JF Chit-Chats and Jokes

General Chat, Talk about anything that falls under no category on the board, but remember FOLLOW THE RULES!
Kuna habari nazisoma hapa hata siamini. Eti mwisho wa mwezi huu ndo mwisho wa dunia. Daa roho inaniuma sana maana ndo kwanza nimempata laaziz wangu wa moyo. Sasa hata sijamshughulikia vizuri...
0 Reactions
9 Replies
2K Views
mshana jr Hivi ushawahi kuwa na mpenzi muongo mpaka akikwambia usiku mwema unatoka nje kuangalia kama ni usiku kweli? Arushaone
5 Reactions
14 Replies
2K Views
Kuna tabia ambayo wadada wengi wamekuwa nayo mda mrefu yaani mwanaume ukiwa huna hela halafu una umri mdogo unaonekana dogo na uwezi kuruka sarakasi zetu zile, ila ukiwa na hela bana unaonekana...
0 Reactions
1 Replies
1K Views
Wadau nimewamisi sana baada ya kuchezea wiki,kila la heri
1 Reactions
1 Replies
598 Views
Nimeona wengi wakimpinga sana mbunge wa ulanga kuhusu pendekezo lake la kufuta historia (kumbukumbu) na badala yake tuweke International figure (Diamond) kama ni kutambua kazi na jitihada...
0 Reactions
1 Replies
2K Views
On this special day, i wish you all the very best, all the joy you can ever have and may you be blessed abundantly today, tomorrow and the days to come! May you have a fantastic birthday and many...
1 Reactions
16 Replies
1K Views
Read this: If you are a man remember who you are! If you are a woman [emoji184] Respect every male in your life. U will never know what he has sacrificed 4U. [emoji779]A man is the most...
2 Reactions
5 Replies
832 Views
20 Most influential Jf members Wakuu leo nimeona nitoe list ya watu wenye ushawishi , kuna muda unaweza ukawa huna cha kuandika au kukoment humu ila unaweza kupitia habari mbalimbali ambazo...
10 Reactions
144 Replies
12K Views
Hbr za Leo wadau! Nakia kichefuchefu, kizunguzungu, hasira, na udhaifu wa mwili. Kwa dalili hizo ninaweza kuwa nimeshika mimba? Simpendi mume wangu hata akinipigia simu nasikia hasira sipokei...
2 Reactions
77 Replies
8K Views
Waungwana naomba kujua ratiba na gharama za mabasi yanayosafiri kutoka Dar-rukwa moja kwa moja.
0 Reactions
9 Replies
4K Views
Dear ladyfurahia, Each year your birthday reminds me that I really want to say am very glad that I know you. A friend like you is a gift from God and hard to find. I hope you enjoy your birthday...
0 Reactions
10 Replies
727 Views
si maneno yangu bali ni ya kocha mmoja mzalendo alipokuwa akihojiwa na kituo fulani cha redio akitakiwa aeleze historia yake ya ukocha.ndipo akasema kuwa kazi hiyo ameianza siku nyingi,na miongoni...
0 Reactions
7 Replies
2K Views
Mwanaume alisikika akilalama "haiwezekani akae kimya kwa miezi 2, anatumia nn? Au kuna mtu mwingine ana mhudumia? Siku za nyuma ilikuwa haiishi wiki". Haya yameibuka huku kwetu uswazi. Jamani...
0 Reactions
25 Replies
3K Views
Wadau tukumbushane AKA za mashuleni tulikosomea. Mimi naanza na Minaki na Umbwe: Minaki aka Dabanga Tumbili aka Vinyanyiko Mkuu wa Shule aliyekuwepo wakati wetu aka Faza Mkuu wa Shule Msaidizi...
0 Reactions
13 Replies
5K Views
Nimetukanwa Kinyambe chako weee. Mimi nilikuwa najua Kinyambe ni jina la mtu, kumbe ni tusi jamani....... Daslamu matusi mengi jamani.... Wageni mwakaribishwa msijifunze mambo ya mji huu. Ushoga...
7 Reactions
35 Replies
6K Views
Sina sehemu yakutosha yakuelezea uzuri wako mpenzi wangu, tabia yako nzuri, kujali kwako, upole wako na ubunifu wako unanifanya nikuone bora kila siku... Ninayo furaha kubwa kuwa nawe!! utii...
5 Reactions
171 Replies
14K Views
Habari wakuu Naombeni ushauri maana nataka kubadili jina, badala ya kuitwa MKWEPA KODI nitumie jina la MFICHA SUKARI, sababu kuu ya kuamua kubadili jina ni kutokana na mgogoro wa kifamilia ambao...
2 Reactions
22 Replies
3K Views
Ni rough cut ya wimbo ambao nilikuwa nao mawazoni kwa karibu miaka mitatu sasa. So I decided to pick up my guitar na kurelax kidogo kwa kucheza muziki huu.. hope waimbaji wazuri wanaweza kuufanyia...
3 Reactions
21 Replies
2K Views
Back
Top Bottom