan wabongo) tunapenda kurahisisha mno hata kama ni magumu katika uhalisia, ingawa ni kweli kwa mtazamo wa haraka haraka huonekana ni...
Jamaa mmoja aliyekuwa amefungwa kwa kuonewa alikula mchongo na mzikaji wa gereza jinsi ya kumtorosha. Basi wakakubaliana kuwa siku jamaa akisikia kengele ya msiba pale gerezani basi akimbilie...
_*World's*_*poulation*_ _*statistics*_
TOTAL poulation:7.8 billion people
WOMEN:5.6 billion
MEN:2.2
then
1 billion MEN are married
485,561 MEN are in jail,sober house and mental retard...
Jamaa anawakumbusha wanaume wote wasisahau ile ahadi waliyo discuss kua leo valentine day wanaume wote wazime simu hadi hapo valentino day itakapoisha... kaniambia niwakumbushe, asanteni sana kwa...
Ni kiza kinene kimeingia na kama kawaida ilivyo kwa wanachaputa ni mwendo wa kutia dole kwenye mafuta ya vaseline ya mgando ili uzitoe stress zako na kujipa raha.
Game limekolea, Umetia...
Binafsi ni moja wa watu niliowahi kuexperience kufungiwa selo, Niliwekwa lock up Police central pale Arusha, Nlivyofika niliingia chumba kidogo cha kutoa maelezo ya kesi na kuhifadhi vitu...
*Nakumbuka mitihani ya Darasa la saba ilikuwa inaanza kama utani utani hivi*
19+87=
219-45=
12x34=
59÷7=
Halafu huko mbele sasa kuanzia swali la sita au la saba hivi...utajutaa!!
"Ndege inatoka...
Umeenda kutembea ukweni kwako baada ya chakula cha usiku, unataka kutoka kwenda kujisaidia, kwasababu taa zimezimwa unapamia vyombo vya chakula sebuleni (ukumbi) kipindi unajaribu unapapasa...
Salaam wana JF.
Wilaya ya Ukerewe ni kisiwa chenye hazina ya wasomi kibao ktk nyanja tofauti tofauti! Hadi mwaka 2005 kulikuwa na Ma-Professor takribani 65 ukiacha wachache kama Prof. Machunda...
Habari. Natafuta rafiki wa kiume (awe na miaka 32 na kuendelea) kwa ajili ya kubadilishana mawazo. Mimi ni wakike miaka yangu 32. Aliyetayari PM tafadhali
Habari kwenu wana Jamii forums.
Miaka ya 2007/8 kuna jamaa kutoka Italy alikuwa ana hit sana kwenye mitandao ya kijamii kuanzia Global publisher,Michuzi na Bongo celebrity,nakiri yeye ndio...
Kuna Mwafrika alipanda ndege na kukaa karibu na mzungu ambaye anasafiri na nyani wake,jamaa mara akaenda chooni kurudi akakuta mfuko wake ulikua na ndizi uko mtupu, akamuuliza yule mama wa...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.