Ni buree zenu fitina,
Kuachana ni muhali!
Hii nyimbo ya taarab nai dedicate kwako sweetie The secretary,karibu lunch serena.......mmmmmmmwwwwaaaaa!
Cc: Lady doctor
.....
.....
...............Habari zenu wana jamvi.Nilikuwa kimya kwa muda mrefu sana.Lakini nimerudi tena sina bifu na mtu nipo kwenye mfungo.
Lakini nikiwa ntwara nilitumiwa picha ya mtu...
Jamaa mmoja, pengine ni kutokana na imani kubwa kwa serikali hii au ugumu wa maisha, aliamua kudai risiti kwa huduma ya choo baada ya kulipa Tsh. 200. Sakata hili lilitokea karibu na stedi kuu ya...
Habari za usiku wanaCC....
Kwa walioangalia kipindi tajwa hapo juu wiki iliyopita na leo hii, Kuna kibwagizo cha wimbo "Malaika" ambacho katuni ya OBM ndio inauimba.
Mmmmh..... Kuna fasihi...
habari za jioni
Niko kwenye lindi la kushangaa na kuogopa sana kulikoni Bishanga
awe hivi siku hizi kwani ile tabia yake ya mwanzo ya kupenda pesa
haipo tena. sijui kwanini alikuwa mchapakazi na...
Baada ya kusikia kitimoto ni mtam nilijaribu kumuonja na sasa nimekuwa nakitafuta mwenyewe. Ila nikifika sehem za mauzo nabadili jina. Je anamadhara yeyoye kiafya!?
Sent from my BlackBerry 9900...
Poor guy
A man escapes from prison where he has been for 15 years. He breaks into a house to look for money and guns and finds a young couple in bed.
He orders the guy out of bed and ties him to...
Hi,wapendwa wa Jf kutoka sehem zote za Tanzania na nje pia,naomba kukaribishwa katika ukumbi huu, company yenyu ni muhim sana kwani sehem hii natumaini itanipatia marafiki mbalimbali na wakweli...
demu wako kaenda kukutambulisha kwao kufika getini unamkuta dada ake ambae ni demu wako wa zaman kidogo unamuona kaka ake ulipgana nae kwasabab alikufumania na demu wake ulipoangalia ndani...
Heshima kwa wote humu ndani!
Kwa kifupi jamani naomba kusema:
Huenda mimisa akawa na mpenzi wake humu(sifahamu), lakini bado nimeshindwa kujizuia kumwambia ukweli kuwa moyo wangu umemdondokea, na...
Msaada nimetokea kuzama kwenye mapenzi na huyu mrembo baby madaa kwake misisemi nimezama juu yake aliyekaribu nae au mwenye namba yake au rafiki yake naomba ampe ujumbe wangu kuwa nimezama juu...
haaa ahaaa kwa kwaaaa kwaaaaaa tehe tehe tehe Lol!
jamani acha nicheke mie, kwa raha zangu wala sigombwi na mtu yeyote
yule wala kusumbuliwa na yeyote yule, ni raha zangu tu NAJIPA.
wapendwa...
An atheist was seated next to a little girl on an airplane and he turned to her and said, "Do you want to talk? Flights go quicker if you strike up a conversation with your fellow passenger."
The...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.