JF Chit-Chats and Jokes

General Chat, Talk about anything that falls under no category on the board, but remember FOLLOW THE RULES!
Mbu kiswaswadu Huyu ni mbu msumbufu sana mara nyingi huwa hawahangaiki saaaana na damu ila wao ni kukukera tuu,yaani anakuja kama amekosea njia hivi atakupiga kumbo huku sikioni au puani alafu...
1 Reactions
8 Replies
1K Views
Hello habari, Nimeona niadhishe hii thread kwasababu watu wengine siku zao zinakuwa mbaya wanakwazika lakini hawana watu wakuwapa pole hawana watu wakuwafariji au ata kuwapa ongera kwa hatua...
5 Reactions
168 Replies
4K Views
Wakuu, nahitaji lodge nzuri maeneo ya Mwenge na makumbusho, Dar es salaam. Bajeti yangu ni Tsh. 20,000 hadi 25,000.
2 Reactions
11 Replies
3K Views
Nakumbuka nilipotea hapa jukwaani kama miezi tisa hivi,basi nikiwa huko nilikokuwa nikawa nasoma tu nyuzi za wanajamiiforums, kupitia simu ya mwana,kila nyuzi ninazosoma kwa muda wote huo,hakuna...
38 Reactions
147 Replies
4K Views
Binafsi hakuna ujumbe nauchukia kama ule wa "Ndugu mteja, umetumia 75% ya kifurushi chako". Huu ujumbe huwa unanikata sana yani. Je, wewe ni ujumbe gani huwa unakukera kutoka kwenye hii mitandao...
1 Reactions
1 Replies
293 Views
Habari wanajamii.... Natumai wote ni buheri wa afya njema sana... Nielekee kwenye hoja halisi moja kwa moja...Leo nimefunguliwa kutokana na adhabu niliyopewa hapo majuzijuzi na mods baada ya...
12 Reactions
147 Replies
4K Views
Wadau kuna binti nakaribia kumchumbia, tatizo naskia skendo skendo sana kuhusu tabia zake kuwa ana wanaume kibao. Sasa nawaza nimchunguze kujua kama ni kweli ama nimchumbie tum
1 Reactions
22 Replies
831 Views
Habari wana Jamii Forums, Nilikulia na kulelewa na bibi yangu mzaa mama, hapo wengi watdhani ni mtoto wa nje! Nilikuwa mjukuu wa kwanza kwao, tena jembe! Alinufundisha mengi sana na ndio...
3 Reactions
6 Replies
284 Views
Kumtongoza demu mbaya ni rahisi kinoma ani unampeleka unavyotaka hata akikataa unamcheka tu
5 Reactions
36 Replies
4K Views
Wengine tumetoka vijijini kuja mjini tunajua nini tumefata ,tumekuja kupambana tuokoe familia zetu ,zikae sawaa usisahau kilicho kuleta mjini enline_g✅
1 Reactions
5 Replies
417 Views
Wanaume katika mahusiano huwa hatukui, sisi huwa ni watoto wadogo, na tunategemea wanawake walijue hilo. Mnapokuwa kwenye mahusiano na sisi, jitahidini mtulee kama watoto wadogo; ndio maana kabla...
12 Reactions
72 Replies
2K Views
Leo mida ya jioni hii kuna sehemu nilikaa napiga story na jamaa yangu kuna madogo kama wawili walikuja kwa huyu jamaa yangu yeye ni mfanyabiashara wa Simu walikuwa wanataka simu Kali kama ya...
15 Reactions
62 Replies
3K Views
Pasco, saa hizi hizi nilikuwa nasikiliza kipindi chako cha nane-nane kwenye TBC na nilicheka ulipokuwa kwenye banda la kufugia kuku la VETA, nilicheka ulipokazania kumuonea huruma kuku kuwa sasa...
1 Reactions
14 Replies
3K Views
Yaani kila nikiwaza mimi na haya mazungumbaru yangu najiona moja kwa moja motoni tu, vipi wewe jirani utakuwa upande upi Peponi au ndio tutasindikizana motoni kuwa kuni za milele?
0 Reactions
6 Replies
592 Views
Hahah kwanza ni kitambo kipindi hiko nina kasimu kadogo kwenye batani na browser ya operamini (itel) huduma ya freebasic ilikuwepo Airtel hivyo JF niliipata bure kabisa. Niliisoma hii story for...
5 Reactions
62 Replies
3K Views
1. Mshana Jr huyu jamaa alipoambiwa yeye ni expert wa uchawi basi akaanza kuamini kila sehemu ni expert hata kwenye mambo ya akili. Hapo ndo akaanza kuharibu sana. Maana kuna mambo mengine...
38 Reactions
154 Replies
9K Views
Huko kwenu wageni wanakujaje kujaje?
2 Reactions
10 Replies
541 Views
Wakuu hope mpo poa, Hii ni thd ya kujifurahisha tu "Jokes" Tunge sentensi kwa kutumia neno Simu ilikua kwa fundi, Naanza na hii, Hongereni sana mashabiki wa Argentina kwa kutwaa kombe la...
5 Reactions
24 Replies
990 Views
Guys i'm so happy today, unajua nini miaka niliyokua naombea kila siku niifikie hatimaye nimefika.....yeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeep! Sent from my Siemens kidole juu using JamiiForum mobile app.
1 Reactions
130 Replies
6K Views
Back
Top Bottom