JF Chit-Chats and Jokes

General Chat, Talk about anything that falls under no category on the board, but remember FOLLOW THE RULES!
1. Wanyaturu 2. Wanyiramba 3. Warangi 4. Wairaq 5. Wachaga 6. Wazigua 7. Wanyakyusa 8. Wagogo 9. Wahehe 10. Wasukuma Kama kabila lako halipo apo usijali litakua kwenye kumi dhaifu. 😃
1 Reactions
2 Replies
104 Views
Sina maneno mengi ila ninayotoka moyoni. Moyo wangu unaelea katika bahari ya mapenzi yako. Wewe ni kama ua langu zuri, lenye harufu nzuri na rangi ya kupendeza. Kila ninapokuona, moyo wangu...
8 Reactions
17 Replies
562 Views
Inakutangazia kozi zifuatazo:- 1-Wizi wa kura, 2-Kutumia vyeti feki, 3-Kulipa mishahara hewa, 4-Kuanzisha makampuni feki. Chuo kitakupeleka field EPA, BOT, JWTZ, IKULU na utaajiriwa na makampuni...
1 Reactions
7 Replies
1K Views
Salaam kwa wote mliowahi kusoma Shule ya Sekondari ya Jitegemee lengo la uzi huu ni kusalimiana na kukumbushana vitu vizuri na vya kipekee vinavyopatikana/vilivyokuwa vinapatikana shuleni...
2 Reactions
355 Replies
69K Views
  • Redirect
Wanasema hakuna tajiri anakosa Mpambe labda kama ni pesa za majini Kama huna mpambe jua Bado huna pesa na pesa ya kujikimu tu Yaani uwe na pesa kama pesa ukose mtu au chawa wa kukupa sifa Hata...
0 Reactions
Replies
Views
Niliijua JamiiForums 2013 wakati nimemaliza mafunzo ya JKT. Nilikuwa nikifukuzia ajira za majeshi na idara za ulinzi. Sasa wakati naandika jambo google nikajikuta nimeletwa JF. Nilishangaa sana...
5 Reactions
9 Replies
249 Views
Mdau karibu utuambie
0 Reactions
6 Replies
137 Views
Eti ni ya kweli haya ? Naona reply nyingi kwenye nyuzi zangu kua wanawake waliojazia kwenda nyuma ndiyo kila kitu. Haya mtuambie mnayapendea nini matraaakoooo makubwa 🍑? Vipi wanawake wenye...
13 Reactions
128 Replies
2K Views
Au kuna mwanaume mwingine uko katumiwa tujuane tulio pata wanawake wa hivi huyu si nione anaoneka sio kama wengine wa jf
8 Reactions
71 Replies
747 Views
Habari zenu wakuu poleni kwa majukumu Kipindi nipo young ikifika mda mshaoga mnakalishwa chini TV inawashwa, CD inatupiwa ndani ya deck tena zile ZEC og, shwaah inaimeza. Hamjakaa sawa haha...
3 Reactions
45 Replies
1K Views
Asanteni kwa majibu ya uzi wa jana, nimeona nakidhi vigezo vyote vilivyotajwa na napokea jina la “mshangazi”. Haya niambieni hawa vijana wa 2000 nao wana sifa zipi. Ambao mmeshapata uzoefu nao...
11 Reactions
181 Replies
3K Views
Mimi sina mengi ila huyu dada🤩😍 mtansahati ninamkubali. Ninakutunuku maua mengine leo Qashy Lilith Njoo nikupe like basi😘
11 Reactions
122 Replies
2K Views
Maybe you should talk to someone, clear the air, rekindle lost time, find that sweet spot in the midst of all the chaos. I know, I know, therapy comes in a variety of demeanors and because of that...
1 Reactions
1 Replies
161 Views
Kama unajihisi mpweke ama upo bored au unahamu ya kuchati na wasiofahamika na wanaofahamika!,hapa ndo mahala pake,njoo tupunguze stress,upweke,tucheke na tulie pia!. Say hi to everyone and every...
31 Reactions
4K Replies
46K Views
Kuna baadhi ya watu wanekerwa na SMS wanazoandikiwa na ndugu, jamaa, marafiki, wapenzi (mademu)nk. Kuna rafiki yangu anakerwa na SMS zenye herufi 'X' inayokaa badala ya 'S' mfano mtu anaandika...
9 Reactions
138 Replies
2K Views
Kuna kautafiti kasiko rasmi nimekafanya kuhusu makabila yenye wanawake wenye viburi hapa Tanzania. 1. Wachaga 2. Wakurya 3. Wanyakyusa 4. Wahaya 5. Wapare 6. Wasukuma 7. Wameru 8. Wajaluo Yani...
57 Reactions
371 Replies
23K Views
Kuwa off wiki ambazo walevi wenzio ndo wamebananika kazini shida sana. Ngoja nipoteze muda kuongelea hili swala la raraa reree Huyu ndugu yetu ana kiwanda cha likes, hebu nipe siri na mm niwe...
32 Reactions
848 Replies
20K Views
Back
Top Bottom