JF Chit-Chats and Jokes

General Chat, Talk about anything that falls under no category on the board, but remember FOLLOW THE RULES!
huwa naona kwa mitandao ya simu kwamba kunda bando ambalo ukijiunga unapata whatsapp na facebook bure kama wiki ama mwezi,nilikua nauliza kwanini JF na yenyewe isiweze kuungwa humo,ili kurahisisha...
0 Reactions
2 Replies
693 Views
UTAMU WA NYUMBA ZA KUPANGA! Jana mpangaji mwenzang alikuja akaniambia nipunguze sauti ya radio anataka kulala. Leo anapika pilau na mimi nmemwambia apunguze harufu ya viungo nataka kula ugali...
25 Reactions
78 Replies
24K Views
Nina wazo hili "nataka nifungue butcher ya kitimoto ZANZIBAR" Je mnaonaje hili wadau?
0 Reactions
9 Replies
2K Views
2 Reactions
1 Replies
2K Views
Mandeleo yameua swaga nakwambia. Watu siku hizi wanajidaiii eti wana swaaga, aa wapi!! swaga zilikuwa zamani bwana. Enzi hizo za redio moja, mtu ukitoka kijijini na kuweza kuja kukaa mjini hata...
2 Reactions
11 Replies
1K Views
*MAZINGAOMBWE* Man can do woman can do it beta hii jeuri sijui wanaitoa wapi wakati wakikojoa wanaweza kuandika hata jina lake chini si kila mwanamke anafa kuwa mkeo baada ya kutoka safarini kwa...
0 Reactions
9 Replies
1K Views
*Mwaka jana mwishoni nlimpa rafiki yangu namba ya mpenzi wangu amjaribishe kama atamkubalia maana mpenzi wangu alikuwa ananiambiaga hawezi nisaliti na hakuna kama mimi. SASA Jmoc NI HARUSI YAO*...
3 Reactions
10 Replies
2K Views
Utamsikia Demu>''Kwa hiyo we STUNTER Unanitaka Mimi' STUNTER>Ndio nakupenda kweli baby Demu>'Hivi uliniambia umeachana na mpenzi wako lini vile' STUNTER>Mwezi wa 2 katikati Demu>Itakuwa wewe...
11 Reactions
24 Replies
3K Views
baada ya kukengeuka sana kama kijana...ni kitu gani mama yako alikisema ama alikifanya na kikakurudisha katika mstari mnyoofu??? Share na mimi mkuu kama itakupendeza. Dedication OCTOPIZZO mama...
1 Reactions
2 Replies
692 Views
.. nikiwa natoka uswazi naelekea kunako riziki nilikutwa na kasheshe si kitoto, nilikuwa ndani ya Daladala inayofanya safari zake Manzese/Kariakoo nilikuwa nimekaa na dada mmoja Mashallah M/mungu...
3 Reactions
16 Replies
1K Views
0 Reactions
3 Replies
3K Views
.....Anakuumiza sana? Hajibu sms wala kupokea simu halafu Unampenda kishenzi...acha kujifanya unaumia sana. Kuna mtu uliwahi kumfanyia hivyo hivyo... maisha yanazunguka tu...life circle. Tafuta...
3 Reactions
19 Replies
2K Views
Mungu Wasamehe Wanawake Wote Wanaoponda Wanaume Wafupi, Wanene, Wabaya Na Masikini Wape Maisha Marefu Waendelee Kuchezewa Na MahandSome Hadi Uzeeni Amen_
1 Reactions
25 Replies
2K Views
Wakuu hope mko poa, Kuna watu humu JF huwa wanapatia sana wakileta nyuzi za aina flani namaanisha akileta nyuzi za namna hiyo uwa zinavutia sana kwa upande wangu ni hawa hapa; 1: Mshana Jr huyu...
3 Reactions
68 Replies
5K Views
BREAKING|South Africa’s Ex-President Thabo Mbeki Dies After Short Illness
0 Reactions
2 Replies
2K Views
Binti:Mambo Stunter STUNTER: poa Binti: Ah mpenzi ninashida na sh:50,000/= STUNTER: Usijali ntakupa tukutane KEMPISKI HOTEL tupate MSOSI uje kuchukua Mzigo wako Binti: mh mh mh wapi me siwezi...
15 Reactions
49 Replies
3K Views
Hivi ni nani aliyemtoa huyu binadamu porini akamvalisha suti na kumpeleka kwenye tuzo za MTV MAMA AWARDS ....kule kwa mzee madiba ...Mungu anamuona
4 Reactions
29 Replies
6K Views
:CHEMSHA BONGO: Nataka kujua kama ww ni mtoto wa TOWN, Sehemu gani hapa TANZANIA kuna majengo ya kifahari na hiyo hiyo sehemu jina lake ni chombo cha kupikia jikoni hilo hilo jina ni...
0 Reactions
17 Replies
20K Views
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…