Jamaa aliingilia mazungumzo ya warembo na mambo yalikuwa hivi:-
Mrembo wa kwanza: Mie nasoma Bachelor of Education and Mathematics
Mrembo wa pili: Mie nasomea Bachelor of Law
Sasa huyu jamaa...
Amani kwenu wadau...
Natumaini mu wazima wa afya na mnaendelea vyema na shughuli za kila siku. naomba msaada kwa yeyote anayefaham
sehemu ninayoweza kupata vifaa vya studio ya picha (kama photo...
Salaam!
Namnukuu Invisible
''..........Chit Chat imekuwa ikitumika kama njia ya kutafuta WACHUMBA, kuunganisha marafiki na kukuza ujamaa kati ya baadhi ya members...........Wana Chit Chat hili...
Yule bingwa wa kutoa mazindiko ndani ya miji ya watu Dk Alhaji Yahaya sasa yupo kanda ya ziwa . Kwa wote msumbuliwao na nguvu za giza , mambo kutokwenda vizuri, sukari na ngiri, mtu kakufanyia...
Abiria ni mtu yeyote anayesafiri kutoka sehemu moja kwenda nyingine kwa kutumia vyombo vya moto kama vile pikipiki, garimoshi, ndege, basi n.k. na mara nyingi hahusiki moja kwa moja ktk...
Kwa wale tuliosoma zamani ilikuwa raha sana.......angalia mwenyewe
Jogoo na Pazi
Sizitaki mbichi hizi ha ha ha sungura mjanja sana
Hiki kitabu bado kipo kweli........................
Ni jambo la kawaida wanajamii kupeana 'nicknames', mimi nimeshuka na hizi:
Bishanga- tajiri la kihaya
Aspirin- babu revola
Lizzy-condoliza rice
Kongosho-AC/DC
AD-mama maua
Michelle-mrs HC
Faiza...
Kama Hataki Bhas Muache Aende Zake,
USIMBAKE !!
Kulazimisha Penzi Ni Hatarii,
Sawa Na Kulazimisha FUNGA Wakat Una
Vidonda Vya TuMbo !!!
Leo Na MiMi Ngoja Nishinde Huko PM...
Kama...
Wanafunzi 5 walitoroka na kwenda disko usiku , waliporudi asubuhi wakawawamechelewa kufanya TEST. Ikabidi wamdanganye mwalimu kuwa walilala msibani; wakapewa wiki 1 yakujiandaa ili wafanye...
Jana nilikuoa pale na madoido yako...
Mi penda sana pozi lako la kipicha..
hope hata kaka yako watu8 anafurahia
kweli uzuri(urembo) wako ni wa asili kabisa...
cc; Heaven on earth and Smile
Dad : akpors, plz buy me a soft
drink..
Akpors : Coke or pepsi ?
Dad : Coke.
Akpors : Diet or regular ?
Dad : Regular
akpors : Bottle or can ?
Dad : Bottle
akpors : Litre or oz ...
>> Mtoto Wa Kike Alimwambia Mama Yake; Mama Wahuni Wa Pale Wana Roho Mbaya, Yan Nimewaambia Waniangulie Maembe Wakaniambia Nipande Mwenyewe..
Mama Akaxema; Hao Walikuwa Wanataka Kukuchungulia...
ATHE..hii kitu inaniumiza sana hivi kila kitu kuhusu ubahili wapare?jamani kwa maisha ya sasa kuna mtu ambae atongi na bajeti...afu wapare wa 1890 AD sio wa sasa,utasikia mara oooh wapare...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.