JF Chit-Chats and Jokes

General Chat, Talk about anything that falls under no category on the board, but remember FOLLOW THE RULES!
Habari za mchana nyote, Wlio kwenye mfungo swaumu njema inshallah mkipata thawabu mtupunguzie na sie. Naanza sasa.............................. Kasie mie bwana nimepata jiko, jiko lenyewe ni...
3 Reactions
139 Replies
9K Views
Haka kamsemo kalivuma sana awamu iliyopita ivi bado kapoo? Nauliza tu hapo mtaani kwako vip "Laki si pesa" million chenji......
0 Reactions
10 Replies
1K Views
Habari Wakuuu........ Nawatakia Kheri ya X_mass Wana JF wote.
0 Reactions
0 Replies
592 Views
Tuma salamu kwa mwana/wana jf wote ambao michango na hoja zao zimekuwa zimekugusa kwa namna moja au nyingine. Mi ntaanza; 1. Salamu kwa wanajf wa jukwaa la michezo hasa mashabiki wa Man Utd na...
0 Reactions
0 Replies
541 Views
How can I explain the large happiness in my heart to see Tanzania in this Christmas season. It's so better. Nipokeeni Wakuu. Natoka masomoni ni mwanafunzi wa chuo fulani kule wingereza kwa wale...
2 Reactions
33 Replies
2K Views
Cheki hii reasoning ya kijana wangu wa miaka Minne! Aliniuliza: Baba hivi Christmass na Mwaka Mpya ipi inaanza kwanza? Wewe mwanao ndo kakuuliza hivo ungempa jibu gani tafadhali!
2 Reactions
12 Replies
3K Views
5 Reactions
28 Replies
4K Views
Habarini Naomba kuulizia kwa yeyote anaefahamu sehem nzur ya kawaida ya kupumzika ambapo unaweza kula ama kunywa huku ukiwa unaview bahari na kupata upepo...nafikiri christamass hii sehem kama...
0 Reactions
1 Replies
789 Views
Ni msichana wa miaka 17 mwenye kipaji na uwezo mkubwa wakiandika poems (Huyu ni Dyna Senator) POEM:TO YOU FRIEND
0 Reactions
0 Replies
544 Views
Tujikumbushe leo kipindi cha kununuliwa nguo za Christmass ni Mavazi gani yalikua maarufu sana anzia nguo mpaka viatu... Enzi zangu mavazi yaliyokua maarufu sana ni Suruali za TOKYO,SAVCO,Shati...
3 Reactions
34 Replies
3K Views
4 Reactions
0 Replies
768 Views
Nipo morogoro hadi Xmas na new year wanajamii nijuzeni maeneo ya kupumzika sikukuu hizo.....
0 Reactions
10 Replies
1K Views
Ifikie kipindi waafrika tufanye vitu kutokana na mazingira yetu yanayotuzunguka na si kugeza kinachofanywa na wazungu kutokana na mazingira yao. Mimi binafsi nawatakia Christmass njema ndugu zangu...
0 Reactions
13 Replies
4K Views
Matusi (yaani kutukana) hayapo darasani wala vitabu vya dini, lakini nimeyakuta tangu nipo mdogo. Hivi mwalimu wa hii mambo ni nani?
0 Reactions
10 Replies
3K Views
Tumfahamu Mwana JF bora Mwaka huu 2016. hapa ni overall, the whole of JF. Taja jina, mwenye nyingi Mshindi. Unaruhusiwa jitaja. Ahsanteni.
0 Reactions
201 Replies
12K Views
Kiukweli wakina mama wetu na kina Dada wetu sipendi hii waliyonayo ya kuweka hela kwenye maziwa. Unakuta ni mdada mfanyabiashara amekuuzia kitu kwenye mgahawa Sasa chenji anaitolea kwenye nguo...
1 Reactions
18 Replies
3K Views
Kujicompare ni nini labda?! Kujicompare ni ni neno la kiswanglish ambalo linabeba maana ya kujifananisha au kujilinganisha. Yawezekana ni miongoni mwa tabia za kale za mwanadamu ila sina shaka...
0 Reactions
9 Replies
2K Views
A fool man wanted to become a scientist so he brought a bird and say : "shoo shoo " And then the bird flew. Then, he brought a second bird and cut off his wing and again say " shoo shoo "...
5 Reactions
16 Replies
2K Views
Eti unamfanyia mke wa mtu maombi kwenye lodge ? halafu mnavua nguo ? Mimi nilichoshangaa ni mume wake kutokutoa kichapo
4 Reactions
65 Replies
12K Views
Hapa nimemaliza Kazi iliyonileta Moshi jioni hii baada ya kupata shida ya Usafiri huko Arusha. Nilifika Stendi saa Tisa nikakuta abiria wamejaa lakini hakuna magari. Kama tisa unusu hivi coaster...
0 Reactions
0 Replies
642 Views
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…