JF Chit-Chats and Jokes

General Chat, Talk about anything that falls under no category on the board, but remember FOLLOW THE RULES!
_Ni Tanzania pekee, unamwambia mtu jinsi umeteseka katika maisha na yeye hapo hapo anajibu _ "haujasteseka kuliko mimi" Utafikiri kuteseka ni mashindano. Ni Tanzania Pekee........... Endelea
4 Reactions
12 Replies
998 Views
Taasisi ya uhakiki wa mvua duniani(Taumdu) inapenda kutoa taarifa kwa yeyote anayetegemea rasimali ya maji yatokanayo mvua za misimu yote ya Mwaka 2016/2017,kuwa hakutakuwa na mvua hasa NCHI ya...
0 Reactions
10 Replies
914 Views
Wendawazimu watau waliamua kufungua shule chini ya mti. Wakaokota vitabu wakajifanya wanasoma. Kesho yake wakamkuta mmoja wao amepanda juu ya mti. Kumuuliza mbona uko juu? akawajibu niko high school.
4 Reactions
13 Replies
4K Views
Nimepita sehemu mtu kanunua mbege ila kabla hajaanza kunywa akamwambia muuzaji aonje kwanza(Ria), kwanini Mbege tu na sio Bia sijawai ona mhudumu kafungua bia na mteja kumwambia Onja. Kwanini...
1 Reactions
16 Replies
2K Views
Salaam jf. Kuna jamaa mmoja et! kaniambia kuwa nchi zote duniani nyimbo zao za taifa zina videos, sasa kasema kasoro TZ peke yake. Hii ni kweli au fix?
0 Reactions
2 Replies
832 Views
Wakuu tukiwa TUNAELEKEA Mwisho WA mwaka Mwenzenu Nina shida FULANI Nataka nitoke kwenye maisha yaani na maana niuage Umaskini 2017. Kwa kutazama naona msaada pekee niliobakisha ni members WENZANGU...
4 Reactions
56 Replies
4K Views
Najua sehemu pekee ambayo hakuna ufisadi wala woga ni peponi/Mbinguni, natamani sana kuiona siku hii ambayo hakuna mwana JF atakaeogopa kujianika yeye ni nani na alikuwa nani...
2 Reactions
52 Replies
4K Views
Wanabodi, nawakumbusha tena ile fursa adimu ya kujua kuhusu meditation ni leo saa 12:00 -2:00 pale Russian Cultural Center. Kiingilio ni bure!. Karibuni sana njooni tumediteti!. Pasco!. Update...
1 Reactions
27 Replies
5K Views
Kama Speed limit ni 80KPH basi tui import magari yenye 80KPH
0 Reactions
9 Replies
2K Views
Hila kiukweli leo nimegundua kuwa watanzania kwa sasa wamevurugwa, nilikuwa morogoro mjini leo nikizunguka kuna v2 nilikuwa natafuta. Yaani wa2 maisha ni magumu. Kwa mfano nilifika sehemu...
1 Reactions
16 Replies
2K Views
Hii theluji inayo dondoka kwenye screen yangu inanipa ubaridi wa kufikirika tu. Niko dala dala, joto ni balaa! Na jasho ndo latokota....
0 Reactions
13 Replies
882 Views
_KATIBA YANGU YA MWAKA 2017........_ _1.Usinipigie wala kunitxt ujinga wowote ule._ _2.Ukoina nimekukalia kmya fanya yako nina sababu zangu naomba ucniulize coz majibu yangu yatakukela_...
0 Reactions
1 Replies
784 Views
Habari Zenuuuuu..... Msije shangaa ni Birthday ya JF sio ya kuzaliwa. ha ha h ha ha ha DA
4 Reactions
29 Replies
2K Views
Wasukuma Mungu anawaoneni mjue
2 Reactions
9 Replies
3K Views
Jamani, mimi sio mzee, ni kijana na damu yangu bado mbichi na inachemka... Kisa cha kuniwekea ka mkongojo kwenye profile yangu nini? Mnataka mabinti wanikimbie? Jamani, embu nitoleeni hako ka...
2 Reactions
6 Replies
1K Views
Me kiukweli hata sikumbuki mara ya Mwisho kugombana na binadamu mwenzangu Kwa sababu yoyote Ile. Nashangaa Sana kukuta watu WAKIGOMBANA ngumi na mateke. Sielewi hii kutoelewana inachangiwa na...
0 Reactions
9 Replies
1K Views
Wazazi wako wapo kwenye ndoa zaidi ya miaka 20 halafu unaulizwa your best couple unasema Beyoncé & Jay Z!! MUNGU ANAKUONA.
2 Reactions
3 Replies
898 Views
Ni foleni yaani magari kila kona shamrashamra tu huku mgombani yaani ni jambo la kushukuru kwakweli. Aika ruwa wakwa nimeiona krismas ndo hivyo tena nami siacha kuhesabiwa hata nauli ingefika...
5 Reactions
20 Replies
2K Views
Maswali ya psychology be like Chagua jibu sahihi...zaidi. Leo Ni ---? (A). jumapili (B). sikukuu (C). Christmas (D). Tar 25 [emoji124][emoji124][emoji124]cku feli makusudi
2 Reactions
24 Replies
5K Views
Chizi amefiwa na nduguye watu wote wakawa wanalia yeye ameinama tuu! Jamaa wakamuliza wewe vipi humlili nduguyo? Akajibu nalia ila nimeweka vibration...
4 Reactions
6 Replies
3K Views
Back
Top Bottom