JF Chit-Chats and Jokes

General Chat, Talk about anything that falls under no category on the board, but remember FOLLOW THE RULES!
Watu wa majeneza nao wanalalamika Biashara ngumu, eti magufuli kabana nyie jamaa hebu acheni masihara, sasa hapo Rais anahusika vipi??
0 Reactions
2 Replies
1K Views
*mimi ni kijana mchapakazi,namiliki nyumba yangu mwenyewe na naendesha biashara kibao hapa mjini,natafuta msichana mrembo mwenye umri kati ya miaka 23-28 aniazime charger ya HUAWEI* *ndugu zangu...
2 Reactions
4 Replies
1K Views
*Kikwete uko wapi.*??? Ni mwanzo wa mwaka tunaomba msamaha kwa kuwa tulifanya makosa bila kujua, mzee tutakukumbuka sana tunakumbuka katika uongozi wako umefanya mazuri sana ukilinganisha na...
5 Reactions
21 Replies
3K Views
Ilikuwa ni tar 17-12 1988 nilpopata taarifa kuwa siku tatu baadaye nitasafiri kuelekea 'dizim' Dar es salaam.Maandalizi ya nguvu yakaanza ikiwa ni pamoja na kuazima nguo bila kusahau chupi.Rafiki...
1 Reactions
12 Replies
3K Views
.
2 Reactions
20 Replies
2K Views
Habari wanaJf Napenda kujua hivi nanyi mnakuwa na ulevi km wangu(addiction) Wa kupenda kutumia mrefu humu jukwaani?? Maana nahisi si hali ya kawaida!! Tupeane uzoefu na ushauri pia![emoji120]...
1 Reactions
27 Replies
2K Views
Nikiwa kama mtoto wa pekee wa familia ya bwana The bold na bibi Nifah tunawatakia heri ya mwaka mpya wa 2017 uwe wenye mafanikio tele. Naona watu wanavyomind kimoyomoyo eti mbona sifanani na...
4 Reactions
19 Replies
1K Views
Nimekuwa nikiona watu wakipewa pesa na watu wanahangaika kuhesabu ila wakitoa katika ATM wanakunja wanaweka katika wallet pasipo kuhesabu kwa nini je ATM inaaminika kuliko binadamu au yenyewe...
2 Reactions
29 Replies
3K Views
Access bank baada ya kusumbuana kwa muda mrefu hatimaye wameachia mkopo,wadau leo mpaka Jumamoosi nitakuwa Sinza naclear mind kabla ya kuanza biashara rasmi,hapo Sinza baa ipi ina wahudumu na...
12 Reactions
86 Replies
9K Views
*Unasoma chuo unapata demu/boyfriend afu unamuita "my everything", ivi Unajua ni nani anakulipia Ada mbuzi wewe?[emoji23][emoji23][emoji23]*
0 Reactions
5 Replies
1K Views
Tukielekea kumaliza mwaka naomba tupige kura na zitahesabiwa tarehe 1 January 2017. Awe member wa jamii forums, mtanzania. Tupige kwa wingi taja tu jina la mtu ambaye katisha mwaka huu 2016...
0 Reactions
110 Replies
7K Views
Nashukuru sana kuwa mmoja wa watu safi kabisa hapa JamiiForums kwa kuonyesha nidhamu ya hali ya juu. Nawashukuru Mods kwakuliona hilo. Karibu kueleza namna ulivyofanya kuepuka hizi ban ili hawa...
1 Reactions
15 Replies
1K Views
Kupitia Uzi wake wa Jana tarehe 31.12.2016 mrembo maarufu jf ajulikanaye kwa jina la miss natafuta aliueleza umma wa jf kwamba ameamua Ku block account yake ya jf na kujikita katika kuendeleza...
9 Reactions
159 Replies
12K Views
Sema umemaliza mwaka gani na mchepuo gani. Vipi unakumbuka nini pale.
0 Reactions
4 Replies
2K Views
Sumbawanga nasikia Leo ni tarehe 3. Huko kwenu nyie endeleeni kuangaika na mwaka mpya wenu watu wanaitafuta February.[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23]
0 Reactions
1 Replies
682 Views
KAULI WALIZOZIONGEA WATU MASHUHURI TOFAUTI KUHUSU GOAL LA GIROUD : PELE : goal alilofunga Giroud halitafungwa tena kwenye karne hii.. Labda nikama tu Mungu atanirudisha mimi Pele kwenye umri wa...
10 Reactions
55 Replies
7K Views
je kuna ukweli kwamba ili mtu yeyote aingie kwenye mahusiano na mtu fulani ni lazima aanze kutamani ndipo anapenda? ( its real that admiration start then true love follow?)
2 Reactions
5 Replies
800 Views
*Ivi kama juzi ilikua 2016* *jana* ni 2017* *Ivi leo si itakua 2018* * kesho itakua 2019* *Halafu keshokutwa itakua 2020... *tutaenda kupiga kura tena...
2 Reactions
1 Replies
927 Views
Tunatoa huduma kwa wote wanaosumbuliwa na magonjwa sugu au ya tabia.. Magonjwa haya yanatibiwa kwa njia ya kutumia virutubisho mwili vitakavyomwezesha mgonjwa kurudi katika hali ya kawaida ya...
0 Reactions
2 Replies
1K Views
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…