Mh. Kitwanga amekuwa habari kubwa tangu uncle Magu atengue uteuzi wake!, kishindo cha utenguzi huo kimepelekea tasnia ya sanaa kutoa wimbo maalumu kusindikiza habari hii ambayo tunategemea...
Dear Coca-Cola,
Those people in your ads, the way they grab a bottle of Coca Cola from a cooler filled with ice cubes, the way they open the bottle and drink continuously, as if they have the...
Kutokana na timu yetu ya taifa, yanga,simba
na azam kufanyiwa figisufigisu wakienda
ugenini kwenye mashindano ya kimataifa....na
sisi wakija waarabu au tp mazembe tufanye hivi
1.tuwaweke sana...
Jamaa alikosea kutuma pesa akatuma mil2 kwa
no tofauti. Akafikilia cha kufanya akaja na hii:
''Hello natumai u mzima. Naamini umepokea
pesa niliyokutumia. Ni kwa ajili ya mwanzo wako
wa kuingia...
Nimeona niseme kama atakasirika akasirike. Watu wamekuwa wakimhujumu rais wetu kwa watu aonekane mbaya.
Kuna dada hapa mtaani toka amehamia mwaka jana mwishoni tunamwona anapita kwenda na kurudi...
Wakati tukiwa wadogo tuliaminishwa ukiona gari nyekundu au msalaba mwekundu hao ni mumiani wananyonya watu damu,nakumbuka mara tukaletewa habari kuna mwanamke anaitwa msekwa ana titi moja,uzushi...
Habari wakuu.
Bahati mbaya kuna kabinti kadogo dogo kalikuwa kamekaa karibu na mimi leo kameshika simu kuubwa kanachati na njemba mmoja kwa kuelekeza simu kwenye macho yangu ambapo hakukua na...
Yani sasa imekuwa kama fashion, kila kijana fb ana ka page kake ambako sie ma friends 'tunashurutishwa ku like'.
Watu wenyewe hizo wall zenu zimewashinda kupost vitu vya maana from January to...
Kwema wana Jukwaa?
Baada ya salamu nirejee kwenye ada yangu ambayo kichwa chake cha habari bado hajijajitosheleza kuelewa naongelea nini.
Siku moja nilienda kumtembelea dada yangu anaenifuatia...
Jamani eeeeh!
Nipo kwenye dala dala hapa natoka kibaruani na kwa mji wangu. Nimekaa Nimekaaa siti karibu na mlango wa conductor, abiria wa siti ya nyuma kanyoosha mguu wake wa kulia, kule chini...
Hamjambo WanaJF!
Jamani mi nina tatzo na cjui ilikuwaje nikawa hivi!
Mi mwenzenu tangu siku ya kwanza nilipoona umbile tupu la hawa wenzetu wa kike wakiwa utupu... Namaanisha nikiiona face 2...
Nimeikumbuka Ile movie ya Jack Chain "THE DRUNKEN MASTER" kiukweli nimeimiss sana na bahati mbaya sinayo.... Nimejaribu kuiGoogle lakini kila nikiandika THE DRUNKEN MASTER Google inanisahihisha na...