JF Chit-Chats and Jokes

General Chat, Talk about anything that falls under no category on the board, but remember FOLLOW THE RULES!
Leo asubuhi kwenye redio ya kabajaji, wakati nakuja kwa mkoloni:Haka kawimbo ka TOT kalinitafakarisha mengi sana: Ooooh oooh *****, Usilie na mimii mamaeee, Mpenzi wako mimi sijamwita eeeh, Kaona...
2 Reactions
142 Replies
13K Views
Nishawai toka kyela hadi Mbeya na Manzi na sikumsemesha neno lolote!! Alinikuta nimekaa hakusalimia nikasema wacha niupokee huu mpira kama ulivyokuja!! Ama nilizingua? BRAZA CHOGO Nikifa...
13 Reactions
44 Replies
886 Views
Wandugu kama mjuavyo wengi wetu tumesoma shule za st. Kayumba kwa hiyo Ngeli ni ishu kwetu. Basi kwa kuunga unga hivyo hivyo nikachaguliwa Chuo (UDSM) sasa kufika huko si ndo mambo ya Seminar za...
41 Reactions
404 Replies
62K Views
Dakika chache kuanzia Sasa ID hii ya ndege JOHN Inafungwa rasmi Tukio la ku log out na kufuta app ya Jf nilitaka nilifanye Jana Ila mambo yakawa mengi baada ya pigo la gwajima kuingilia safari...
1 Reactions
30 Replies
3K Views
Kama ilivyo sentesi ndefu, haikosi kuwa na koma. Nami leo naomba niweke koma kwa utumiaji wangu wa JF. Kutokana na sababu zilizo nje ya uwezo wangu, ninasikitika kuwataarifu wote kuwa tangu leo...
5 Reactions
104 Replies
8K Views
MALKIA WA NGUVU~PART1 SIA: Birthday yangu inakaribia, Oh My Gaaaaash! Hata sijui nitafanya kitu gani, muda umeenda na nimechelewa mpaka inakaribia valentine sijaplan uuuwi nafwaaaa! Sijui niende...
2 Reactions
30 Replies
10K Views
3 Reactions
2 Replies
76 Views
Wanasayansi walipokuwa wakipanga sifa za wanyama mbalimbali , ngiri alikuwa kwenye mashimo yake kwa hiyo waliishia kuwapa mataji wanyama wasio na sifa. Ufalme wa msituni ulienda kwa simba...
13 Reactions
72 Replies
3K Views
Simulizi hizi unaweza kuzisoma Bure ndani ya app ya Maktaba Sauti. Ipo Playstore. Huyu mzungu alizaliwa huko New Zealand. Baadaye akaja kuishi kwenye mapori ya mto Rufiji akiwa muwindaji. Majina...
1 Reactions
14 Replies
332 Views
Habari za wakati huu, Nina shida na Mshana Jr. Ewe ndugu Mshana Jr nimekutafuta PM lakini meseji haziendi. Uonapo uzi huu please naomba unitext. Shukran.
1 Reactions
2 Replies
203 Views
Niny maisha magumu hela haikai ase hadi roho inauma
9 Reactions
79 Replies
1K Views
Ikitokea katika chumba/Nyumba yako zikafungwa CCTV Camera, ni mambo gani utakayopunguza kuyafanya?
7 Reactions
183 Replies
2K Views
Kutuamsha salama Kutufikisha kazini salama Na kumwamsha huyu anaesoma hapa salama Utusaidie turudi salama na tukumbuke kutoa shukran kwako kila iitwapo Leo Kama waamini sema amen
2 Reactions
3 Replies
78 Views
Basi kama na nyie pia mnaitaka Mimba aliyopewa Namungo jana vuteni subira mtakuja kupewa / kujazwa 8/3/2025 Ok?
0 Reactions
1 Replies
87 Views
Karibu kwenye mada hii maalum kwa wapenzi wa teknolojia na ubunifu! 🌟 Katika zama hizi za akili bandia (AI), tunaweza kutengeneza picha za kuvutia kwa kutumia teknolojia ya AI. Katika mjadala...
7 Reactions
78 Replies
1K Views
Simulizi: My family Sehemu ya pili Mtunzi: Kijana Masikini ILIPOISHIA "Daa Qashy nae akapanda bodaboda na kumpa ishara dereva aifate pikipiki aliyopanda yule mzee...
3 Reactions
12 Replies
564 Views
Ana Kipaji cha hali ya juu mno cha Uchekeshaji na pia ni Mbunifu mno. Apigiwe Kura nyingi ili aweze kuibuka Mshindi Ok?
3 Reactions
5 Replies
313 Views
Kausiku kameingia, njooni tuzogoe. Mpo humu wanaume ambao mnapenda muachiwe mbususu zikiwa na minywele imetaradadi, wakinyoa mnakasirika mfano mzuri huyu hapa "Mwanamke kunyoa sehemu za Siri bila...
8 Reactions
95 Replies
1K Views
1. Mara 2. Arusha 3. Mwanza 4. Geita 5. Shinyanga 6. Mbeya 7. Rukwa 8. Katavi 9. Songwe 10. Iringa
14 Reactions
142 Replies
2K Views
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…