JF Chit-Chats and Jokes

General Chat, Talk about anything that falls under no category on the board, but remember FOLLOW THE RULES!
Kuna haja watu wawe wanatumia majina yao halisi . kuna watu humu ndani wananipa mashaka hasa huyu Jamaa wa visa na mikasa ya mapenz SODOKU. nahisi ni mtangazaji wa ITV au Clouds TV na Radio. Mara...
0 Reactions
1 Replies
610 Views
UNG'ENG'E NI WITO JAMANI NYIEEE.....Kuna jamaa flani alikua anauza mbuzi za kukunia nazi Yaani kibao cha mbuzi,mara ghafla mzungu akatokezea. MZUNGU: jamboo ....... JAMAA: jambo....... MZUNGU...
0 Reactions
3 Replies
1K Views
Atakayejibu Atakuwa ni genious[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji38] [emoji38]
4 Reactions
47 Replies
4K Views
Wapi maeneo ya ukonga, naweza kupata mchemsho wa ukweli wenye viwango vilivyo pitiwa na TBS na TFDA. Mpaka tumbo likafurahika sana...?
0 Reactions
2 Replies
663 Views
Mchaga aliamua kufungua bustani ya wanyama akafanya kiingilio 10,000/= hakuna aliyeingia akashusha 5,000/= pia hakuna aliyeingia akashusha tena 2,000/= hakuna aliyeingia akashusha 1,000 pia hakuna...
2 Reactions
1 Replies
2K Views
MAFANIKIO YA AWAMU YA 5 SASA YANAANZA KUONEKANA 1. Kuna ongezeko kubwa la waumini makanisani japo sadaka haiongezeki (watu wanatafuta pa kuzugia kusukuma weekend) 2. Ndoa zimeendelea kuimarika na...
1 Reactions
1 Replies
922 Views
Unajua MENDE tunamchukulia poa poa tu ila yule mshikaji ni bonge la mdudu yan,MENDE ndo mdudu pekee anayeweza kusavaivu katika bomu la nyukilia "nuclear"....Yan likitwangwa nuclear bomb hapa...
1 Reactions
13 Replies
2K Views
Ukimpa sim kabla hujasema chochote akaona 0 anajua nini wamaanisha, sasa hapo kinachofata ni uamuzi wake, wa vijijini sijui wao wanaelewaje.
2 Reactions
3 Replies
1K Views
Daaah huyu jamaa kanichekesha kinoma. Kajibu matusi wanayomfurumushia huko tweeter, Na mwishoni kabisa kampa jungu baya sana Donald Trump. CC: kui
0 Reactions
1 Replies
388 Views
Kwakweli lazima atakuwa kishamegwa na mnaendelea kumega, halafu mimi wa mkoani ndo nitunze??! aaah wapi. Naona meseji zake akisema "kwahyo ndo hunitumii hela sio?!"...kumbe usikute anatype huku...
1 Reactions
42 Replies
3K Views
Hi I'm a man aged 23 years old, am looking for female friends with ages not more than 24 years old. For more info about me, 0624054766. You are welcome.
0 Reactions
0 Replies
536 Views
Leo nimekuja kuwaaga hapa rasmi kwa sababu hiki ndicho kijiwe changu humu JF. Likizo yangu imeisha. Natoweka JF kuanzia kesho mpaka mwaka 2020, ndipo tutakapokutana rasmi. Naenda kukabiliana na...
5 Reactions
53 Replies
3K Views
Baadhi ya Majina yenye utata zaidi duniani kulingana na lugha ya kiswahili. 1. Sito Mbeki (Daughter of Thabo Mbeki. SA) 2. David Kinembe (Waziri Tanzania) 3. James Kakuma (Minister of Trade...
1 Reactions
5 Replies
13K Views
Habari zenu wapenda naleta huu uzi kwa wale wote wenye majina tofauti na yalio kwenye vyeti yaliyotokana na kupewa na marafiki shuleni,mazoizini,safarini,vyuoni na n.k NAANZA NA MIMI MWENYEWE...
0 Reactions
2 Replies
1K Views
Juzi nilisinziaa kanisani bana[emoji18]nimelala ww mara nkasikia jirani yangu ananiambia pembenii! mpendwa amkaa!! Nikasikiaa na mchungajii uko!! NYANYUKAA!! nikasimaama watu wakapigaa...
0 Reactions
2 Replies
929 Views
*Let's play a game...* Find your BIRTHDAY MONTH, DAY and YEAR and *form a sentence...* Select your month Jan : I need Feb : I killed Mar : I slept with Apr : I raped May : I slapped Jun : I...
0 Reactions
54 Replies
4K Views
Tangu zama za kale tumezoea waganga wa kienyeji wakituagiza vitu ambavyo tumevizoea kama vile kuku mweusi au mweupe nk. Mganga wangu huyu amesema nimerogwa uchawi wa jua na maji!Eti ili...
2 Reactions
3 Replies
1K Views
Wandugu,nimekuwa nikijiuliza na kushangaa hiki chakula chenye majina mengi kwanini kinapendwa sana na watu karibu wa rika zote?Labda walevi ndio hawakifagilii sana. Nipo ugenini kwa ndugu...
3 Reactions
77 Replies
6K Views
Nyie madada mnaovaa mawigi yenu kichwani yanavyowatoa chicha mnaonekana ka kina Rihanna, Beyonce au yule mke wa Kanye West. Kiukweli yanawapendeza mnoooo wengi wenu ila chondechonde mnapoanza...
12 Reactions
85 Replies
4K Views
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…