Mtoto John Tangu Azaliwe Alikuwa Hawezi Kuongea kabisa!,
Siku Moja Akaita Bibi...
Kesho Yake Bibi Akafa!!
Siku Iliyofuata Akaita Babu...
Kesho Yake Babu Akafa!!
Nyumba Nzima Ikajaa Hofu kubwa...
Wanachitchat, nawatakieni heri na baraka za mwaka mpya!
Maisha ya karne hii yametawaliwa na namba......kila kitu ni namba.
Namba za simu,
Namba za akaunti yako ya benki
Namba za kadi ya...
[emoji666] Ivi kama jana ilikua 2016
[emoji666] Leo ni 2017
[emoji666] Ivi kesho si itakua 2018
[emoji666] Halafu keshokutwa itakua 2019
[emoji666] j5 itakua 2020... tutaenda kupiga kura tena...
Binadamu tunaishi kwa unafiki mkubwa sana, haina tofauti na demu aliyetongozwa na jamaa alafu demu akazingua, jamaa anapogeuka upande wa pili kutongoza rafiki za huyo demu; demu anaumia na kumind...
Umeamka asubuhi tu siku ya J3 kabla ya kwenda kazini amekuja jamaa anakuambia nimekuja kukulipa deni lako la mwaka ulopita anakupatia pesa,unaona yes siku imeanza poa,muda si mrefu anakuja Baba...
Sumbawanga nasikia Leo ni tarehe 3.
Huko kwenu nyie endeleeni kuangaika na mwaka mpya wenu watu wanaitafuta February.[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23]
_*Ni Tanzania pekee, unamwambia mtu jinsi umeteseka katika maisha na yeye hapo hapo anajibu*_ *"haujasteseka kuliko mimi"* Utafikiri kuteseka ni mashindano [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Baada ya mchujo wa wagombea wengi hatimaye tumepata wagombea urais wawili watakaosimama kutetea nafasi ya urais jf
Hivyo bhas tarehe ya kura itakua ni tarehe 31 december
Na urais utadumu kwa...
Du.......! Yani ulikuwa ukituma pesa kijijini ili ujengewe nyumba na umekuwa ukituma pesa kwa miaka kumi mfululizo na ukipiga simu unaambiwa sahizi mafundi wana paua siku unaamua kwenda kuangalia...
Huyu dada/mamdogo nilikuwa napenda sana kusoma ushauri wake hasa kwenye jukwaa hili la mmu. Ni miezi kadhaa imepita sijaona post/ushauri wake humu jukwaani. Jamani nimemmiss huyu mamdogo au Israel...
Kwanza ningependa niwape heri ya mwaka mpya wote tuliovuka mwaka salmin salama,
binafsi malengo yangu mwaka huu ni kumiliki bilion 300,japo saa hii niko na 200 tu nayo ipo kwa m-pesa lakini kwa...
Wakuu wa JF.
Mimi binafsi kuna kitu kinatatiza kidogo nimejaribu kutafuta jibu nimekosa nakaona nije hapa kwa Great Thinkers..
Kwa nini Wachagga wengi meno ya rangi ya gold? Mwenye kujua...
Yaani kila mwezi lazima atumie laki 3 kwa ajili ya michango ya harusi. Nimemvumilia hadi nimemchoka. Ati ni hobby yake. Ukikuta mtu kaachwa ujue kuna mtu yamemfika hapa. Ngoja nitafute dogodogo wa...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.