JF Chit-Chats and Jokes

General Chat, Talk about anything that falls under no category on the board, but remember FOLLOW THE RULES!
Tarehe kama ya leo, mwezi wa kwanza, mwaka 2011 (6th Jan 2011), Nilipata fursa ya kujiunga na Jamii Forums. Namshukuru Mungu kwa kuniwezesha kudumu humu jamvini mpaka sasa .. SABABU YA KUJIUNGA...
19 Reactions
292 Replies
14K Views
Habari wana JF woote na familia yoote ya MMU…. Nina exactly 46 days toka nisikie kuhusu Jamii Forums na 45 days toka nijiunge …. Kila siku inapopita nafurahia na kuappreciate uamuzi...
30 Reactions
476 Replies
30K Views
Hili ni wazo langu sitopenda kuliona MTU ameniibia na kujitokeza mbele ya vyombo vya habari kabla yangu, Najipendekeza kuwa Raisi wa Chama cha Watembea kwa Miguu Tanzania (CHATEMITA), Hii ni...
3 Reactions
13 Replies
897 Views
Mziki unaanzia paleeee tumayai hatupiti kwenye koo,tumaini,turost rost,tukababu,pale kahoma kamekuchapa unahisi mwili na roho kutengana,ndo hapo akili yako inapofanya kazi kuliko uwezo...
1 Reactions
5 Replies
684 Views
Ninaowapenda siwezi kuwatongoza, wanaonitongoza siwataki hawana sifa nazotaka, nabaki nalia na upweke.
10 Reactions
249 Replies
18K Views
Habari wanajamvi hii sasa ni kama kero kila nikiwasha radio nikiweka clouds mapenzi mubashara mapenz mubashara. Sasa kama ni kutuharibia watoto wanania kwelikweli. Nimeaamua sasa sisikilizi...
4 Reactions
10 Replies
5K Views
Naomba sasa tuwe pamoja mwanzo mwisho wadau wa jukwaa hili Hapa home nilipopanga kuna mambo yananitokea yaan ni baraa tupu vioja vya hatari masela wangu nakaa na mama mwenye nyumba na mabinti...
7 Reactions
213 Replies
14K Views
Salamu wana chit chat wote. Kama kichwa cha habari kinavyoeleza,nimekuwa na duku duku langu ili mda mrefu sana Leo nalitoa. Mabint hawa wanaukonga moyo wangu sana kiasi chakushindwa kuvumilia...
1 Reactions
12 Replies
2K Views
Kama kuna kina dada ninaowazimikia humu Jamii Forums. Basi FaizaFoxy ni nambari wani. Huyu dada kwa kweli ni mjuvi wa Lugha na jasiri wa kutetea hoja zake hata kama ziko Upogo, ni mtamu wa...
2 Reactions
64 Replies
5K Views
Uwa nawaza tu kwamba kama Adam na Eva wangekuwa wachina dhambi isingekuwepo maana badala ya kula lile tunda wangemla na yule nyoka.
1 Reactions
5 Replies
1K Views
*KITENDAWILI* *_Kuna mtu ameondoka tu na mvua inanyesha_*
1 Reactions
10 Replies
828 Views
*Ni Ijumaa Ya Mwisho Wa Mwezi Mke Anataka Kumpima Iman Mmewe..* *Akasajili Line Mpya Tofaut Na Ile Anayoitumia Kila Siku Akatulia!* *Mnamo Saa Tisa Alasiri Mmeme Anarud Kutoka Kazini,, baada ya...
8 Reactions
14 Replies
2K Views
yeyoooooo niaje wakuu..???ebana leo nilikuwa nataka kujua kuhusu uyu mkuu anayejita nyani ngabu dah aisee.. nyani ngabu ivi uko mbele utarudi lini bongo uliondoka ukatuacha cc uku ukasema...
0 Reactions
8 Replies
2K Views
*Umesoma Nchi za njee, Nauli nenda rudi ni million 15,* *Ada ya chuo ni million 30-40, umemalza unakuja tanzania umepata kaz unalipwa lak 4,,,,* *My dear lima bangi mungu ni mwema atakuelewa...
0 Reactions
0 Replies
760 Views
Sijawahi ona watoto vilaza km hawa wa dar, wizara ya elimu makao makuu yapo dar, maktaba ya taifa ipo dar, rada ya taifa ipo dar, simba na yanga zipo dar, majarida ya nyambari nyangwine...
5 Reactions
24 Replies
3K Views
baada ya jamaa kumuita nyani jamaa amjibu kwa vitendo chanzo jidakiss habari ni haki yako: Magezeti ya leo February 1 yakiwa na habari motomoto
0 Reactions
0 Replies
3K Views
*_Nimekaa nimewaza sana kuhusu mwanaume aliyejiua kisa Mwanamke aliyemfungulia duka na saloon nikajifunza mambo yafuatayo...._* zawadi anayoweza kupewa mwanamke na asikuache ni mimba pekee na...
4 Reactions
4 Replies
2K Views
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…