........Wanawake waache FUJO na ubinafsi , wanaume wametuita MABUZI kwa zaidi ya miaka 12 sasa wao kuitwa CHURA mwezi mmoja tu imekua nongwa.
Wanataka kutufunga istoshe chura
wameanzisha wao...
Eyoo.... Morale wasee?
Wasee, kwanza niaje Niaje?
Last Sato, nlipata mgeni, ni besthe yangu wa high school, for the time being he decided to visit me at University of Nairobi, kwa hiyo yard...
Acha tu niseme jamani..huyu Dada kwa kweli moyo wangu unamsumbukia sana. Nimefaiti kukutana naye lakini mpaka sasa sijafanikiwa..Rebecca naomba ujue kuwa Mimi nakosa usingizi kwa ajili yako. Huko...
1. The day a mosquito lands on your testicles is the day you'll understand that there are ways to solve problems without violence
2. The one who sleeps with itching in the anus wakes up with...
Sasa hivi tunatongozwa bila vinywaji!;;;;;; akikuona atakuomba namba!;;;; akifik yumbani kwake anachukua cm anaanza kukutumia vi emoji vya cm; chupi na brazia; atakuuliza nije lini; mkikutana...
Mvuta bangi mmoja alikuwa uchocholoni anavuta bangi mala akasikia sauti nzito akauliza "we ni nani?" sauti ikajibu me ni izlaeli mtoa roho" Mvuta bangi akajibu "dah umenishtua kweli nusu nijinyee...
Jamaa alikuwa bonge aliona tangazo
limeandikwa : "Punguza kilo 5 kwa wiki"
Akawapigia simu na kuomba kujiunga, Binti:Sawa
uwe tayari hapa ofisini kwetu kesho saa 12 za
Asubuhi..
Siku ya pili...
Kwanza nianze kwa kuwasalimu ndugu zangu,na kuwashukuru kwa namna tunavyoshauriana katika mambo mbali mbali yanayogusa maisha yetu ya kila siku.
Kwanza naomba nisimulie kidogo historia fupi ya...
Eti ukikamatwa unamuita mwanamke CHURA ni viboko 15 adhabu, SERIOUSLY??????? sasa midawa ya kuongeza MATAKO mnaitumia ya nini kama hamtaki kusifiwa??
Mmetudharirisha muda woote na mijina ya ajabu...
>> Ni Sifa Zipi Nazotakiwa Kuwa Nazo Ili Nipate Mke Toka Zanzbar....
Sambamba na Hilo Hebu Nionjesheni Sifa Zao Kulingana na Sehemu au Jamii Watokayo, Japo Najua Chache.
>> Pia, Naomba Kujua...
Hola!
Kuna maneno au sentensi wazungu wanaita, TONGUE TWISTER, ukitamka haraka lazima ujikaanyage ulimi.
Ebu nawe kama wazijua kadhaa za kiswahili ebu tupia hapa, misemo hii unatakiwa useme haraka...
Ukitaka kuoa, basi oa mwanamke mjuaji Kama Lara 1.
Wanawake dizaini ya Lara 1 wanaogopeka sana na wanaume kwa kuwa wanaongea sana, ni wajuaji sana, lakini nakuhakikishia kabisa kuwa ukidaka...
Wakuu,
Hili tangazo la tigo ambalo ameigiza joti na Natasha nimeshindwa kabisa kupata logic yake, mara joti kapigiwa simu na Mke wake ambaye ni Natasha yuko ndani anamwuuliza nani ni no.1 wake af...
Lafudhi ya Dogo janja inaongelewa na kila rika kule Arusha, huyu ni Mama wa Kichaga anaongea kama dogo Janja. Rafudhi Hii Inawavutia Wengi Sana Nchini Tanzania.
Kuna watu wawili walienda railway station wakakuta train ndio inaondoka wakaanza kuikimbiza mmoja akafankiwa kuipata"alieachwa akawa anacheka"watu wakamuliza unacheka nini wakati umeachwa? akasema...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.