JF Chit-Chats and Jokes

General Chat, Talk about anything that falls under no category on the board, but remember FOLLOW THE RULES!
20,007 27,000
4 Reactions
35 Replies
606 Views
Ndugu marais hamjambo (kwa lafudhi ya kihaya), naona wengi wenu mnashida sana, mfano we Trump hutulii kabisa, nimeamua kukupa msaada wa dhahabu tani 1 bure, Tanzania ni Tajiri hatuna njaa. Halafu...
0 Reactions
4 Replies
261 Views
Kama kichwa cha habari kinavyo jieleza mimi sijafunga kwasababu sion sababu ya kuifunga nikipata sababu nitafunga
1 Reactions
14 Replies
820 Views
Hayo sio maneno yangu, bali ni maneno ya Vodacom Mpesa, wakinijulisha kuhusu muamala nilio ufanya asubuhi ya leo. Miaka kadhaa iliyo pita hela hii ningeiweka kwenye akaunti ya Mr. Muggetta in the...
22 Reactions
65 Replies
1K Views
Wanajamvi, Kama ambavyo tumekuwa tunawajulisha hapa majamvini, Wana-Arusha Wing tukiwakilishwa na Blaki Womani, marejesho Filipo, Arushaone, Lily Flower Preta, werawera na miye PakaJimmy...
18 Reactions
283 Replies
14K Views
Tuseme ukweli, walevi wana kipaji cha hali ya juu cha ubunifu. Wakati sisi wengine tunahangaika kutafuta sababu za maana za kufanya maamuzi maishani, wao hawana muda wa mawazo magumuโ€”maisha ni...
9 Reactions
32 Replies
606 Views
Habari members, kwa wale waliotimiza miaka 10 na kuendelea tangu wajiunge na JF tujuane hapa.
1 Reactions
8 Replies
245 Views
๐Ÿ˜‚๐Ÿ˜‚๐Ÿ˜‚๐Ÿ˜‚ nimecheka sana huyu jamaa moto wake mbinguni sijui utakuwaje ase Eti Mungu upo? Ee upo ๐Ÿ˜‚๐Ÿ˜‚๐Ÿ˜‚
1 Reactions
9 Replies
814 Views
Habari wakuu Leo nmemkuta mdada dukani anaongea na simu nikashtuka mno Huwa simuamini anavaa bangili za kiganga nyeusi mkono wa kushoto hujitanda shungi Leo jioni naenda kununua kitu dukani kwa...
4 Reactions
15 Replies
426 Views
Ukienda msibani halafu ukae nyuma ndio utajua nini kilimuua marehemu kule mbele huwa ni sifa tu kwa Marehemu. Ni hayo tu nilio shuhudia leo.
10 Reactions
36 Replies
836 Views
Jamani, humu JF mie nafurahishwa na mambo mengi. As we are approaching weekend hebu pitia some of ID's! Yaani Loh! Angalia hizi wehoodie, giLESi, @St Paka Mweusi (yaani Mtakatifu Paka Mweusi?)...
10 Reactions
147 Replies
8K Views
Habari za majukumu, Pamoja na mada nzuri na taarifa mbalimbali zinazotolewa hapa JF, wakati mwingine najikuta nacheka mwenyewe kwa baadhi ya ID/Username zanazotumiwa na baadhi ya members. Japo...
8 Reactions
23 Replies
1K Views
Jana jioni nilikuwa napitia makabrasha yangu, nikakutana fomu moja ya mahudhurio ambayo ilinikumbusha na kunirudisha nyuma kidogo mwaka 2018. Baada ya kuvuta kumbukumbu nikaishia kutabasamu tu...
4 Reactions
29 Replies
2K Views
Je Unaikumbuka Jamboforum? Leo Kwenye Kufukunyua Makabuli kwenye Picha Zangu Nimekumbana na Picha Ya Mojawapo Ya Kurasa za JamboForum enzi Hizo Ambayo Kwa sasa ni Jamiiforum.. Ama Kweli Tumetoka...
46 Reactions
346 Replies
5K Views
  • Poll Poll
Kuwa mkweli mm huwaga navunga sina hata niwe na chenji sehemu ya mia 6 natoa hata buku ili mradi nirudishiwe tu mia tano yangu
5 Reactions
16 Replies
362 Views
Jamani wapendwa nasumbuka usiku na mchana, mimi (naishi ulaya lakini mkenya) kuna kitabu moja nilinunua (amozon.com) nikafanya ilivyo andikwa, sio kitabu kibaya (nitapost mkione) lakini yanayo...
8 Reactions
88 Replies
3K Views
Wakuu, kwa sie tuliopitia kwenye kupanga nyumba ambazo kwenye eneo ni zaidi ya tatu, na unakuta wapangaji ni bachela, basi huwa kuna vitabia fulani haviwezi kukosa baina yetu. Kuna sehemu...
4 Reactions
14 Replies
321 Views
This post has been moved to another Thread with same Informations.
5 Reactions
34 Replies
553 Views
Nikasema wacha leo nijaribu kuwa mzungu nimwambie mama angu nampenda,. Kilichonipata Hawajai kuwa romantic๐Ÿ˜„๐Ÿ˜‚๐Ÿ˜‚
23 Reactions
126 Replies
2K Views
C&P Frank: Nesto Kwa Nini Mwanamke Yule Ananitazama Hivi? Nesto:mwanamke Yupi? Frank:yule Pale Kavaa Gauni Ya Bluu. Nestor:usimtazame Kamwe achana nae. Baada Ya Dakika Chache Frank Akasema...
7 Reactions
8 Replies
210 Views
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn moreโ€ฆ