Back to back downtown to back to back last week guys pamoja na uchovu wa masafarizz nliokuwa nao lakini siwezi kulala bila ujumbe huu guys
You know fanyeni kazi guys ili tuenjoy maisha you know...
Hatimae jiji la Dar es Salaam limepata ugeni mzito kutoka kanda ya ziwa. Ugeni huu umewafurahisha wakazi wengi wa jiji la DSM na viunga vyake na wengi wao wakimtaka abaki nao kwa muda mrefu zaidi...
Ukimuonaa mwanaume anapendaa saana kwenda la chalz sinza ujue naye ni mtumiaji wa mtandao wa goti manake pale ndo soko lao kuu zamani ilijulikana kama lavico .....So kuwa makini sio kilaa bar ya...
Wamakonde fulani siku moja walikuwa kwenye roli wakielekea msibani...waliimba nyimbo mpaka zikaisha wakabaki wanaangaliana basi mara mmakonde mmoja akajichoma na msumari akaanza kulia ''MAMAAAA...
Katika zoezi la kupiga picha za vitambulisho vya shule, mpiga picha alimwambia mwalimu mkuu kwamba picha moja ni 500 kwa kila mwanafunzi.. Mwalim mkuu akawaambia walimu wa darasa kuwa wawaambie...
Kuna hawa wanaJF walikua wana vituko sana, yaani kipindi cha nyuma kulizuka katabia ukitundika tu nyuzi utaona mtu anakuambia weka picha, hata saa zingine huo uzi hauhitaji picha utaombwa picha...
Kama kichwa cha Habari kinavyojieleza chinchilla coat Ndiyo miss humu jf anayekosha Sana Moyo wangu hasa pale ninapoona post zake.
Kutokana na upendo wangu kuzidi kwake nimejikuta naandika...
Katika zoezi la kupiga picha za vitambulisho vya shule, mpiga picha alimwambia mwalimu mkuu kwamba picha moja ni 500 kwa kila mwanafunzi..
Mwalim mkuu akawaambia walimu wa darasa kuwa wawaambie...
Mzee mmoja alinunua Robot ambalo mtu akiongea uongo linampiga kibao dogo akaulizwa umepata ngapi kwenye mtihani dogo akajibu mia mara Roboti likamchapa kofii Baba akasema mi enzi zangu nlikuwa...
Wadau mliomalizia shule ya sekondari Kigoma tukutane hapa,hasa kwa wale mliosoma hapo kuanzia 1994 hadi 1999.Mnamkumbuka mtaalamu wa kemia Mama Mashaka?Pia mkuu wa shule wakati ule Martin...
Mimi Hamis Abeid (mr amazing) naungana na watanzania wenzangu katika kampeni ya
"PIGA CHINI MICHEPUKO"
ili kulinda heshima ya mahusiano na kupunguza kasi ya maambukizi ya magonjwa.
PIGA CHINI...
It will one day make sense/Nikisema hakuna president kama JK/
Tanzania inakumiss yaani daily/
Kwa niaba ya wabongo I’M SORRY JK/I’m
sorry JK nimeona tu niseme/
Mzuka huu niliupata nikiwa Juu...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.