JF Chit-Chats and Jokes

General Chat, Talk about anything that falls under no category on the board, but remember FOLLOW THE RULES!
Leo nimefuatilia mijadala kadhaa kuhusu kutenguliwa kwa huyu mtaalamu wangu wa IT...Nilichogundua kwa wachangiaji ama wanahabari ni kuhitimisha maongezi yao kwa kuoanisha jina la KITWANGA na tendo...
1 Reactions
0 Replies
1K Views
Wakuu, Leo saa 8 usiku nimetokewa na kibwengo zimwi,kinatisha mbaya, kina mkia wa punda, kwato miguuni, pembe kichwani kama mbuzi, sura ya binadamu, ana ulimi wa kenge mrefu kama kamba, kinatema...
5 Reactions
21 Replies
3K Views
mhudumu nipe kitwanga moja
2 Reactions
2 Replies
3K Views
Nani katupa hivi vitwanga hapa? :D:D
2 Reactions
3 Replies
1K Views
Haya ni mateso bila haki. Wee subiri na Mimi Leo narudi na kitu Kila MTU ana mzuka lakini si kwa style hii aisee hapana kabisa Nyumba zenyewe hizi za uswazi hazina singlibodi halafu mnatifuana kwa...
4 Reactions
41 Replies
9K Views
Naombeni ushauri juu ya hii kitu coz nataka kununua LAP TOP ila cjajua ni zipi nzuri kuliko na yenye sauti zaidi bila kuweka spika za nje
0 Reactions
3 Replies
985 Views
1: Ukikaa karibu na jiko-charge connected 2: ukipia karibu na nguzo za umeme-power bank connected 3: ukipishana na mchina-new device as connected kama una yako ongeza alafu bonyeza==>...
1 Reactions
15 Replies
4K Views
Bro alitaka kumuoa mpenzi wangu pasipo kujua ... ingekuwa pivi kama angemuoa? Wamama wa humu natamani avatar zao ... ingekuwa vipi kama ningewaona?
1 Reactions
10 Replies
920 Views
Nikawaida mtoto mdogo kuveshwa shang a...... Majina yao wengi huanzia na she.. .shekidege .shembui .shekwavi .shebalua .shekalange .shemdoe .shekinyashi .shengoda Shemnanga .shemweta Shekilango...
3 Reactions
35 Replies
7K Views
Profile za Facebook watu wote ni magraduate, wengine nilisoma nao tangu primary kitaa tunajuana vizuri tu. Tena wengi wanaweka UDSM, sasa hii ni kujifurahisha au inafaida nyingine jamani.
0 Reactions
9 Replies
1K Views
tazama video halafu,vuta picha siku shilole atakapo kutana na venessa mdee kama alivo haidi ktk lile bifu lao linalo endelea.
1 Reactions
7 Replies
1K Views
Leo kuna mdogo wangu nimemtumia meseji nimemuomba aniazime chaja yake ya simu. Akanijibu 21002. Nikawa mkali nikamuambia kuchajia mara moja tu ndio HELA yote hio si bora nikanunue Chaja yangu...
7 Reactions
9 Replies
3K Views
But Why?
0 Reactions
19 Replies
4K Views
Mimi rais Mithili ya Broo Magu, simpi shikamoo, nikiingia kwenye anga zake, kama ananitumbua potelea mbari. Naomba Mwenye picha ya mkurugenzi wa Uwanja wa ndege wa Mwalimu Nyerere akimwamukia...
2 Reactions
6 Replies
2K Views
haya tuanze matusi... 1.kuifananisha leicester city na chelsea ni matusi kwa leicester city 2.kufananisha wanaume wa dar na wanaume wa mikoani ni matusi kwa wanaume wa dar.. 3.kuwafananisha...
0 Reactions
41 Replies
11K Views
Habarini ndugu zangu was JF, Natumai mu wazima wa siha njema. Mimi ni kijana wa miaka 22,nina mpenzi ambaye tumedumu naye kwa takribani miaka miwili na ananipenda sana kwani mimi ndiye...
1 Reactions
26 Replies
3K Views
Eti walisema ukicheka unaongeza siku za kuishi na huondoa stress vile vile.... Hakuna ubishi kuna watu wana comment humu ukisoma utaishia kucheka na kufurahi mwenyewe... Hapa chini baadhi ya...
2 Reactions
6 Replies
1K Views
Hivi jamn hii tamthilia mnaielewa kwl maana haiish nakumbuka toka nipo shule ya mcng toka 2000 had leo khaaaa hii tamthilia noma
0 Reactions
3 Replies
2K Views
WASH'KAJI EEEEEEEH! NAULIZA KWA NIA NJEMA TU! HIVI HAWA WANA WA M'LE KWENYE 'VENYU' M'LE, YAANI HUYU KAKA'ETU "Wa kubadilisha sanamu ya askari" NA HUYU DADA'ETU "Wa Kuwa na uchungu hadi...
0 Reactions
17 Replies
2K Views
Kuna utafiti nimeufanya,nimegundua wanaume weng wa kibongo hasa wa kizazi hiki cha kisasa hatuna ujasiri wa kutongoza wanawake ana kwa ana,unakuta mtu ni mko nae ofisi moja au darasa moja,lakini...
2 Reactions
28 Replies
6K Views
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…