- nguo za kubadili
- pad ya emergence
- chupi
-mswaki
- mafuta
- perform,
- chanuo,
-hereni za kuvalia nguo aliyobeba,
- lipsticks
N.k
But
Hana nauli ya kurudia kwao
Wadada eee
Inasemekana eeetii mademu wengi humu JF ni wa uswazi, wakina Mwajuma Nikome.
Hii inatokana na post zao na comments zao.
Madem wa geti kali hawaijui JF wao wapo insta, fesibuku na twita.
Miss...
*mimi ni kijana mchapakazi,namiliki nyumba yangu mwenyewe na naendesha biashara kibao hapa mjini,natafuta msichana mrembo mwenye umri kati ya miaka 23-28 manzese hapa aniazime charger ya HUAWEI*...
"Liwalo na liwe" ni kamsemo nimekapata kutokea mjengoni, na nimeanza kuona kana effect kweli...jamani hebu tujaribu kukatungia sentensi kama ilivyokua kwenye somo la kiswahili
UTOFAUTI KATI YA MWANAMKE NA MWANAUME:
1. Kwenye mshituko;
Mwanaume hushituka halafu huangalia nini kimemshitua, mwanamke hushituka halafu huzimia hivyo ataambiwa na mwanaume...
Wakuu poleni na mihangaiko ya hapa na pale ni mda kidogo sikuwa hapa kutoka na harakati za hapa kasi tuu nilikuwa safarini kikazi namshukuru mungu nimerudi salama niko hapa nchini saa hivi...
unamnunulia demu wako cm,mwanaume mwenzio anamnunulia vocha"HUU NI MHAWANYO WA MAJUKUMU,Unamlipia demu wako ada ya chuo,mwanaume mwenzako anamlipia kodi Hostel"HUO NI MUINGILIANO WA...
.....tafadhali husika na kichwa cha habari hapo juu
Kesho natarajia kwenda hospital kuchekiwa macho nahisi yana shida,
kwa sababu kila nikifungua wallet sioni kitu.
MUNGU AWABARIKI SANA.
IV watu wa jamii Forum Kwao wapi naona wanatoa maoni tu ila Ata namba zao za simu hazionekani wala wao hawajulikan wanaish wap. Ukitaka kukoment uzi u jitaje kwako wap
Salaam wanaJF,
Jana ilikuwa siku maalumu kwa mama yangu mzazi,yaañi ilkuwa ni siku yake ya kuzaliwa na kufikisha miaka kama 60s
Kutokana na kubanwa na mambo fulani ya kimajukumu hivyo ñikasahau...