Leo asubuhi nlkuwa naenda mjini uku nikiwa na mzigo yangu mkononi na mkono mwingine ukiwa umeshika bomba la gari uku nmegeuka mgongo nkiugeuzia dirishani mwa gari.
Kumbe kwa mbele kulkua na dada...
Habari zenu wakuu mbalimbali... E bwana nipo hapa Riverside ubungo darajani kituo cha daladala...zimepita kama dakika 10 hivi kuna gari aina ya Rav4 imepita hapa kituoni na ikapunguza mwendo kiasi...
Popote ulipo pokea salam zangu za funga mwaka dada zangu
Arabela charming lady
FaizaFoxy Eveline Thomas Evelyn Salt Baba V Na wanao woote daah mkuu Watu8 Kitambo Sana kaka nakuombea mwaka...
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]ktk kupitia pitia threads...
hiyo picha ya juu ni ka vimeungana na hiyo ya chini...
ni vile tu kuna thread kati hapo...
sijui nawaza...
*Kuwa na demu aliyeacha shule ni kujitafutia BALAA..anaweza kukuacha kwa staili ileile alotumia kuacha SHULE*
[emoji28][emoji28][emoji28][emoji28][emoji28]
Dah! Kuna dada ni jirani yetu home nilikozaliwa. Wazazi wake walifariki so alilelewa na bibi. Huyu dada nilisoma naye O level, alikuwaga wa kwanza class siku zote. Baadaye ikawa ikitokea...
Wambea wenzangu, huu ni wakati wa kupata mwakilishi mbea Bungeni ili kutetea haki zote za wambea nchini, ikiwemo kuikomesha katiba ya Cyber bullying iliyotangazwa ivi karibuni.
Nawaomba wambea...
*Leo I was in a daladala nikahisi kupolute ka hewa. Na since muziki ulikua mnene sana ndani ya daladala nikaamua nisijifinye saaaana.. Basi kwa raha zangu nikaachilia mzigo kwa sauti...
This is serious wadau...yaani Leo nimeamka asubuhi najiangalia mwili wangu nagundua tumbo halipo yaani nimebakiwa na kiuno,miguu,na sehemu za juu za mwili!!(amazing!!)
Hii itakuwa ni ugojwa au ni...
Haya ni mashindano ya kuendesha baiskeli huku kichwani umebeba chungu. Ukimaliza bila kuangusha chungu basi wewe ni mshindi.
Hii inawezekana tu kwa wanawake wa mikoani. Nadhani wale wanaoshinda...
Ndoto hii ilikiwa the best kati ya ndoto zoote nilizowahi kuota,alikuwa na true love,siyo kwa kunipet pet kule,nikajihisi niko akhera,mara nastuka najikuta bado napaswa kudeal na wa bongoo wazee...
Duniani kuna watu watatu tu wakweli na
wasiodanganya:
1.Mlevi aliyelewa pombe
2.Mtoto mdogo
3.Mwanamke anayekaribia kileleni
#Samahanilakini ,Mambo ya binadamu hayo!
Juzi ijumaa nilikwenda kumtembelea dada yangu(mtoto wa baba mkuu) nilipofika nikawasalimu na kukaa sebuleni. Tukaanza kuongea mambo tofauti mara mtoto wa dada yangu akasema anataka kuongea na...
Mzee Tangu umeondoka tu huku wameangusha treni[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23]. Ila ulipoondoka tu na mvua zikanyesha ila Mungu hapendi mambo yako jamani khaa[emoji13] [emoji13] [emoji13]...
Wakuu kabisa,
Heshima mbele.
Napenda kutoa hoja. Kwamba, kwa ongezeko la members wa JF jijini Mwanza (Rock City), ningependekeza uwepo mjumuiko wa kuipaisha na kuunda umoja wa JF hapa jijini...
Umoja Wa ma Boyfriend wasumbufu Tanzania(UBOTA) ...Tunependa kuwatangazia wana chama wetu kua bado kauli mbiu yetu ni ile ile "NTAKUOA MWAKANI" usijaribu wala kushawishika kuingia kwenye ndoa...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.