Hua sipendi tabia ya uzi kichwa cha habari ni kiswahili alafu uzi ni kingereza..
Hia sipendi mtu anaomba ushuri watu wanamjibu ndivyo sivyo....
Hua sipendi mtu anaandika uzi kiswahili anajibiwa...
nasikia sikia tu wanaume wa dar wanaume wa dar kwani wanamatatizo gn?? Mbona sisi wanaume wa shinyanga hatu zungumziwi????
embu nipeni reason why? wanaume wa Dar?
Kwanza mniwie radhi iwapo hii kitu iliwahi kuwekwa tayari kwenye hili jamvi.
Pili uzi huu hauna lengo la kudhalilisha jinsia yeyote.
Yafuatayo ni badhi ya maneno yanayodaiwa yaliwahi kutamkwa na...
Mume na mke wapo kwenye ndoa ambayo hakuna mawasiliano ndani. Kila mtu anafanya lake. Lakini wenyewe bado wanajiita mke na mume wakiwa nje.
Siku moja mume alienda kanisa mke hakwenda. Aliporudi...
Classy, Look How Diamond Platnumz Mother Looked on Her Birthday Party. Sanura Kassim, aka Kendrah Michael, Had appeared so Beautiful and young as she dressed with this Expensive Dress. See another...
"Sio kila EX ni EXPIRED,
EX zingine ni EXAMPLE:Utanielewa tu.......
Ulimwengu huu tunaoishi Muogope sana Mpenzi wa Zamani wa Mkeo kabla HUJAMUOA na Muogope sana EX wa Mmeo kabla HAJAKUOA kuliko...
In that day so few men will be left, that seven women will fight for each man, saying, "Let us all marry you! We will provide our own food and clothing. Only let us take your name so we won't be...
Huku kwetu Mwizi Kapigwa Mpaka Wamemkata Mkono wasamaria Wema Wakamsaidia Kumpeleka Hospital Wakati Doctor Anamhudumia Akawa Ameenda Kuchukua Nyuzi Kurudi mwizi Hayupo Kaamsha na Simu Ya Doctor Na...
Mume na mke wapo kwenye ndoa ambayo hakuna mawasiliano ndani. Kila mtu anafanya lake. Lakini wenyewe bado wanajiita mke na mume wakiwa nje.
Siku moja mume alienda kanisa mke hakwenda. Aliporudi...
nilizaliwa kwa mama peke yangu na sikujua kuwa ningekutana na wenzangu,sasa akili ilichachamaa na hio ni baada ya kukutana na marafiki kadhaa ambao wengi tuliishi kwa mtaa huku tukibadili...
Kwako dada uliyekuwa unanunua vitabu mlimani city pale Nakumat, kama upo JF please ni-pm. Ulikuwa mbele yangu na we had a little chat about reading books. Please pm me kama upo humu JF.
Baba: Kijana wangu utaoa binti ambaye nitakuchagulia.
Dogo: HAPANA.
Baba: Nakuletea Binti wa Rais Kagame
Dogo: Basi huyo poa
Baba anapata nafasi ya kukutana na Kagame. Anamwambia "Kijana wangu...
Wadau,
Jana jioni tulipotoka job na washikaji tulikubaliana twende kwenye vichochoro vya upanga kupata moja moto moja baridi foleni ikiendelea kupungua, huku pia tukijadili kasi ya upasuaji...
Katika pitapita zangu za mizunguko yangu ya kila stendi nimefanya kautafiti fulani nikagundua kwa asilia kubwa ya wanaume hv ni kwa nini hua kwa mfano wakiwa wanatembea kwa miguu labda akatokea...
Katika pitapita zangu yaani sekondari na chuo nimekuja kugundua vijana wa arusha ni watu wa maringo sana na dharau nataka kujua wadau hili linasababishwa na nin
Hey, Nimekuja zanzibar na saa hii nipo hapa
kwenye hili Tamasha, ivyo member yeyote
ambae yupo kwenye hili tamasha la filamu
hapa zanzibar hebu tuchekiane hata kwa PM
Lafudhi gani huwa unaona nzuri?
Zipi unaona mbaya?
Zipi zinakuchekesha?
Mimi lafudhi ya kisafwa na kisukuma huwa naona mbaya hasa kwa wanawake. zimekaa kibabe.
Wafipa huwa naona lafudhi yao poa...