Wakuu poleni na majukumu. Nimeamua kutoa offer ya tiketi NNE za fiesta itakayofanyika leaders club. Offer hii ni kwa men tu.
Sifa za atayepata tiketi ni hizi; asiwe na mpenz aje alone, asiye na...
Wadau habari zenu
Jaman kama mjuavyo Bongo pashakuwa pagumu.. Sasa naomba mwenye kujua Maisha kwa ujumla ya South Africa anijuze..
Nataka kujua maisha ya huko kwa ujumla... Je nafasi z kazi...
Harmorapa ameonesha yeye sio mtu wa mchezomchezo linapokuja suala la afya ya akili na hasa maisha ya vijana wenzake.
Majira ya saa nane maeneo ya centrral police, Harmorapa alionekana kaunta...
Habari wakuu!!
Husika na title hapo juu nimekaa nikajiuliza wakati natizama uumbaji wa mungu nikawa naangalia mbinguni wakati natafakari kuna swali likanijia ghafla nikajiuliza hivi mbingu ni aina...
Naomba muendelee kuwakomesha dada zetu wazuri wanaotutosa na kutaka six pack.sisi tunawapenda kwa dhati nyinyi wanawashobokea.wamegeni na muwaache kama mnavyofanya
Mtu kama hii lugha haipandi bora kukaa tu kimya.Watu wanahangaika na wenyewe waonekana vidato vimepanda matokeo yake ni kujiaibisha!!Yaani hapa ni full "kuvunja kamusi ya kimombo"
Nipo hapa mahakaman, hakimu kasema ORDER!!! Mim nkaropoka, supu na chapati. Now nipo kwenye kajumba kana giza nahis wananiletea supu yangu .....[emoji20][emoji20]
*Kama umesomea procurement, account, business, pharmacy, md, nursing, education au marketing, kwa ngazi ya diploma au degree, na haujapata ajira ,na upo tayari kusign mkataba wa miaka 2 hadi 3, na...
*Ex wangu leo kaupdate status yake ya watsap et "NILIOTEMBEA NAO WOTE[emoji39]MKAPIME[emoji19]"[emoji39][emoji39][emoji39][emoji39][emoji39][emoji39][emoji39][emoji39][emoji39][emoji39] Saizi nipo...
*Ex wangu leo kaupdate status yake ya watsap et "NILIOTEMBEA NAO WOTE[emoji39]MKAPIME[emoji19]"[emoji39][emoji39][emoji39][emoji39][emoji39][emoji39][emoji39][emoji39][emoji39][emoji39] Saizi nipo...
Mimi ni kijana wa Kama miaka 22 na ni mwanafunzi wa chuo flan hapa DSM .
Kuna msichana nimekuwa nikidate nae for about three months now.
Mwanzon kabisa hakuwa tayari hata kukutana na mimi but...
There was a group of women at a seminar on how to live in a loving relationship with your husband. The women were asked, ‘How many of you love your husbands?’ All the women raised their hands...
Habari za siku waheshimiwa wana jukwaa,natumai Mungu anaendelea kuwalinda na kuwaongoza katika familia zenu na katika shuguli zenu za kila siku.Nitumie nafasi hii ya siku ya kuzaliwa kwangu ambapo...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.