Hata tweeter sio hivyo aisee, yaani ukiona handle za watu humu ndani na Jinsi wanavyoandika thread [emoji3468] zao utawadhania ni moboss wakurugenzi wa makampuni flani!
Juzi si nmekutana na dada...
Niliamua kuacha pombe kwa uzuri. Nilikunywa miaka 10 nikastafu. Shida inayonikabili ni kubeti. Bila mkeka siku haiendi.Imekua urasimu wa hali ya juu. Nataka kuacha ila inabidi sijui nifanyeje wakuu.
Eti Kwa umri nilionao si sahihi kuwa tu Freemanson nipate hela za chapu mie sikuwagi, mie nipo 30 something.
Kwani wadau Kuna ubaya ninunue magari, nijenge nyumba za chapu na hela za chapuchapu...
Wasalaam,
Habarini wajameni, kwa wiki mbili ntakuwa safarini tanga got some friends from Ethiopia, Europe and Uganda a crew of 15 Baharia tunafanya regionwise city beak travels, and our...
1. MEN and FOOTBALL
2. iPhone USERS With MIRROR PHOTO
3. WOMEN and MONEY
4. WEED ADDICTS and UNFINISHED BUILDINGS
5. STUPID RELATIONSHIPS and MATCHING CLOTHES😅😅
Add yours
Salamu,
Uungwana wangu ninaotoka udogoni, sijala cha mtu na sipendi dhulma, achilia mbali kuonea mtu
Jana niliamua kunyoosha miguu kidogo, kuanzia saa 12 jioni nikawa nafanya mazoezi ya kutembea...
Baada ya juhudi zangu za kudate na Wema Sepetu kugonga mwamba NALIA NGWENA nimejikuta nimetumbukia kwenye wimbi zito (mahaba mazito) na mtoto wa Jamii forum Cute Wife nimeshikwa kweli kweli...
Katika Jambo la kustajabisha Meza Za viongozi na wachezaji wa Yanga Maembe yaliliwa kama inavyoonekana hapao Chini.
Ama kweri hii timu ina Njaa kali, that is why preseason wanaishiaga mjimwema...
Nipo Kigoma mjini kikazi kwa wiki moja,
Naomba kufahamu ni wapi panafaa kuosha macho wakuu.
Pawe sehemu tulivu na iliyostaarabika na pa kupakuosha macho..
Hahaha najua nimeeleweka.
@...
Leo ni mara ya 6, kila nikiosha kigari changu jioni usiku au asubuhi sana mvua itanyesha. Mpaka naanza kuwaza au huyu jirani yangu ananifanyia hujuma?
Maana huu mtaa mzima mimi ndio nina gari...
Jamani kwema?
Mambo yasiwe mengi ngoja niende kwenye Jambo lenyewe,Katika hekaheka nazopewa na mwalimu ulimwengu wiki hii nimejikuta nipo usukumani ndani kabisa,nimekutana na kina Ngosha original...
Mzuka wanaJF,
Tulikuwa na katabia fulani na marafiki zangu kuandika maandishi kwenye vioo vya magari yaliyochafuka na vumbi.
Sasa kuna siku gari la TANAPA lilipaki kitaa yani limechafuka na...
Hello, niende kwenye mada, why michepuko ama wezi wa penzi wana vimba sana wakati mwenye mume au mke, au mwenye mpenzi ashagusa sana shoo na toka kitambo. Sasa unakuta sisi na wao visokolojo...
Kuna muda unaweza kwenda kwa ndugu kuwasalimia iwe likizo au kutalii mji, ila bahati mbaya wakawa wana chumba kimoja tu na sebule, hivyo ukaambiwa utakuwa unalala sebuleni na watoto wadogo pale...
Average age people lose their virginity:
[emoji1157] Malaysia: 23
[emoji1128] India: 22.9
[emoji1215] Singapore: 22.8
[emoji630] China: 22.1
[emoji1242] Thailand: 20.5
[emoji1125] Hong Kong: 20.2...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.