JF Chit-Chats and Jokes

General Chat, Talk about anything that falls under no category on the board, but remember FOLLOW THE RULES!
WASH'KAJI EEEEEEEH! KWA HALI HII ROHO YA CHUMA INAHITAJIKA SANA. KUTOKANA NA TABIA YANGU YA KUTOA TABASAMU, SURA YA UCHESHI, NA SALAMU YENYE BUSARA KWA KILA MTU, NIMEZOELEKA NA KUPENDWA GHAFLA...
6 Reactions
34 Replies
7K Views
Mwisho wa trophy point ni 113 Kwanini iwe 113? Kuna siri gani nyuma yake? Kukuruka wee post zitaongeza followers wataongezeka likes zitaongeza hasa kama unatokea kapuku forum [emoji23] [emoji23]...
8 Reactions
41 Replies
4K Views
Mvuta bangi kaposa mtoto wa kike mwembamba sana. Siku ya harusi mama mtu akamzungushia mwanae magazeti apate kuonekana kajazia. Harusi ikapita, muda wa kulala ulipofika, jamaa akataka haki ya...
3 Reactions
16 Replies
7K Views
The goodness of something rises the weakness of something, good afternoon all of you.
0 Reactions
3 Replies
1K Views
Mamboz na weekend
1 Reactions
6 Replies
1K Views
Taja majina ya wanamuzik hawa wa bongofLeva 1. + 2. + J 3.❓ 4.7⃣⬆️✖️ 5. 6.⚽️ 7. + RB + 8. 9. 10. + 11. 12. + 13. 14. + MA 15. + 16. + 17. + 9⃣ 18. + 19.➡️ 20.
0 Reactions
10 Replies
4K Views
Mimi nikiwa moja wenu nawatakia maisha mema na yenye baraka tele.
0 Reactions
0 Replies
618 Views
MSAADA WADAU KUNA MZEE KAMLETA MTOTO WAKE KWANGU ILI NIWE MWALIMU WAKE WA TUITION YA ENGLISH. SASA MZEE KANIGONGA INTERVEIW KIDOGO, KANIAMBIA NIMTAJIE MFANYAKAZ HEWA KWA KINGEREZA...
1 Reactions
7 Replies
2K Views
Angalia Vidoe ya mbwa anacheza mziki. Huyu dogi noma. Bonyeza hapa kuona video - Mbwa acheza muziki!!
0 Reactions
1 Replies
2K Views
mdada m1 akawa katika pitapita mitaan akiwa anataka kurudi hone akaona daladala iko 2pu akahs hyo ndo itayomfaa maana ijajaza wa2 akiwa amekaa konda akaja ¤ konda-haii beiby mdada-<kimya akitazama...
1 Reactions
3 Replies
2K Views
Hii ndio Bongo Ilikuwa Ijumaa mida ya saa 10 jioni, mzee mmoja aliingia na kibinti kizuri kwenye yard ya magari mapya. MZEE: Chagua gari unalotaka mpenzi....kabinti akazunguka yard yote mwisho...
0 Reactions
1 Replies
1K Views
Waumini watatu walikutana kwa siri na kuelezana matatizo yao ili waweze kuombeana. WA KWANZA: mimi tatizo langu ni wizi, kila nikimaliza ibada lazima niibe pesa za sadaka. WA PILI: Mimi tatizo...
12 Reactions
36 Replies
6K Views
Kutongoza hata kwa kamera tu: dada samahani naweza kukupiga picha Dada: ili iweje anko! Nataka kuja kuwaonyesha wanangu mama yao alivyokuwa enzi za ujana wake!.... ENDELEA MWENYEWE....
0 Reactions
3 Replies
2K Views
Wanajamvi kama heading inavojieleza, Katika vitu huwa nakosa tafsiri sawia, ni suala zima la mapenzi yaani kuanguka penzini. Kweli usipofikiwa na hali ya kupenda au kumpenda mtu inakuwa hivi; Mtu...
8 Reactions
155 Replies
16K Views
wale wote waliopitia Musoma tech tujikumbushe kidogo maisha ya pale
0 Reactions
9 Replies
9K Views
Samahani mkuu ningependa kufahamishwa juu ya hili maana nasikia zamani mtu ukiwa ulaya huku nyumbani ilikuwa ni full heshima ila huko mbele watu walikua wanafanya kazi ya kubeba box na kutoa...
0 Reactions
12 Replies
2K Views
Pale kuku wako anapokufa siku ya Pasaka
2 Reactions
1 Replies
2K Views
Habari zenu wanachama wote wa JF ? na nawatakia siku njema wote.
0 Reactions
2 Replies
739 Views
Mchana wa leo naelekea Dom na private car je unawaza changia kidogo twende wote, akijitokeza bi mdada itapendeza gari linukie japo si lazima awe wa kike, ni inbox kama upo serious ni saa saba...
0 Reactions
7 Replies
1K Views
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…