JF Chit-Chats and Jokes

General Chat, Talk about anything that falls under no category on the board, but remember FOLLOW THE RULES!
Dada zetu huwaambii kitu kuhusu wanaume wenye miili hii ya kujengeka. Au nakosea dada zangu?
5 Reactions
12 Replies
711 Views
Mnyonge mnyongeni lakini haki yake mpeni hawa machawa wakiongozwa na chawa mkuu Mwijaku wanafanya mji unachangamka sana yaani hii style ya kusifia watu wazito na vimisemo misemo flani hivi...
2 Reactions
23 Replies
863 Views
Hebu tujaribu udadisi huu kidogo. Mimi nilizaaliwa miaka kadhaa iliyopita leo nimegundua siku na tarehe zimejirudia ila mwaka na mwezi ni tofauti; je, ndugu zangu mnajua nimezaliwa mwaka gani...
0 Reactions
17 Replies
455 Views
SHARUBU; Kuna Shabiki wa Yanga humo Nije ????πŸ˜„πŸ€£πŸ€ͺπŸ˜†πŸ˜„ WATALII; Hapana Mkuu, Sisi ni Mashabiki wa MAMELOD tumetoka Nchi za Mbali, tumekuja kuliamsha Dude kwa Mkapa tarehe 30 dhidi ya Hao Yanga...
2 Reactions
1 Replies
185 Views
Wakati huo wimbo huo unatoka (y tony-masebene) nilikuwa ni playboy kiukweli.....kwahiyo nilikuwa sielewi nni kimeimbwa humo.. Ila baada ya kuhamia timu WAPENDANAO ..nimeanza kuelewa maana...
3 Reactions
4 Replies
587 Views
Ni ukweli kabisa jina la ID yangu sijawai kuona lolote kwangu ni mekwenda kila mmoja ananiogopa maana kama vitengo vyote na mashuuda yako yamekataa. Kisa cha mganga: nilikwenda kwa mganga...
4 Reactions
34 Replies
851 Views
Hello wana Chitchat! Ninaomba mpokee taarifa ya mahusiano mapya kati ya Elizabeth Dominic na Ben Saanane kuanzia leo. Nimeyafiki mapinduzi haya kwa kuwa Madame B anamiliki SACCOS ya wanaume wakati...
22 Reactions
577 Replies
27K Views
Watsap JF! Hivi unahisi ni kwanini Wanawake wanapenda sana sherehe / shughuli?
8 Reactions
65 Replies
1K Views
Binafsi tangu nakua nime experience maeneo mengi sana jijini dsm kwa kiwango chake na pengine kusimuliwa stories na washua kadhaa kwa maeneo/cinemas na viwanja matata vilivyokuwepo enzi hizo kwa...
0 Reactions
15 Replies
5K Views
Nani anafurahia mvua ya leo Dar?!I'm NOT!! Yani hali ya hewa inakua nzuri maana joto linapungua sema natamani ingenyesha siku ambayo sina mizunguko nitulie zangu ndani.Au ingenyesha kidogo tu...
4 Reactions
48 Replies
4K Views
Habari. Imani Yangu Wote Mnaendelea Vyema Na Majukumu Ya Kila Siku. Turudi Kwenye Mada Hapo Juu Kuhusu Lifestyle Ya Mwanamke Ndio Itaamua Mwanamke Kuolewa Au Kutokuolewa. Wanawake Wengi...
16 Reactions
48 Replies
2K Views
Wakuu kama kichwa kinavosema, Preferred brands ni Samsung na Xiaomi
2 Reactions
24 Replies
680 Views
Wakuu ukiambiwa utoke na nani jf utatoka naye mie sina akilini bado kwa maana kila mtu humu anawake nisije logwa nikasumbuka kutafuta k yangu iko wapi?
22 Reactions
355 Replies
10K Views
Mimi naacha siti kwa Uzito
2 Reactions
2 Replies
381 Views
Kama umelelewa na ndugu, watu baki, au na mama pekee au baba pekee kutokana na kufiwa na mama, au baba ama wazazi wote. Tuwakumbuke na kuwaombea waendelee kulala mahali pema peponi. Nasi tutafuata...
25 Reactions
201 Replies
6K Views
hebu tujikumbushe vitabu vya fasihi ambavyo tumesoma o'level na Mhusika Gan ulikuwa unampenda zaidi.
0 Reactions
13 Replies
5K Views
πŸ€πŸ™πŸ™....kosa linalorudiwa zaidi ya mara moja ni uamuzi. Kosa linalorudiwa zaidi ya mara mbili ni tabia. Kosa linalorudiwa mara tatu zaidi ni tabian
3 Reactions
7 Replies
330 Views
Wadau hamjamboni nyote? Lengo la Uzi huu ni kutoa fursa ya kufahamiana kwa urahisi sisi tuliotoka mikoani na sasa tunaishi Dar es salaam Hatukusudii kujadili uzuri au ubaya ya Kabila fulani hapa...
2 Reactions
19 Replies
1K Views
Meza niliyoagiza Meza iliyoletwa
20 Reactions
34 Replies
2K Views
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…