JF Chit-Chats and Jokes

General Chat, Talk about anything that falls under no category on the board, but remember FOLLOW THE RULES!
Hata tweeter sio hivyo aisee, yaani ukiona handle za watu humu ndani na Jinsi wanavyoandika thread [emoji3468] zao utawadhania ni moboss wakurugenzi wa makampuni flani! Juzi si nmekutana na dada...
14 Reactions
245 Replies
6K Views
Hawa watangazaji wako wapi jamani sijawasikia/kuwaona siku nyingi sana? Mohammed Kisengo (Tanzania) Blandina Mugezi (Radio one/ITV) Flora Nducha (BBC) Idd Ligongo (BBC) Abubhakhari Liongo (DW...
0 Reactions
16 Replies
6K Views
Niliamua kuacha pombe kwa uzuri. Nilikunywa miaka 10 nikastafu. Shida inayonikabili ni kubeti. Bila mkeka siku haiendi.Imekua urasimu wa hali ya juu. Nataka kuacha ila inabidi sijui nifanyeje wakuu.
3 Reactions
21 Replies
1K Views
Eti Kwa umri nilionao si sahihi kuwa tu Freemanson nipate hela za chapu mie sikuwagi, mie nipo 30 something. Kwani wadau Kuna ubaya ninunue magari, nijenge nyumba za chapu na hela za chapuchapu...
9 Reactions
101 Replies
3K Views
Wasalaam, Habarini wajameni, kwa wiki mbili ntakuwa safarini tanga got some friends from Ethiopia, Europe and Uganda a crew of 15 Baharia tunafanya regionwise city beak travels, and our...
4 Reactions
72 Replies
6K Views
1. MEN and FOOTBALL 2. iPhone USERS With MIRROR PHOTO 3. WOMEN and MONEY 4. WEED ADDICTS and UNFINISHED BUILDINGS 5. STUPID RELATIONSHIPS and MATCHING CLOTHES😅😅 Add yours
17 Reactions
116 Replies
6K Views
Hivi Ukizaa na mke wa mtu na bahati nzuri au mbaya mtoto amefanana na wewe. Je unaweza kudai mtoto wako?
2 Reactions
9 Replies
1K Views
Salamu, Uungwana wangu ninaotoka udogoni, sijala cha mtu na sipendi dhulma, achilia mbali kuonea mtu Jana niliamua kunyoosha miguu kidogo, kuanzia saa 12 jioni nikawa nafanya mazoezi ya kutembea...
10 Reactions
61 Replies
3K Views
Baada ya juhudi zangu za kudate na Wema Sepetu kugonga mwamba NALIA NGWENA nimejikuta nimetumbukia kwenye wimbi zito (mahaba mazito) na mtoto wa Jamii forum Cute Wife nimeshikwa kweli kweli...
15 Reactions
150 Replies
5K Views
Katika Jambo la kustajabisha Meza Za viongozi na wachezaji wa Yanga Maembe yaliliwa kama inavyoonekana hapao Chini. Ama kweri hii timu ina Njaa kali, that is why preseason wanaishiaga mjimwema...
7 Reactions
5 Replies
919 Views
Ukiwa mtu mzima usiropoke ovyo. Tumia busara kuwashauri vijana. Kumbuka na wewe ulikuwa kijana na vijana wa sasa si wakamilifu.
1 Reactions
0 Replies
417 Views
Nipo Kigoma mjini kikazi kwa wiki moja, Naomba kufahamu ni wapi panafaa kuosha macho wakuu. Pawe sehemu tulivu na iliyostaarabika na pa kupakuosha macho.. Hahaha najua nimeeleweka. @...
5 Reactions
132 Replies
12K Views
Nisema asante sana kwa Mungu kwa siku ya leo asante sana
9 Reactions
42 Replies
1K Views
Leo ni mara ya 6, kila nikiosha kigari changu jioni usiku au asubuhi sana mvua itanyesha. Mpaka naanza kuwaza au huyu jirani yangu ananifanyia hujuma? Maana huu mtaa mzima mimi ndio nina gari...
4 Reactions
8 Replies
1K Views
Jamani kwema? Mambo yasiwe mengi ngoja niende kwenye Jambo lenyewe,Katika hekaheka nazopewa na mwalimu ulimwengu wiki hii nimejikuta nipo usukumani ndani kabisa,nimekutana na kina Ngosha original...
25 Reactions
173 Replies
5K Views
Mzuka wanaJF, Tulikuwa na katabia fulani na marafiki zangu kuandika maandishi kwenye vioo vya magari yaliyochafuka na vumbi. Sasa kuna siku gari la TANAPA lilipaki kitaa yani limechafuka na...
8 Reactions
11 Replies
1K Views
Hello, niende kwenye mada, why michepuko ama wezi wa penzi wana vimba sana wakati mwenye mume au mke, au mwenye mpenzi ashagusa sana shoo na toka kitambo. Sasa unakuta sisi na wao visokolojo...
1 Reactions
11 Replies
784 Views
Kuna muda unaweza kwenda kwa ndugu kuwasalimia iwe likizo au kutalii mji, ila bahati mbaya wakawa wana chumba kimoja tu na sebule, hivyo ukaambiwa utakuwa unalala sebuleni na watoto wadogo pale...
1 Reactions
13 Replies
808 Views
Habari wakuu naomba game zuri la action na mabasi kwa simu ya RAM 1GB. Ahsante.
1 Reactions
18 Replies
1K Views
Average age people lose their virginity: [emoji1157] Malaysia: 23 [emoji1128] India: 22.9 [emoji1215] Singapore: 22.8 [emoji630] China: 22.1 [emoji1242] Thailand: 20.5 [emoji1125] Hong Kong: 20.2...
1 Reactions
10 Replies
1K Views
Back
Top Bottom