JF Chit-Chats and Jokes

General Chat, Talk about anything that falls under no category on the board, but remember FOLLOW THE RULES!
Je, kitambi chako ni kipi? Kuna kutambi kinachosababishwa na pombe, bila kujalisha ni mataputapu au bia. Kuna kitambi kinachosababishwa na msongo wa mawazo. Na pia kuna vitambi vyasababishwa na...
0 Reactions
13 Replies
771 Views
Wakuu poleni na miangaiko ya hapa na pale katika kutafuta riziki za hapa na pale ilimradi mdomo uende kinywani, katika pita pita zangu humu JF kwenye jukwaa fulani niliwahi kumuona dadaangu...
4 Reactions
127 Replies
8K Views
Nipo home naangalia royal tour
2 Reactions
0 Replies
334 Views
Salaam Wakuu, your the weapons against the kingdom of darkness. Kuna jambo nimeligundua wanawake hawa awe pisi kali, kawaida au mapepe aisee wanaowafaidi ni wanaume wale wahuni wahuni tena wasio...
23 Reactions
217 Replies
8K Views
Na wanaoiweka katika hizi Bidhaa pendwa Siku wakiwaza tu kuiweka pia katika Utamu wa Kibaiolojia wa Mwanamke au Mwanaume hapa ndiyo nitakuwa Teja kabisa kwani Wengine huo Utamu Tukuka wa...
2 Reactions
6 Replies
829 Views
Self-depression Never trust anything even if your heart can betray you Yani kama ulizaliwa na binadamu basi ujue hautakuwa na umuhimu mpaka utakapokuwa na kitu fulani Say bye kwa kitu...
8 Reactions
30 Replies
1K Views
karibu tufurahishane, na kushare visa mbalimbali ambavyo umewahi kukutana navyo ukiwa safarini. kuna siku nilipanda basi(kilimanjaro exp) tanga (kabuku) ikitokea arusha to dar mida ya saa3 usiku...
7 Reactions
35 Replies
3K Views
Mh Tundu Antipas Lisu ni kama kichwa cha habari kinavyojieleza hapo juu Mungu wa mbinguni akubariki!
0 Reactions
7 Replies
578 Views
Mtoto akizaliwa wakati wa mvua mnamuitaje kwa lugha yenu?
1 Reactions
16 Replies
869 Views
Wakati tupo wadogo tuliambiwa tusipige Mruzi usiku, tusikae kwa muda mrefu kwenye mwanga ambao kivuli kikiwa exposed wala kuimba usiku. Kisa wachawi wachukua. Je, kuna ukweli wowote?⁉️
0 Reactions
3 Replies
429 Views
Wapendwa nahisi dunia imesimama, nina mawazo sana nahisi kila kitu kimesimama, nataka nije Arusha kupumzika.... Nipo jij la Chalamila Niandae bajeti ya shingap Nishakuja huko zamani sana...
8 Reactions
61 Replies
3K Views
Nadhani Jamiiforums ni moja ya mitandao yenye warembo na vijana wazuri saana. Wengi wapo kwenye mahusiano tofauti na tunavyofikiria na yapo serious kabisa. Na wengi wanamichepuko Yao humu humu...
17 Reactions
114 Replies
4K Views
Karibu Tanzania 😂😂 -Kila dawa ya meno tunaiita COLGATE hatujali 😂 ndio tupo hivyo!! -Kila sabuni tunaiita OMO ndio tulivyo 😂😂 -kila kituo Cha mafuta, kinaitwa sheli😂😂 -Tunahodisha kwa mkono na...
7 Reactions
34 Replies
1K Views
Namshukuru sana Mungu kwa kunipa neema ya kuongeza mwaka mwingine. Nashukuru leo nimetimiza miaka kadhaa kwa kuingia floor mpya ya majukumu. Mwaka huu umekuwa wa neema sana kwangu mwenyezi Mungu...
13 Reactions
117 Replies
3K Views
Hello buddies! I wanted to share the above caption with for thoughts as we celebrate this lovely football sunday. All the best for Yanga SC. If Yanga gonna play bursting counter attacks with...
1 Reactions
6 Replies
344 Views
Habari wana jukwaa, Leo nimeshuhudia jambo la ajabu katika mwendokasi. Nikiwa natoka Kkoo mida ya mchana mwendokasi imejaa kuna jamaa mbele yangu alikuwa kasimama nyuma ya bi dada mmoja aliyevaa...
0 Reactions
18 Replies
2K Views
Chakula kimepikwa kwa ajili ya Wazanaki (na hasa Sisi Wafiwa GENTAMYCINE nikiwemo) cha Kushangaza Makabila tajwa katika Kichwa changu cha Habari yenye Washamba wengi kila mkiletewa Chakula cha...
2 Reactions
14 Replies
1K Views
Twende kazi 👇🏻👇🏻👇🏻👇🏻
10 Reactions
57 Replies
1K Views
Back
Top Bottom