JF Chit-Chats and Jokes

General Chat, Talk about anything that falls under no category on the board, but remember FOLLOW THE RULES!
UNAPO-CHART NA Mchumba WAKO KWA STAILI HII: WEWE: Oya! YEYE: Nambie! WEWE: mzima! YEYE: Mi mzima ww je? WEWE: Niko poa YEYE: Ok KUNA JAMAA MWINGINE YUKO ONLINE ANA-CHART NA...
16 Reactions
110 Replies
15K Views
Huu ni uchaguzi mkuu jf ambapo tutampendekeza mtu kwa kumtaja kwa kupjga kura. atakayependekezwa zaidi kwa kushika nafasi ya kwanza na ya pili ndio watakua wagombea rasmi humu Na kura ya...
2 Reactions
108 Replies
6K Views
Wakuu nimechanganywa na mguu wa honey faidh ambae ni mdau humu jf nisaidie niweze kupata sura yake..
0 Reactions
104 Replies
6K Views
Baba: Unampenda nani zaidi kati yangu mimi na mama yako? Mtoto: Nawapenda wote. Baba: Kama nikienda Marekani na mama yako akaenda Paris, wewe ukaambiwa umfuate mmoja utaenda wapi? Mtoto: Paris...
8 Reactions
9 Replies
2K Views
Wakuu, Mimi nina jamaa yangu tulikuwa tunakaa naye Kimara mwaka 2006 kabla sijahama alienda zake Canada mwaka 2011 kusomea saikolojia akakaa huko miaka 5, na tangu arudi sasa ni miezi miwili...
3 Reactions
22 Replies
5K Views
kimya sana hawa watu isije kuwa Yale yaleeee!!!
0 Reactions
0 Replies
543 Views
Jamani kama kuna mtu anae jua njia za ku mpata huyu dada anisaidie. Mana kama sifa zote ninazo za kuwa nae. Naweza honga hata pesa ya kupiga nae picha tu kama hatonipenda.
6 Reactions
102 Replies
17K Views
Wakuu Salaam kwenu. Mikoa tajwa Hapo juu Ndio hutokea wanaume majasiri kwa asilimia kubwa lakini mikoa iliyobaki ujasiri Upo lakini kwa kiwango kidogo . sijui kwa nini?
8 Reactions
61 Replies
5K Views
Habari ya humu ndani wandugu, Kuna tabia moja ya hawa ndugu zetu wa huu mkoa wa mwendokasi wanoajiita wazawa au wandewa. Inakera sana jambo dogo utasakia mjini kitambo wanajiona kila kitu...
0 Reactions
8 Replies
985 Views
Jamani nimejaribu kuangalia movie nyingi za huyu bwana naona signs nyingi ni zile zinaazotumika kwenye free massons..ndugu zanguni akuna utajiri mzuri kama kutoka kwa mungu...najua atuwezi kufikia...
0 Reactions
25 Replies
33K Views
kwa wale tuliosoma zile shule zetu maneno haya si mapya 1.Hawafu mwenye nguvu 2.Moto na maji 3.Juma na uledi 4.Siku ya gulio 5.Pamela na kipini 6. kuku na yai 7.jogoo wa ajabu...
2 Reactions
83 Replies
24K Views
Niwatakie sikukuu njema ya X-mass.
0 Reactions
1 Replies
521 Views
Mwaka 2016 nenda tuu baba, tumejionea mengi juu yako hatukuchukii ila ujio wako ulikuwa na mbwembwe sana. kama nilivyo kubali kukupokea pia acha nikubali kukuaga. nenda tuu baba na maajabu yako...
1 Reactions
9 Replies
1K Views
Jamaa ka agiza flat TV [emoji125] [emoji125] [emoji125] [emoji125] [emoji40] [emoji40] [emoji40]
1 Reactions
8 Replies
2K Views
Wanajf nmerudi tena nlkua nauliza sifa za wanaume wa kichaga wa kibosho ni zipi?
0 Reactions
42 Replies
16K Views
Naanza kama sijakutaja si kwamba sikupendi ila tecno yangu ni hasara tupu: Asprin, Kaka Kiiza, Lizzy afrodenzi Teamo Fidel80 Baba Enock Fixed Point Mzee wa Rula Preta paka Jimmy...
18 Reactions
254 Replies
16K Views
Happy Birthday To Me Mwenyezi Mungu anijalie maisha marefu, ya amani, uzima, baraka na furaha tele......!!!!!
0 Reactions
9 Replies
606 Views
Wakuu nikitaka kujua au kupata thread iliyo mfanya mwan jf kuwa banned nifanyeje..? D-A ni mmoja kati ya wanafamilia ambao wanauwezo mkubwa wa ku contain/absorb shoks wanapokuwa provoked...
0 Reactions
207 Replies
13K Views
Wapendwa wanajamvi Ninaomba tujumuike pamoja na dada etu Dena Amsi katika kumfariji kwa kumpoteza Bibi yake Mzaa Babake, aliyefariki jana Dar Es Salaam. Msiba upo Binju A shuleni. Pole Dada...
4 Reactions
43 Replies
4K Views
Nakumbuka wakati wa Bia ya Bigwa ndio kwanza inatoka kuna shombeshombe mmoja alikunywa kama bia mbili tu. Jamaa hakuweza kutembea basi rafiki zake wakambeba na kumuingiza kwenye Taxi, Yule dereva...
0 Reactions
2 Replies
959 Views
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…