Dah,ishakuwa nongwa sasa kila kona kila Mahala utasikia huu mchezo hauitaji hasira,yaani kama kuna mtu anapofolewa vileee,Ila mi sina uhakika...... lakini nataka kujua huooo mchezo usihoitaji...
Kutokana na wimbi la mauaji yanayoendelea jijini hapa hasa kwenye nyumba za wageni. Meya wa Jiji na Mkuu wa Mkoa wamepitisha Sheria hizi ambazo zita anza kutumika tar 15/5/2016. Sheria hizo.
1...
Wanajamvi mambo zenu.
Nimegundua jukwaa hili limejaa wanaume wasio na mtazamo wowote zaidi ya ngono.
wanaume wapo kwaajili ya kuvia mademu
Ukifuatilia PM za wadada wanachangia humu utaona jinsi...
Unaalika binti date alafu anakuja na maringio, eti oooohh sor!!!! Babe sitakula nikitoka home nilipitia TILAPIA HOTEL nikala kuku..
Wewe na ungentlemen wako unamnunulia whisky ya Jack Daniels ya...
Habari za usiku huu.....
Niko off kwa wiki na nusu kisha narudi kibaruani. Niko nyumbani kwangu na jioni hii nimepata habari ambazo zimenichefua.
Gafla nimepata hamu ya kulewa. ... Nataka...
Kudos hi!!
Kuna mresh ameleta mtoi kwetu akisema ni wangu. Na huyo mresh nilikuwa nimedo naye round Mwenda, but hata nahesabu months since nifunue booty ya mistubishi hata moon Sita haijakaa...
Mwalimu kauliza swali darasani
wanafunzi wataje
kazi za wazazi wao:
TINA: mimi baba yangu
mfanyabiashara mama
yangu mwalimu.
MWALIMU: Safi, haya juma
JUMA: Baba yangu dereva mama
yangu hafanyi...
Mlevi kakutwa akikojoa eneo la shule,mwalimu mkuu akamuuliza "hilo bango limeandikwaje?' mlevi "usikojoe hapa".Mwl mkuu "so,unafanya nini hapo?" mlevi kwa umakini na upole akamjibu.. "haki ya...
Kuna mresh ako na ID name reads "RUBY" if hiyo avatar ni yeye pls I have my words for her! Sometimes I feel to ask her but I go cold!!
Anyway if she reads along this thread, pls tujuane one Time...
Msomi mmoja mwenye PHD pamoja na kijana mmoja ambaye hakubahatika kwenda shule walisafiri pamoja kwenda kutembelea mbuga moja maarufu yenye maua na ndege wa kuvutia.
usiku ulipofika wakaweka hema...
Katika hali isiyokuwa ya kawaida kuna mzee ameokota mfuko ulioukuwa umejaa manoti na kuzipeleka polisini.
Inavyosemekana pesa hizo zilitupwa dampo na mfanya usafi katika duka akidhani ni uchafu...
MAGIC MATHEMATICS
This is what I call magic
mathematics! Bring out your
calculator and do this:
1. Take the last digit of your
phone number.
2. Multiply by 2
3. Add 5
4. Multiply by 50
5. Add 1766...
Wana MMU
Salaam;
Me ni mkristo,nna mke na nimeoa kwa ndoa miaka zaidi ya 10 iliyopita.
Mambo ya Dunia nayo hayakwepeki,nna mchepuko wangu nilioanza nao mwezi uliopita.
Mchepuko wangu ni wa...
Habari za humu ndani,
Nimesikitika sana kusikia eti mtu anafananisha beer na tifal za kujengea,tokea lini beer ikafanisha na vitu vya kawaida.
Naombeni mawazo yenu
Usiku kitandani namtatafuta mpendwa wa nafsi yangu nalimtafuta nisimpate . Nikasema haya niondoke nizunguke mjini katika njia zake na viwanjani nimtafute mpendwa . Mpendwa wangu ni kama kishada...
Hali ya kuwa na marais wa mitaa mara sjui rais wa kijiji gan mara wa kona street now days wamepngua kama sio kuisha kabisa tangu mh Magu aingie madaraka.
Shkamoo mjomba magu.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.