JF Chit-Chats and Jokes

General Chat, Talk about anything that falls under no category on the board, but remember FOLLOW THE RULES!
Kuna kitu huwa kinanistaajabisha kidogo hapa bongoland hasa kuhusu jamii ya watu wanaotuzunguka. Yani mtu ukiwa huna shobo zile za kindezi kwa watu au kushabikia mambo ya kipuuzi puuzi basi jamii...
2 Reactions
5 Replies
165 Views
- Mbaba anayemiliki kipara hasa kile cha kung'aa - Mbaba mwenye kitambi - Mbaba anayevaa suti akiongezea na tai ndo ina thibitisha ana vibunda vya kutosha - Mbaba yeyote anayevaa miwani hata...
5 Reactions
16 Replies
346 Views
Leo ni tarehe 0! :Loading:Tarehe ya leo ni ya kipekee kabisa, inaundwa na number 0, 2 na 5 pekee 25-02-2025. 2(5-0-05)=0 :PensiveWobble:!
5 Reactions
10 Replies
401 Views
Kama usiku ukikosa usingizi unafanya nini? Mimi naimba pambio
2 Reactions
53 Replies
2K Views
Mama zetu wa kipindi cha nyuma walikuwa hawaachi maagizo Moja kwa moja.Lazima aseme kwa mafumbo Mfano akitaka kutoka anataka kuwaambia mfanye kazi fulani utasikia. Msiende kusanga hayo mahindi...
6 Reactions
41 Replies
812 Views
Habari Wakuu! Nimejikuta ninacheka tuu. Unajua haya mambo ya kizungu yanatutoa wengi nishai, wenge, Knockout. Yalinikuta, niliyakanyaga. Picha linaanza uncle kanipigia simu niende ofisini...
11 Reactions
41 Replies
2K Views
#PilikaPilika: Kwa tafsiri rahisi “Msela” ni mtu wa aina gani? #PilikaPilika #HainaKuchoka Msela ni mtu asiyejali chochote. Apate chakula anafurahi. Asikipate anafurahi. Aibiwe anacheka tu...
3 Reactions
9 Replies
196 Views
Najua wengi hawawezi amini mimi ni kijana wa kitanzania niliyesoma na Elon musk na huwezi amini alikuwa mweupe sana darasani. Kwa wale wabishi nitapublish picha ishirini nikiwa nae darasani pale...
6 Reactions
22 Replies
852 Views
Happy New Week, Kama thread inavyojielezea, jitahidini kukontrol ndoto, baadhi huambatana na mambo ya aibu kama ukiziendekeza. Jamaa yangu juzi kanipigia stori yaliyomkuta. Kama kawaida...
9 Reactions
8 Replies
214 Views
Wakuu`huu uzi ni maalumu kwa video za kuchekesho,vioja na video fikrishi
1 Reactions
4 Replies
175 Views
Kwamba, kila mtu ni tajiri… Kila mtu ana gari/ magari. Kila mtu ana digrii. Kila mtu ana nyumba. Kila mtu ana nguvu [nyingi] za kiume. Kila mdada ana umri chini ya miaka 20. Kila mtu hivi...
30 Reactions
144 Replies
2K Views
Kukosa hela hakupendezi.. Ni hayo tu
16 Reactions
118 Replies
1K Views
Wanawake wengi Pwani , Dsm , Lindi na Mtwara hawavai kabisa nguo za ndani ( chupi). Unamkuta mwanamke kavaa dela , khanga , gauni, taiti au suluari lakini ukimkagua unaona ndani ni kama...
7 Reactions
46 Replies
6K Views
eti wakuu? Hilo penzi lenu na huyo baby wako mmefikia hatua gani hadi sasa? Je mnajiona mkitoboa miezi 6 au tuwaache kwanza?
5 Reactions
43 Replies
575 Views
Watu wamekua wakinisumbua sana kwenye simu usiku silali etu tutoke out dahh! kisa JamiiForums ahaa naondoka nimechoka.
4 Reactions
149 Replies
6K Views
Wakuu, Nimekumbuka kipindi tuko shule, ukifanya kosa au kuwa mtundu shuleni mzazi wako anakuwa hakauki shuleni. Sasa usiombe ukadakwa kwenye skendo kubwa kama kudakwa na boifrendi/gelifrend hapo...
2 Reactions
8 Replies
291 Views
Umewahi waza kama mababu zetu wengi wangekubali kwenda utumwani kwa sasa pengine nawe ungekuwa Marekani. Kwa sasa umebaki una manga manga tu hapa Tz huna mbele wala nyuma. Utasema ooooh...wengine...
14 Reactions
73 Replies
1K Views
Hizi tuzo naona kama wanagaiana wenyewe ni kama wamepanga matoke yao huyu dada hajui kitu huyu esma na mama mawigi hakuna kazi wanafanya
4 Reactions
18 Replies
401 Views
Back
Top Bottom