Nilikutana na mshikaji wangu Tandika stendi ya mbagara, akanistua kwa nyuma akisema "malogy mathematic ndio wew? upo kaka?". Nikamjibu nipo k iongozi tunasindikiza wenye maisha yao, akacheka...
Watu wana maneno sana. Wanazidi kumwaga majina mbalimbali kwa ndege zetu. Mengi ni ya utaniutani. Si unajua tena nchi yetu inavyolindwa na utani tulionao? Wanaziita ndege zetu hizo mpya majina...
Nani kasema kuna haja ya kupata hasara kununua kadi za upinzani au kuzilipia. Ni upotevu wa rasilimali tu!
Save money! Save resources! Buy and pay for CCM cards!
Habari wadau wote wa hapa
Nimeuliza swali nahitaji kila mdau aseme aonavyo kuhusu UKAUZU unakuwaje au unaanzaje?
Karibuni kwenye kijiwe chetu leo sifundi kabisa bali tuko kwenye kuchangamshana...
*Upendo wa kweli ni nini?*
*[emoji117]Upendo wa kweli ni pale mwanaume anapomfumania mwanamke wake na kisha kumwambia baby vaa nguo twende nyumbani*
*Kifo ni nini?*
*[emoji117]Kifo ni pale...
BAHATI ILIOJE HII JAMANI.
××××××××××××××××××
Kuna siku nilikuwa maeneo ya Mjini kati
(City Center), nikaipenda suruali moja ya
shilingi 15,000/= na pesa sikuwa nayo
ikabidi niende kutoa kwenye...
Hi Guys,
Watu wa S7 tunacomment wapi? Sitaki comment zangu zimix na hizo huawei na ma tecno zenu [emoji275][emoji275]
~~Wahaya bana[emoji23][emoji23][emoji23]~~
Chizi kakaa ukingoni mwa bahari analia kwa masikitiko na huku kakamata kijiko cha chai. Mwezake akamuuliza mbona unalia mwenzangu. Chizi akajibu nimetia vijiko vitatu vya sukari baharini, kila...
Jana nateremka kwenye BASI UBUNGO nataka nichukue TEKSI hadi KIMARA naambiwa sh.15,000/=.
Wakati niponatafakari hiyo bei, nikasikia "Moro, Moro,Morogoro sh.6,000/="
Nikaamua nipande niende zangu...
*Shemdoe na Mwalimu wa English:*
*Teacher:* ```Who is a pharmacist?```
*Shemdoe:* _(raised up his hand.)_
*Teacher:* ```So it’s only Shemdoe that can tell who a pharmacist is in this class...