JF Chit-Chats and Jokes

General Chat, Talk about anything that falls under no category on the board, but remember FOLLOW THE RULES!
Ilkuwa wapi? Ulijiaanda je? Ulichuwa muda gani? Uliganganya kwa asilimia gani? Ulihisi hofu kiasi gani? Na ulijibiwa vipi baada ya sound zako zote?
3 Reactions
52 Replies
9K Views
Kwa miezi kadhaa sasa kama unafuatilia posts za Clouds FM utagundua kwamba watu wengi wanalalamika kupotea kwa redio hiyo kwenye mikoa yao kwa muda mrefu. Miongoni mwa mikoa ambako Clouds...
14 Reactions
55 Replies
2K Views
Nimeona sio jambo baya Kama tukawa na Uzi maalum kwa ajili ya viwanja vya starehe, Tukutane hapa Kupeana updates za viwanja ubora wa huduma zitolewazo kwenye viwanja viwanja vya kukwepa...
11 Reactions
54 Replies
1K Views
Nije moja kwa moja kushare na nyie kilichonileta humu leo.Nimepata bahati ya kutembelea nchi za ulaya, kujifunza mambo mbalimbali ikiwemo tamaduni zao. Kuna mambo mbali mbali ya kuvutia na ya...
9 Reactions
29 Replies
9K Views
Leo nimemkumbuka Mtangazaji wa enzi hizo kutoka KBC (Kenya) Leonard "Mambo“ Mbotela ni mtangazaji mashuhuri wa redio nchini Kenya. Tulimjua haswa kupitia kipindi chake mashuhuri cha "Je, hii ni...
0 Reactions
3 Replies
12K Views
Hawa wanyama wa ajabu sana waharibifu mpaka wanakeraa, wanaweza wakaingia kwenye begi wakaacha vitu visivyo vya maana wakatafuna vyeti vya shule au hela. kwakweli mimi nikiwaona hawakai kwa amani...
7 Reactions
56 Replies
695 Views
Mwanaume kabisa unatamka maneno haya? 😔 Mambo Haya Nyimbo❌ wimbo ✅ Niwekee chips za kushiba
5 Reactions
13 Replies
427 Views
Kutokana na kuonekana mzee, madaktari vishoka wamenishauri nipunguze au niache kunywa pombe kwa sasa ili mwili uweze kujijenga vizuri, na kurudi utotoni. Sasa, nina mwezi mmoja nipo ugenini na...
1 Reactions
15 Replies
239 Views
Niliacha kunywa bia baada ya kufikia hatua ya kunywa kreti moja ya castle lite bila kulewa ikabidi nihamie kwenye pombe kali. Kama hizi: K VANT KONYAGI BEFFEATER LONDON THE FAMOUS GROUSE JAMESON...
9 Reactions
226 Replies
30K Views
"Pakiwa ndipo unapolala humo humo unatunzia na vyombo vyako basi hicho sio chumba hio ni stoo" alisema kijana mmoja graduate huku akiwa ameegemesha miguu miwili kwenye sofa la shemeji yake
9 Reactions
39 Replies
796 Views
Ukiwa na huzuni, umetendwa au maisha tu yamekuvuruga, unasikilizaga nini kujiliwaza. Top 5 zangu Million years ago - Adele Sikati Tamaa - Darasa Moyo Wangu - patrick kubuya Voilà - Barbara Pravi...
2 Reactions
71 Replies
703 Views
Wakuu kwema? Iko hivi mwaka jana sikulipa kodi ya nyumba baada ya kushindwa kumpata kwenye simu mwenye nyumba. Yeye huwa anakaa singida na Mimi niko Geita na nyumba yake nikihopangishwa Iko hapa...
11 Reactions
39 Replies
817 Views
Kuna yule mwamba anaitwa tako_la_mtemi Nikifa MkeWangu Asiolewe 😅😂
5 Reactions
33 Replies
684 Views
Duh nimesoma hii comment ya LIKUD akielezea hatua aliyo ichukua baada ya mpenzi wake kuja na " behewa" kwenye mtoko nacheka mpaka machozi. Comment yenyewe ni hii hapa chini👇👇
3 Reactions
4 Replies
273 Views
Mchongo wowote wa kazi au hela ya kula bando lenyewe nimeomba
13 Reactions
82 Replies
2K Views
Staff members wanapiga kazi kubwa sana, leo nimejisikia tu kuwapost😁. Tag staff member wako mmoja unaemkubali sana, hata kama ashawahi kukufutia uzi au kukulamba block/ban then ukamjua we mtaje...
14 Reactions
223 Replies
3K Views
Tumechoka usumbufu usio wa lazima, now ni Tit for Tat😂, ninyi si mabingwa bwana basi twendeni hivyo tu hakuna kujaza manamba yasio na faida, sms eti "VIPI NIAMBIE" khaa🚮 2025 nimeamua ukiomba...
3 Reactions
44 Replies
512 Views
Unapojiona upo kwenye faragha chooni unajikakamua gogo litoke mpaka macho yanakutoka kamq baunsa la amadou amadou ujue hauko peke yako unakuwa na mwenyeji wako.
7 Reactions
83 Replies
2K Views
Wakuu Moja ya video ambayo imevutia macho ya wengi na kusambaa mitandaoni, nini umejifunza baada ya kutazama mpaka mwisho na ulitegemea nani angeshinda?
2 Reactions
7 Replies
332 Views
Mimi nalinda sana mkuyenge kila nikiamka lazima nifanye microphone test, wewe je?
6 Reactions
37 Replies
623 Views
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…